East Africa's Capital, Nairobi City : photo gallery

East Africa's Capital, Nairobi City : photo gallery

B9uuQ3ZIcAAnzlN.jpg:large


B9s9t8IIgAARrWM.jpg:large


B9eL9SICYAA_uMI.jpg:large


B9YcFcVCQAEWJf-.jpg:large


B9Kgp9gCMAAkllk.jpg:large


B86TptPCUAE_XVU.jpg:large


B4z09AnCUAA3-Kx.jpg:large


B8Mt47yCcAA2-ca.jpg:large


B7y-XicCIAA1aYU.jpg:large


MG_4973_corr_72_final.jpg

B8RDur-CcAAaGgd.jpg:large


MG_2975_72.jpg


MG_2973_c_72.jpg


1783.jpg


1765.jpg
 
STL ANAUWA SHIIIIIIET...... nice Guest from Wazua this has made my Thursday.... Naona umepiga mahao za upper hill mob thought ni NOT allowed karibu ni lale ndani kupiga that prism shaped building picha
 
Last edited by a moderator:
66ebeb25-d1eb-4762-b211-2ddcae1f0b61-73.jpg


_81794480_460181652.jpg


bIYVNYO.jpg


Dilapidated roads in upperhill as per Kimweri

6QpJwDU.jpg


wWuusiwl.jpg


wWuusiwl.jpg


kJyrGO5l.jpg


nGVtrhll.jpg


h8hiuExl.jpg


2584721179_9ee43e6db4_b.jpg


Xi5rHKC.jpg


11116750_1637695199794129_2074047312_n.jpg



CARc3PgWsAE4X6C.jpg:large


B_Vc3HLXAAA4XY-.jpg:large



S93dGyj.jpg



3468749531_b179a8bc35_b.jpg

18122800.jpg


2583558084_e7765e8c11_b.jpg




nai0003-2.jpg



4274327686_d4c29155e0_b.jpg

DSC00234.JPG

betfyfs7.jpg

IMGP0148.JPG


5770768013_c2001d72af_b.jpg

5746264156_6727fe0e97_b.jpg


Photos from upperhill, you can clearly see the dilapidated roads in upperhill as per Kimweri
 
Last edited by a moderator:
Duh!!! hii utadhani ulaya, akina MOTOCHINI hamna haja ya kuenda ulaya kama unataka kukenua, ingia tu Nairobi na utapenda halafu geuza.
umetumia utadhani halafu nije kukenua sehem ambayo niya kudhania kumbe... hahahaa mambo madogo ktk miji inayokuwa kwa kasi ndugu
 
Last edited by a moderator:
Wow!!! so so breathtaking, time to bring out a camera.

Mkuu kwa nairobi hakuna ubishi ,unaweza kusema haupo africa master plan nzuri , usafi unafanyika hakuna kwa africa mashariki kama nairobi.ndio maana makampuni mengi base yao wameweka nairobi.
 
Mkuu kwa nairobi hakuna ubishi ,unaweza kusema haupo africa master plan nzuri , usafi unafanyika hakuna kwa africa mashariki kama nairobi.ndio maana makampuni mengi base yao wameweka nairobi.

Asante mkuu, kwa vijana wengi ambao hawaja barikiwa kutoka nje ya mpaka wa nchi yao kama MOTOCHINI utakuta wapo huku wanabeza tu kwa kutegema hadithi za vijiweni. Yaani mimi kuna sehemu ndani ya Nairobi huwa nahisi kama sio nchi yangu aisei, yaani panapendeza hadi nabaki nimezubaa.
 
Last edited by a moderator:
Asante mkuu, kwa vijana wengi ambao hawaja barikiwa kutoka nje ya mpaka wa nchi yao kama MOTOCHINI utakuta wapo huku wanabeza tu kwa kutegema hadithi za vijiweni. Yaani mimi kuna sehemu ndani ya Nairobi huwa nahisi kama sio nchi yangu aisei, yaani panapendeza hadi nabaki nimezubaa.

Nilikuwa hapo kikazi kama miezi miwili hapo ,dah nilidhani kama sipo africa.ila tatizo ni mifumo ya maji taka wakirekebisha hicho nafikiri mtakuwa mbali sana.
 
