East African Federation (EAF) public Views

East African Federation (EAF) public Views

hahaha kwani nimeguza nerve nini? was just telling you the truth, and i've been in Tanzania making good money before you got that visa to the US to do whatever it is you pretend to do there (of which am sure they pay peanuts for washing the aged in elderly homes).. Ive tried my hand in 4 different business ventures in Tanzania so that crap you are talking about frustration za maisha dont apply to me.. You guys are funny, mie niko na ndugu anauza ETR(electronic tax regs.) huko and he is making a kill as if there are no Tanzanians who can offer the same services, last weekend I was with these dudes saying that after our friend sells you all the ETR machines, he will start training y'all lazy fruits for a fee on how to beat the tax system using the ETR. Rundi nyumbani Abdul, walahi ndugu zako wana miaka kama ishirini kufika intellectually mahali waAfrica wengine tupo.. true story.

hhhehehe nimcheka hapo pa kiroro, I dont sip scotch like your Russian wannabe, nanywa Tusker, beer yangu nchi yangu.
Siko na nerve ya kuguswa. A man of ur foolish level can touch no nerve of any sane man. Kwanza waonekana ni proud criminal, na ni aibu kwa kweli kujisia UWIZI, hio ndio sababu mojawapo why Tz do not like the mungiki in our hoods.
 
BTW, wewe bichboi Smatta, nilishakwambia kuwa nakuzidi elimu sio wewe tu, Rais wako mama yako, babu yako mpaka ardhi unayokanyaga..Bwe he he he..

Kuna uwezekano umenishinda elimu, sikatai, lakini hela babu, naeza lisha ukoo wako mzima mwezi moja na pesa yangu ya kulewa ya wiki mbili..
 
Sijakuelewa ewe Mtanzania.. Ongea lugha aambayo watu wa kawaida wanaeza elewa... KIMADA, TELEKEZA W.T.F????

hivi smatta haujui maana ya "telekeza"?, masikini mkenya huyu...unajua wakenya walivyo wajinga, huwa wanafikiri wanaweza kumrekebisha mtz kiswahili, jamani jamani...hahaha. ukienda kwenye thread zao, wanasema watz hawajui kuongea kiswahili...sisi watz wote tunaelewa maana ya hayo maneno aliyoandika jamaa. nyie wakenya ndo mnahitaji kwenda darasani kabisa ili mjue kiswahili kwasababu siku zote mnachafua lugha hii. huwa sipendi kabisa hata kusikiliza kiswahili cha kikenya, kina kera kusikiliza ujue.
 
Kuna uwezekano umenishinda elimu, sikatai, lakini hela babu, naeza lisha ukoo wako mzima mwezi moja na pesa yangu ya kulewa ya wiki mbili..

ivi ni hela gani mkenya anaweza kumringishia mtz? debe tupu halikosi kulia!
 
Nilikaribia kitambo, nikaozwa mtoto wa Kipare, sasa nangoja kula na wafalme. wewe je? Kenya waionea magazetini hautaki kutoka nyumbani kwenyu, ati playing safe, stop being so contented with mediocrity, get off your lazy a*s and make money.

I am not defending myself but am fluent in many languages, Pare included, utadhani nimetoka kule milimani nikiongea kipare changu fluently, sasa hiyo ya vimada nimekuachia wewe mwenye wivu coz the next nigga speaks better english than you..

uyu jamaa yuko fluent in his languages...hivi "kwenyu" ni lugha gani?, alikaribia kitambo..alikaribia kufika wapi....anasubiri kula nchi na wafalme...hahaha, anafikiri tz ni kenya. pole samaki pole...hii ndio type ya akili za kikenya..yaani hapo ndo amewaza hadi amefika mwisho.
 
Kuna uwezekano umenishinda elimu, sikatai, lakini hela babu, naeza lisha ukoo wako mzima mwezi moja na pesa yangu ya kulewa ya wiki mbili..

nitakuwa nakusaidia kurekebisha kiswahili chako hadi pale utakapokijua vizuri. najitolea kukufundisha bure smatta.hakuna malipo hapa, ni bure.
 
Sijakuelewa ewe Mtanzania.. Ongea lugha aambayo watu wa kawaida wanaeza elewa... KIMADA, TELEKEZA W.T.F????

Wacha ngebe wewe jamaa wakikuacha solemba utajijuu. Hivi umekwisha waalika vimada wenzio wangapi .... ...... tangu wakuweke sidhani kama utatoka salama. Vipi Mungiki brother bado anakujengea? Au siku hizi umeacha kulialia kama katoto kalikokosa lawalawa?
 
Kuna uwezekano umenishinda elimu, sikatai, lakini hela babu, naeza lisha ukoo wako mzima mwezi moja na pesa yangu ya kulewa ya wiki mbili..


Wacha porojo wewe ungekuwa na fweza si ungenunua kisiwa chako? Au ungewasaidia kibera kwenye ukoo wako na wala usingekaa kimada.
 
tena wanaishi kwa shida ajabu. wamejazana kule sinza, chumba kimoja wanaweza kukaa hata sita...ukitaka kuwamaliza, watishie kuitonya polisi...wanaweza wakakupatia hela zote kukuhonga walivyo waoga.
 
hahahaha.. you illiterate Tanzanian fruits, touched a nerve ha? This EAC thingy is making y'all piss your pants, guess its too late, we in this together, only the strong survive in this man eat man society, recess is over, the race begins.

And FYI, I dont need any swahili lessons, ile nilifunzwa primary na high school nimeridhika nayo, haijawahi nisaidia licha ya kuniwezesha kuskiza wadada wakibongo
 
😛ound:😛ound:😛ound:😛ound:umenibamba buda!!!

hawa ma bure wananijazz mbaya, kazi kuchoochana then wana complain kwa mods watu wakishika nare. wacha wapige tu mdomo hapa lakini in the real sense tunawamada economically kejani kwao, they dont know who we be.
 
Good bwoy, English is the official language used globally, and Swahili is the national language in Kenya. Get that? So, i totally understand it when Inglo-scarred fellas like you rant claptrap in the purpose of acquiring an extraneous camouflage masquerading as native-language patriots. Nobody doesn't know their languages, we know better than you, local and foreign, and I think you envy, else you guys wouldn't be so bitter.

Indeed, english is widely spoken globally but that would not make me envy what I would call 'Kenyan english'! Neither would I like to learn or listen to 'Kenyan Swahili'!
 
Kenyans are the last people i would wish to see in this country! They add no value, just a liabilty.
Hata mwanamuziki wetu George Peter Kinyonga ( imagine, an entertainer ), waliwahi kumfunga kwa kufanya kazi Kenya bila kibali wakati alikuwa anasaidia ku-transform muziki wao usiokuwa na mvuto na baadae kutolewa na kaka yake Wilson kwenye miaka ya themanini. We Sawa kaeni kinyume cha sheria, dawa iko jikoni. Viongozi wenye maono wanakuja, Tanzania is ever dynamic, it cannot be static.

Hili suala la mwanamuziki si la kulitetea...kama alikuwa hana kibali cha kazi hiyo ni sababu tosha tena ya msingi ya kumweka ndani.Tusipende kutetea mambo ambayo ni kinyume na sheria ambazo taifa limejiwekea.Kwa mfano hata wakenya watakapokuja Tanzania na kumiliki ardhi bila kupitia njia na taratibu halali za nchi yetu tutachukua hatua za kuwanyang'anya ardhi kulingana na sheria zetu.

Kimsingi sioni kama wakenya wako juu ya wa-Tanzania...hata kidogo...kinachotokea ni kusaidiai kubadilisha mtazamo wetu na kujiandaa kukabiliana na ushindani.Tanzania ni ya-kwetu,we know it better kuliko mgeni mwingine yeyote kwa hiyo tukiwa tayari kufanya shughuli zetu kwa bidii basi hakuna tatizo lolote ambalo hawa wakenya wanaweza kutuletea.Ni hofu tu ambayo hiko miongoni mwetu!
 
Indeed, english is widely spoken globally but that would not make me envy what I would call 'Kenyan english'! Neither would I like to learn or listen to 'Kenyan Swahili'!

.....which renders your previous points daft:

SpinDoctor said:
Hehehe! Have you ever wondered why the native English language speakers would always ask you what language do you speak in your country? Well, I reckon you would not even know why!
 
You are very right, cheeky twat! You must be one of the smartest Kenyan I have ever known!

See how catachrestics run out of their sporadic shrewdness and starts acting dotty. U should have have known that Native English consists of less than 10% speakers.
Hey, I'm not a cheeky twat, neither do you know me, hope you don't Spin in that direction again.
 
too bad for you. we are allover your country and what have you done about it??? SH*T, thats right, NOTHING! you are like a toothless bitch(female dog) that only barks but got no teeth to bite.

we are the nyang'aus and we are allover your motherloving country and what are you going to do about that??? NOTHING. so shut the f*ck up you negroid homo sapien.

