East africa talents distribution

East africa talents distribution

21 KM: top 3 Tanzanians

42 KM : top 3 Tanzanians

5 KM : sijui
Long distance??? Hebu leta matokeo ya marathon iliyofanyika juzi kwenu huko Kilimanjaro, Wakenya wachache ambao walijitoa mhanga na kuja bila kuogopa corona, lazima walifanya yao.
 
21 KM: top 3 Tanzanians

42 KM : top 3 Tanzanians

5 KM : sijui

Kha! Wakenya walisusia kabisa, haya basi walau muachiwe mwaka huu mjimwayi mwayi, kuna washkaji zangu walikuja ila wengine tukaogopa....


2703669_IMG-20210228-WA0084.jpg
 
Sio lazma usikilize don't be pathetic
Halafu mpunguze porno kwenye nyimbo zenu za Kibongo, imekua aibu kuziskliza maeneo yenye watu wa heshima au mbele ya watoto, nyimbo zimejaa maneno ya kikashfa.....
 
Yaani tu... jana mchana tulikua tunakula sebuleni halafu kwenye laptop nimeachia nyimbo za YouTube zinacheza moja baada ya nyingine, ghafla ukaja wimbo wa Harmonize na Nandy unaoitwa "acha lizame", ilibidi nizime kabisa maana sio kwa yale maneno..."Usiku nipe shoti ama nishike magoti" "Maana raha ya kuingiza ujue inapotokea Acha lizame!" "Kutwa nadindinsha mkonga"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Halafu mpunguze porno kwenye nyimbo zenu za Kibongo, imekua aibu kuziskliza maeneo yenye watu wa heshima au mbele ya watoto, nyimbo zimejaa maneno ya kikashfa.....
Mie mkenya ila nauliza, kati ya Bongo na genge tone, gani zina matusi kupitiliza? Navyojua mimi genge tone zina aibu balaa kushinda za wenzetu.
✌️
 
Hapo kabla kabla ya kutoa wimbo wako ni lazima upitie BASATA ukahakikiwe...siku hizi ni short cut mpaka wimbo uwe viral mitaani ndio bashata (barshutter)waje kukufungia
Kila pahali ni hivyo sahi mkuu, hakuna utaratibu tena. Leo hii twaambiwa watafunga site zote za nopo, duh vijana wa Kenya(home) najua wameanza backup plans na mapema. Chezea mikono wewee! 🤣
✌️
 
Kha! Wakenya walisusia kabisa, haya basi walau muachiwe mwaka huu mjimwayi mwayi, kuna washkaji zangu walikuja ila wengine tukaogopa....


2703669_IMG-20210228-WA0084.jpg
Duh! 🙄
✌️
 
Mie mkenya ila nauliza, kati ya Bongo na genge tone, gani zina matusi kupitiliza? Navyojua mimi genge tone zina aibu balaa kushinda za wenzetu.
✌️

Kashfa za genge huwa kwa lugha ya shen'g, ila hawa wanatumia Kiswahili kabisa, ukipata fursa usklize kwa makini yaani tu...
 
Kashfa za genge huwa kwa lugha ya shen'g, ila hawa wanatumia Kiswahili kabisa, ukipata fursa usklize kwa makini yaani tu...
Hivi we jamaa ni mkenya kweli au unachangamsha jf tu. Kiswahili chako sio cha kikenya, uwasilishaji wako wa hoja pia una utofauti na wakenya wengi wa jf, youtube na kenya talk.
 
Back
Top Bottom