East Africa Radio ombeni radhi kwa hiki mlichopost kwenye page yenu

Makanjanja wala hawaoni kosa lao hapo. Wanaweza wakakuambia wewe mleta mada uwaombe radhi
 
Basi funguka utuambie wanawake mtamkumbuka kwa lipi na kwanini mmeulizwa nyie
 
Kwahiyo Wanawake wa Tanzania ni dhambi sio? Je kama kipindi cha uraisi wake aliinua Wanawake wa Tanzania? Hivi nyie Watanzania lini mtaacha upumbavu?
 
Ata mm nimeshangaa mkuu...Angekuwa Kikwete sawa mana yule mzee nasikia yeye sketi kwake ni sawa na swala.
 
Hawa wapuuzi wanatakiwa wafungiwe na TCRA ili liwe fundisho kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…