East Africa’s Largest University, University of Dodoma

East Africa’s Largest University, University of Dodoma

No, Thats a Ferry.
The answer you have provided is one of the signs of a loser. You are losing in your own battle. You can't compare that primary school na giants like UoN and KU
 
Kenyas private sector at its best. Tallest building in Kiambu County.
Alumni-compressed.png
 

Attachments

  • download (1).jpg
    download (1).jpg
    10.3 KB · Views: 4
Waache ungo hawa waTzed,the true size of any university is the student count.

Univ of Nairobi - 70,000 students.
Univ of Dar - 20,000 students
Makerere Univ - 35,000 students.
Hii University of Dodoma is still a work in progress and when its fully built it will have capacity of 50,000 students. Hiki chuo kikuu Dodoma ni ukubwa tu wa eneo la ardhi - only because Dodoma city is still mostly bush country.


University of Nairobi currently has a population of 90,000 students.
 
MKU acquired land past thika town next to thika barracks, i hear they are planning on building the main school
Yes its 23.5 ha in Landless meant for the school of engineering. They currently use the land as an extra playground, storage and as the graduation pavilion.
 
Japo sikipendi chuo cha Udom lakini sina wasiwasi na ukubwa wake. Kile chuo ni kikubwa aisee na wanafunzi wote wanaishi ndani ya chuo. Wanaosema kiko scattered sana basi ni ushamba tu unawasumbua. Huwezi ukaweka ndaki (colleges) za vitu tofauti karibu karibu maana itakua vurugu na kelele.

Ukubwa wa chuo sio idadi ya wanafunzi bali ni eneo. Maana shule ya kata inaweza kuwa na wanafunzi 1500 ndani ya eneo lenye ukubwa wa kiwanja cha mpira lakini shule kongwe mfano Tanga school ikawa na wanafunzi 800 ndani ya ekari 70. Hapo ni ujinga kusema ile shule ya kata ni kubwa kwa sababu tu ina wanafunzi wengi.

Kwenye mashindano ya vyuo vya East Africa yaliyofanyika UDOM, chuo kiliwahifadhi wanamichezo 4000+ bila kumhamisha mwanfunzi yeyote. Baadhi wanafunzi walikua wanapotea kuonyesha ni jinsi gani chuo kilivyo kikubwa. Wale wanafunzi 7000+ wa special diploma ya ualimu waliondolewa na Magufuli lakini wala haikoonekana kama kuna watu wamepungua. UDOM bado haijajaa na ndio maana baadhi ya wizara ziko ndani ya chuo. Eneo langu pendwa pale Udom ni lile lenye ndaki za sheria, humanities, na biashara. Kuna swimming pool pale nilipendelea sana kwenda kupumzika.

Ukubwa Udom haina mpinzani ila kwenye ubora wa elimu inayotolewa pale sitii neno lolote.
 
Back
Top Bottom