Duh! Jamaa limemwaga mitusi! Sijui lilisomea matusi wapi hili Nyang'a!
 
..this comes frm a Q&A session that the Min for EA had with the members of Parliament.

..Tanzanias land laws still apply.

Minister Kamala said:
Sasa niseme kidogo tu kwamba, Wakuu wa Nchi wameshatoa maelekezo na tutayazingatia. Suala la ardhi kutumika, sheria za nchi husika si Tanzania tu tunafanya hivyo na wala si nchi za Afrika Mashariki tu tunafanya hivyo. Tunayo mifano mingi sana duniani, maana watu wengine wasije wakashangaa wakasema mbona sasa hawa wanaingia kwenye Soko la Pamoja, lakini wanasema suala la ardhi zitumike sheria za kila nchi. Kwanza ile Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyovunjika, suala la ardhi halikuwemo kwenye masuala ya Soko la Pamoja. Kwa hiyo, tunaendelea kutekeleza kile tu ambacho tulishaanza kukitekeleza. Waheshimiwa Wabunge, ukiangalia Mataifa mbalimbali duniani, kwa mfano, Saudi Arabia; kule Saudi Arabia ni marufuku kabisa kwa mgeni kumiliki ardhi, liko wazi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mfano ukienda kule Philippines, inaelezwa kabisa kwamba mgeni haruhusiwi kumiliki ardhi Ufilipino. Lakini vilevile ukienda nchi kama Thailand, wao wanasema ikitokea bahati mbaya ukarithi ardhi kwenye hiyo nchi na wewe si raia basi wanakupa mwaka mmoja tu uhakikishe ardhi hiyo umeirejesha kwa mtu ambaye ni Mthailand. Ikitokea Mtanzania umeenda kule, umekutana na rafiki, amekurithisha ardhi basi utanufaika na ardhi hiyo kwa mwaka mmoja baada ya hapo, inabidi uirejeshe kwa wahusika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ukiangalia hata nchi kama Mexico, wao wanasema, ni marufuku kwa mgeni kukaa ndani ya Km 100 kutoka kwenye mpaka kwamba popote unaweza ukakaa lakini ndani ya km 100, kama wewe ni mgeni, ni marufuku. Kwa hiyo, lazima ukae ndani ili wakuangalie vizuri.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini si hiyo tu, ukiangalia State of Missouri ya kule Marekani, yenyewe inapiga marufuku wageni kumiliki ardhi lakini vilevile inapiga marufuku wageni kutumia Mawakala kupata ardhi. Kama alivyosema Mheshimiwa Kwaangw�, kwamba tunaweza tukasema wageni wasimiliki ardhi lakini wajanja wakatumia Watanzania wakapata ardhi. Mtu anakuja kwako anasema nitafute ardhi anamiliki. Sasa kule Missouri wanazuia mgeni kumiliki ardhi lakini wanazuia na ma-gent na watu wengine ambao wanaweza wakatumika kuwawezesha watu wengine kumilikisha ardhi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, natoa mifano hii ili watu waelewe kwamba tunalolifanya Afrika Mashariki, si jambo geni lakini hata kule Marekani mwaka 1976 walikuwa wana Sheria, US Agricultural Foreign Investment Disclosure Act. Sheria ile ilikuwa inakutaka mgeni ukiwa na interest kwenye masuala ya ardhi, kwa zaidi ya heka kumi na ndani ya siku 90 lazima utoe taarifa kwamba mimi sio Mmarekani, niko hapa, nina ardhi ili waweze kukujua uko wapi na unafanya nini. Kwa nchi kama USA ambayo na yenyewe inadhibiti masuala ya ardhi, ni dhahiri kwamba nchi za Afrika Mashariki, Waheshimiwa Marais hawajakosea kusema kwamba kwa masuala ya ardhi, zitumike Sheria za nchi wanachama.
 
hahahaha.. you illiterate Tanzanian fruits, touched a nerve ha? This EAC thingy is making y'all piss your pants, guess its too late, we in this together, only the strong survive in this man eat man society, recess is over, the race begins.

And FYI, I dont need any swahili lessons, ile nilifunzwa primary na high school nimeridhika nayo, haijawahi nisaidia licha ya kuniwezesha kuskiza wadada wakibongo

wewe kichwani ni mweupeeeee, huna lolote.
 
Back
Top Bottom