East African: Wakenya wawapita Marekani kwa wingi wa wageni Tanzania

East African: Wakenya wawapita Marekani kwa wingi wa wageni Tanzania

yani we mleta mada ni sawa na kushangaa wamarekani wamekuja kwa wingi zaidi Tanzania kutembea kuliko watanzania waliotembelea marekani.
 
Manyang'au kwani wa maana basi..
Ila isije wale walioogopa machafuko wakati wa uchaguzi nawo wamejumlishwa?!
Mnalialia vyuma vimekaza, afu jirani wapendwa tunawakumbuka msimu wa krisimasi na mwaka mpya kisha tukiwaletea grisi mnaanza kunyeta? Dah.
 
yani we mleta mada ni sawa na kushangaa wamarekani wamekuja kwa wingi zaidi Tanzania kutembea kuliko watanzania waliotembelea marekani.
watanzania mna akili fupi sana.indication yae ni kwamba wakenya wana uchumi mzuri wa kuweza kutoka na kuspend nchi nyingine. simple logic mnashindwa kuelewa.
Nakuona, yaani unavobadilisha gia arthini, heshma jombaa. Nimekubali.
 
Back
Top Bottom