East Africa’s Largest University, University of Dodoma

East Africa’s Largest University, University of Dodoma

Japo sikipendi chuo cha Udom lakini sina wasiwasi na ukubwa wake. Kile chuo ni kikubwa aisee na wanafunzi wote wanaishi ndani ya chuo. Wanaosema kiko scattered sana basi ni ushamba tu unawasumbua. Huwezi ukaweka ndaki (colleges) za vitu tofauti karibu karibu maana itakua vurugu na kelele.

Ukubwa wa chuo sio idadi ya wanafunzi bali ni eneo. Maana shule ya kata inaweza kuwa na wanafunzi 1500 ndani ya eneo lenye ukubwa wa kiwanja cha mpira lakini shule kongwe mfano Tanga school ikawa na wanafunzi 800 ndani ya ekari 70. Hapo ni ujinga kusema ile shule ya kata ni kubwa kwa sababu tu ina wanafunzi wengi.

Kwenye mashindano ya vyuo vya East Africa yaliyofanyika UDOM, chuo kiliwahifadhi wanamichezo 4000+ bila kumhamisha mwanfunzi yeyote. Baadhi wanafunzi walikua wanapotea kuonyesha ni jinsi gani chuo kilivyo kikubwa. Wale wanafunzi 7000+ wa special diploma ya ualimu waliondolewa na Magufuli lakini wala haikoonekana kama kuna watu wamepungua. UDOM bado haijajaa na ndio maana baadhi ya wizara ziko ndani ya chuo. Eneo langu pendwa pale Udom ni lile lenye ndaki za sheria, humanities, na biashara. Kuna swimming pool pale nilipendelea sana kwenda kupumzika.

Ukubwa Udom haina mpinzani ila kwenye ubora wa elimu inayotolewa pale sitii neno lolote.

Safi mkuu, Uzi huu unazungumzia ukubwa,
Tukija kwenye Ubora wa Elimu hii ni changamoto ya Africa nzima, Pengine Egypt niwaondoe hapa maana walau they’ve got something to show, pengine kidogo na SA,
Wengine wote tumezalisha wezi tupu wanaozungumza Kingereza.
 
Hayo majengo sioni ya 12 floors Kama ile ya MKU alafu bado naona majengo 6, 194 yako wapi? [emoji16][emoji16]
Udom haina majengo marefu ila ina majengo mengi ya ghorofa 4 au 5 kama sikosei. College ya education ina majengo 20 ya ghorofa 4 ambapo kila moja lina uwezo wa kubeba wanafunzi wasiopungua 500. Hapo sijazungumzia lecture rooms, library na laboratories.
 
Udom haina majengo marefu ila ina majengo mengi ya ghorofa 4 au 5 kama sikosei. College ya education ina majengo 20 ya ghorofa 4 ambapo kila moja lina uwezo wa kubeba wanafunzi wasiopungua 500. Hapo sijazungumzia lecture rooms, library na laboratories.

[emoji120][emoji120]Open the stupid-men’s blind eyes.
 
Safi mkuu, Uzi huu unazungumzia ukubwa,
Tukija kwenye Ubora wa Elimu hii ni changamoto ya Africa nzima, Pengine Egypt niwaondoe hapa maana walau they’ve got something to show, pengine kidogo na SA,
Wengine wote tumezalisha wezi tupu wanaozungumza Kingereza.
Hapo umenena. Halafu ubora mara nyingi wanaupima kwa publications na Web presence ambapo kwa sie wabongo bado tupo nyuma maana vyuo vyetu havijawekeza sana kwenye Internet.
 
Ukubwa wa chuo sio eneo baba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni facilities na wanafunzi, wacha kujitoa ufahamu
Japo sikipendi chuo cha Udom lakini sina wasiwasi na ukubwa wake. Kile chuo ni kikubwa aisee na wanafunzi wote wanaishi ndani ya chuo. Wanaosema kiko scattered sana basi ni ushamba tu unawasumbua. Huwezi ukaweka ndaki (colleges) za vitu tofauti karibu karibu maana itakua vurugu na kelele.

Ukubwa wa chuo sio idadi ya wanafunzi bali ni eneo. Maana shule ya kata inaweza kuwa na wanafunzi 1500 ndani ya eneo lenye ukubwa wa kiwanja cha mpira lakini shule kongwe mfano Tanga school ikawa na wanafunzi 800 ndani ya ekari 70. Hapo ni ujinga kusema ile shule ya kata ni kubwa kwa sababu tu ina wanafunzi wengi.

Kwenye mashindano ya vyuo vya East Africa yaliyofanyika UDOM, chuo kiliwahifadhi wanamichezo 4000+ bila kumhamisha mwanfunzi yeyote. Baadhi wanafunzi walikua wanapotea kuonyesha ni jinsi gani chuo kilivyo kikubwa. Wale wanafunzi 7000+ wa special diploma ya ualimu waliondolewa na Magufuli lakini wala haikoonekana kama kuna watu wamepungua. UDOM bado haijajaa na ndio maana baadhi ya wizara ziko ndani ya chuo. Eneo langu pendwa pale Udom ni lile lenye ndaki za sheria, humanities, na biashara. Kuna swimming pool pale nilipendelea sana kwenda kupumzika.

Ukubwa Udom haina mpinzani ila kwenye ubora wa elimu inayotolewa pale sitii neno lolote.
 
Wow, Nairobi uni 70 000, kuna pia distance learning? Au hao ni fulltime students?
Do you want to join the best University in EA and the ninth best in the continent? I can help you
 
Udom inafasilities za kila aina buda, inamajengo na sekta tofauti na kila sekta ina majengo sio chini ya kumi ya floor 5 each kubeba capacity kubwa ya wanafunzi . Wanafunzi bado hawatokuwa wengi coz wanafunz wa diploma waliondolewa pale na vyuo ni vingi Tz na wahitim wa kidato cha sita ni wachache sana kwa mwaka atleast nowdays idadi ni kubwa wasomi ni wengi kdgo ndo mana idadi yazidi kukua pale
Ukubwa wa chuo sio eneo baba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni facilities na wanafunzi, wacha kujitoa ufahamu
 
Ukubwa wa chuo sio eneo baba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ni facilities na wanafunzi, wacha kujitoa ufahamu
Kwani udom ina facilities chache?.halafu uwingi wa wanafunzi unafanyaje chuo kiwe kikubwa?(kwa mimi naona chuo kitakua congested na sio kuwa ni kikubwa). Naomba unielimishe vizuri hapo maana elimu haina mwisho
 
You said Nairobi uni is 70,000 students?
Can you explain this please?
PhotoGrid_1570984529887.jpg
 
Yani chuo kina uwezo wa ku host wanafunzi 40000 tu
Hao wote wanakaa ndani ya chuo, sasa UON kina uwezo wa kubeba wanafunzi hao on campus?. Halafu usilinganishe chuo kimoja kikubwa cha Udom na UON ambayo ina campuses na constituent colleges zaidi ya 10. Tanzania chuo kikikua tu kinaanza kujitegemea, Sokoine University, Ardhi University, na Muhimbili university zilikua chini ya Udsm lakini siku hizi vinajitegemea.

UDOM ndio chuo pekee Tanzania na East Africa (arguably) ambacho ukidahiliwa tu huna wasiwasi na accommodation ila hivi vingine ukifika tu 2nd year unaanza kuishi kwa kuungaunga na kubebwa. Wanafunzi 40k ndani ya eneo moja usifanye mchezo.

Hapa hatufanyi mashindano ila tunaongea facts tu. UDOM ina miaka 12 toka ianze kufanya kazi na kufika 2025 inategemea kuwa na wanafunzi 50k ndani ya hiyohiyo campus moja. Sikipendi chuo cha Udom hata kidogo ila mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
 
Eti 50k..cheki [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Hao wote wanakaa ndani ya chuo, sasa UON kina uwezo wa kubeba wanafunzi hao on campus?. Halafu usilinganishe chuo kimoja kikubwa cha Udom na UON ambayo ina campuses na constituent colleges zaidi ya 10. Tanzania chuo kikikua tu kinaanza kujitegemea, Sokoine University, Ardhi University, na Muhimbili university zilikua chini ya Udsm lakini siku hizi vinajitegemea.

UDOM ndio chuo pekee Tanzania na East Africa (arguably) ambacho ukidahiliwa tu huna wasiwasi na accommodation ila hivi vingine ukifika tu 2nd year unaanza kuishi kwa kuungaunga na kubebwa. Wanafunzi 40k ndani ya eneo moja usifanye mchezo.

Hapa hatufanyi mashindano ila tunaongea facts tu. UDOM ina miaka 12 toka ianze kufanya kazi na kufika 2025 inategemea kuwa na wanafunzi 50k ndani ya hiyohiyo campus moja. Sikipendi chuo cha Udom hata kidogo ila mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
20191013_202511.jpeg
 
WaKenya jameni msibishane na hawa majamaa. Its clear they're provoking you for the sake of keeping the site busy. Wakianza kubishana na mambo ya UDOM I was expecting you don't even mention KU ama UoN. Kuna ingine inaitwa South Eastern iko Kitui it's a perfect fit for them. Tusipatie hawa washenzi airtime jameni.
 
Back
Top Bottom