Last edited by a moderator:
Asante mkuu, kwa vijana wengi ambao hawaja barikiwa kutoka nje ya mpaka wa nchi yao kama MOTOCHINI utakuta wapo huku wanabeza tu kwa kutegema hadithi za vijiweni. Yaani mimi kuna sehemu ndani ya Nairobi huwa nahisi kama sio nchi yangu aisei, yaani panapendeza hadi nabaki nimezubaa.
mkuu kwa habari ya Nairobi, ni jiji zuri sana kwa east africa, pamoja na kwamba haliwezi kushindana na jorburg au capetown ambazo kidogo utaona ni western. nairobi imejengeka sana, but unfortunately when you go around the city you find that, it is still an "african city", uchafu bado upo tofauti na majiji ya asia au america etc. its fair to say that, nairobi is a major city, lakini bado ni african city with african nature. ukiona majengo mazuriii lakini watu wanaoruzura mtaani wamepoteza matumaini ni masikini wa kutupwa. sura zimekuwa frustrated tofauti na nchi za wenzetu majiji mazuri na watu unakutana nao sura za furaha walau. nimeishi kenya, nimeishi na huko unakowatukana wenzio kuwa hawajatoka nje labda wewe hujatoka nje ya kenya au east africa,...nimeishi asia, nimeishi amerika, nimeishi ulaya. hivyo nairibo inaweza kuitwa jiji zuri kwa minajiri ya kiafrica "an african city" iliyojaa uchafu na masikini compared to mordern cities of the other world.
 
mkuu kwa habari ya Nairobi, ni jiji zuri sana kwa east africa, pamoja na kwamba haliwezi kushindana na jorburg au capetown ambazo kidogo utaona ni western. nairobi imejengeka sana, but unfortunately when you go around the city you find that, it is still an "african city", uchafu bado upo tofauti na majiji ya asia au america etc. its fair to say that, nairobi is a major city, lakini bado ni african city with african nature. ukiona majengo mazuriii lakini watu wanaoruzura mtaani wamepoteza matumaini ni masikini wa kutupwa. sura zimekuwa frustrated tofauti na nchi za wenzetu majiji mazuri na watu unakutana nao sura za furaha walau. nimeishi kenya, nimeishi na huko unakowatukana wenzio kuwa hawajatoka nje labda wewe hujatoka nje ya kenya au east africa,...nimeishi asia, nimeishi amerika, nimeishi ulaya. hivyo nairibo inaweza kuitwa jiji zuri kwa minajiri ya kiafrica "an african city" iliyojaa uchafu na masikini compared to mordern cities of the other world.
kn
kuna mzungu alikuja nairobi akasema u can mistake nairobi na small european cities so acha kuita city yetu chafu
 
kn
kuna mzungu alikuja nairobi akasema u can mistake nairobi na small european cities so acha kuita city yetu chafu
alikuwa anawapa moyo tu. kwa mtu aliyeishi western countries, hakika akija nairobi atajua tu kuwa amefika africa. its an african city, still that african nature is there. mazingira bado machafu, recreation bado sana, gardening bado sana na uchafu bado. small european cities au hata towns au hata villages wanakua wasafi sana, gardening nzuri, housing nzuri. have you ever been out of Nairobi even once?
 
alikuwa anawapa moyo tu. kwa mtu aliyeishi western countries, hakika akija nairobi atajua tu kuwa amefika africa. its an african city, still that african nature is there. mazingira bado machafu, recreation bado sana, gardening bado sana na uchafu bado. small european cities au hata towns au hata villages wanakua wasafi sana, gardening nzuri, housing nzuri. have you ever been out of Nairobi even once?

yeah nshaifika dar na kampala
 
Hute the hoot, even in J'burg there are seedy places and and poverty-striken pipo roaming parts of the streets as well. Heck even in New York, world's most iconic city (my view) they exist. How then did such words as 'ghettos' and 'hoodlums' come about if it isnt a fact of life over there?

Ask Kimweri, he will tell u that seedy neighborhoods and beggers also exist in that posh city where he stays...
 
Last edited by a moderator:
Hute the hoot, even in J'burg there are seedy places and and poverty-striken pipo roaming parts of the streets as well. Heck even in New York, world's most iconic city (my view) they exist. How then did such words as 'ghettos' and 'hoodlums' come about if it isnt a fact of life over there?

Ask Kimweri, he will tell u that seedy neighborhoods and beggers also exist in that posh city where he stays...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom