East Air Force - Sukhoi and Mikoyan

East Air Force - Sukhoi and Mikoyan

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Hello wana East.
Leo nakuja na ulinzi wa anga katika nchi za East Africa hususani nchi zinazotumia Ndege vita generation za kutoka Russia.
Kuna makampuni haya mawili ya Russia ambayo yanatengeneza ndege.

UTANGULIZI
Baada ya USSR kuvunjika, utengenezaji na uuzaji wa slaha kutoka katika makampuni ya ndege nchini Russia uli[ungua kwa kasi. Ndipo 20 February 2006 raisi wa Russia Vladimir Putin alisaini Presidential Decree No. 140 kwamba Ilyushin, Irkut, Mikoyan, Sukhoi, Tupolev na Yakovlev kwamba yatakuwa makampuni ya United Aircraft Corporation (joint-stock company) ili kuwezesha uzalishaji kuongezeka.

Bila kupoteza muda kabisa tunakuja hapa EAC. Utagundua kwamba Uganda wamenunu ndege vita kutoka Sukhoi ambayo inakwenda kwa jina Su-30. Huku kwa upande mwingine Tanzania ikiendelea na ndege kutoka Mikoyan. Kenya yenyewe imejitenga kabisa katika hili suala yenyewe ikitumia ndege vita kutoka USA(Steal Technology). Tanzania imekuwa ikitumia series mbalimbali za Mikoyan. Kulingana na website ya TPDF inaonesha kwamba Kwa sasa Tanzania inatumia Ndege vita aina ya Mig-29.
Mig-29 inayotumiaka Tanzania ipo upgrated kuweza kufiti 4.5 Generation of Fighter Jets.
Tembelea hapa: Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
1539506971464.png

Mig-29
1539507156929.png

Su-30

Tofauti ya Sukhoi Generation na Mikoyan generation
Sukhoi zimetengenezwa kwa ajili ya long range fighting lakini Mikoyan zimetengenezwa kwaajili ya short range fighting. Kwa upange wa ndege za USA hizi ndege mbili unaweza ukafananisha kidogo na F-15 and F-16. Japo Su-30 na Mig-29 zipo na uwezo mkubwa dhidi ya F-15 and F-16.

Kwa upande wa anga utagundua Uganda na Tanzania wananunua silaha kwa kushirikiana. Ikumbukwe ndege hizi Su-30 na Mig-29 zilitengenezwa katika nyakati tofauti, ikumbukwe kuwa mig-29 zilitengenezwa wakati mmoja na Su-27. Lakini kumekuwa na upgrade kutoka Su-27 mpaka Su-30 wakati huo huo jina la mig-29 limebakia pale.

Mpaka kwa sasa Mig-35 na Su-35 zimetengenezwa na lengo ni lile lile tu.
Ikumbukwe kwamba Mikoyan zimetengeneza kwaajili ya kuwa na speed kubwa wakati Sukhoi zimetengenezwa kwaajili ya kwenda mbali. Wataalamu wa mambo ya kivita wanasema Mikoyan zinafaa sana kwaajili ya interception kutokana na speed zake kuwa kubwa. Wakati Sukhoi zenyewe zimetengenezwa kwa lengo la air superior.

Kama tunataka fast interceptor Mig-29 ni bora zaidi inazizidi F-15/16/18, Su-27/30/35, Rafale, Eurofighter etc. Inazidiwa kidogo na F-22.
Tofauti ya Su-30 na Mig-29 ni kwamba Su-30 inaweza ikaonekana kiurahisi kwenye radar kutokana na umbo lake kuwa kubwa na kwamba inabeba siraha nzito nzito. Huku Mig-29 ni vigumu kuiona kwenye radar na kwamba speed yake ni kubwa.

Conclusion
Kama itatokea vita kati ya Uganda na Kenya. Kenya itapigwa hand down kutokana na ubora wa fighter jets za Uganda.
Kama itatokea Vita Kati ya Tanzania na Kenya. Kenya itapigwa hand down kutokana na ubora wa fighter jets za Tanzania.
Kama itatokea Vita na tayari ilishawahi kutokea kati ya Tanzania na Uganda kwa sasa. Uganda hawezi kutumia ndege yake Su-30 kutokana na kwamba itaangushwa na SAM zilizopo TZ. Vita ikitokea kati ya Tanzania na Uganda Fighter Jets zilizopo zitakuwa siyo primary. Hata hivyo wanajeshi wa Uganda wote wamepata mafunzo toka TZ. Kwahiyo TZ itashinda Hand down.

Mwisho kabisa: Strategies za kila nchi zinatofautiana. Kwa upande wa Kenya tunaona kuwa wanatumia pesa nyingi sana kununua zana ambazo hazina uwezo kwenye medani. Kenya inatumia F-5 ambazo ni second generation. Hata kama Kenya itatumia F-15 au F-16 bado katika haitaweza kufua dafu.
Ushauri kama kenya inataka kweli kuimaridha Air base wanatakiwa wanunue F-22. Na ikitokea hivyo basi nchi jirani kama Uganda na Tanzania watanunua Su-35 na J-20. Upande wa strategy kenya imezidiwa kidogo.

Karibuni sasa tujadili kwa undani zaidi.
 
Unaongea y vita n big bro akituwekea sanctions siku Moja ivi tuta panua midomo
Sijakuelewa hapa. Hebu jaribu kufafanua kidogo, ili mjadala uwe mpana zaidi. Mimi nitakuja na nondo nyingi tu za kuelezea.
 
Naomba unielezee zaidi kuhusu kushirikiana baina ya Tanzania na Uganda kwenye manunuzi...
 
Wakenya waliwezinwa sifa halaf hakuna kitu yani ni mabongolala unatumiaje f5 nyakati hizi.. Hyo ndege ata manati inaitungua.. But naomba kufaham Why Mrusi anatumia Su 30 kule Syria.. Hatumii Mig 29 coz naona kwa maelezo hako Mig ni superior to Su_30
 
Hello wana East.
Leo nakuja na ulinzi wa anga katika nchi za East Africa hususani nchi zinazotumia Ndege vita generation za kutoka Russia.
Kuna makampuni haya mawili ya Russia ambayo yanatengeneza ndege.

UTANGULIZI
Baada ya USSR kuvunjika, utengenezaji na uuzaji wa slaha kutoka katika makampuni ya ndege nchini Russia uli[ungua kwa kasi. Ndipo 20 February 2006 raisi wa Russia Vladimir Putin alisaini Presidential Decree No. 140 kwamba Ilyushin, Irkut, Mikoyan, Sukhoi, Tupolev na Yakovlev kwamba yatakuwa makampuni ya United Aircraft Corporation (joint-stock company) ili kuwezesha uzalishaji kuongezeka.

Bila kupoteza muda kabisa tunakuja hapa EAC. Utagundua kwamba Uganda wamenunu ndege vita kutoka Sukhoi ambayo inakwenda kwa jina Su-30. Huku kwa upande mwingine Tanzania ikiendelea na ndege kutoka Mikoyan. Kenya yenyewe imejitenga kabisa katika hili suala yenyewe ikitumia ndege vita kutoka USA(Steal Technology). Tanzania imekuwa ikitumia series mbalimbali za Mikoyan. Kulingana na website ya TPDF inaonesha kwamba Kwa sasa Tanzania inatumia Ndege vita aina ya Mig-29.
Mig-29 inayotumiaka Tanzania ipo upgrated kuweza kufiti 4.5 Generation of Fighter Jets.
Tembelea hapa: Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
View attachment 897740
Mig-29
View attachment 897750
Su-30

Tofauti ya Sukhoi Generation na Mikoyan generation
Sukhoi zimetengenezwa kwa ajili ya long range fighting lakini Mikoyan zimetengenezwa kwaajili ya short range fighting. Kwa upange wa ndege za USA hizi ndege mbili unaweza ukafananisha kidogo na F-15 and F-16. Japo Su-30 na Mig-29 zipo na uwezo mkubwa dhidi ya F-15 and F-16.

Kwa upande wa anga utagundua Uganda na Tanzania wananunua silaha kwa kushirikiana. Ikumbukwe ndege hizi Su-30 na Mig-29 zilitengenezwa katika nyakati tofauti, ikumbukwe kuwa mig-29 zilitengenezwa wakati mmoja na Su-27. Lakini kumekuwa na upgrade kutoka Su-27 mpaka Su-30 wakati huo huo jina la mig-29 limebakia pale.

Mpaka kwa sasa Mig-35 na Su-35 zimetengenezwa na lengo ni lile lile tu.
Ikumbukwe kwamba Mikoyan zimetengeneza kwaajili ya kuwa na speed kubwa wakati Sukhoi zimetengenezwa kwaajili ya kwenda mbali. Wataalamu wa mambo ya kivita wanasema Mikoyan zinafaa sana kwaajili ya interception kutokana na speed zake kuwa kubwa. Wakati Sukhoi zenyewe zimetengenezwa kwa lengo la air superior.

Kama tunataka fast interceptor Mig-29 ni bora zaidi inazizidi F-15/16/18, Su-27/30/35, Rafale, Eurofighter etc. Inazidiwa kidogo na F-22.
Tofauti ya Su-30 na Mig-29 ni kwamba Su-30 inaweza ikaonekana kiurahisi kwenye radar kutokana na umbo lake kuwa kubwa na kwamba inabeba siraha nzito nzito. Huku Mig-29 ni vigumu kuiona kwenye radar na kwamba speed yake ni kubwa.

Conclusion
Kama itatokea vita kati ya Uganda na Kenya. Kenya itapigwa hand down kutokana na ubora wa fighter jets za Uganda.
Kama itatokea Vita Kati ya Tanzania na Kenya. Kenya itapigwa hand down kutokana na ubora wa fighter jets za Tanzania.
Kama itatokea Vita na tayari ilishawahi kutokea kati ya Tanzania na Uganda kwa sasa. Uganda hawezi kutumia ndege yake Su-30 kutokana na kwamba itaangushwa na SAM zilizopo TZ. Vita ikitokea kati ya Tanzania na Uganda Fighter Jets zilizopo zitakuwa siyo primary. Hata hivyo wanajeshi wa Uganda wote wamepata mafunzo toka TZ. Kwahiyo TZ itashinda Hand down.

Mwisho kabisa: Strategies za kila nchi zinatofautiana. Kwa upande wa Kenya tunaona kuwa wanatumia pesa nyingi sana kununua zana ambazo hazina uwezo kwenye medani. Kenya inatumia F-5 ambazo ni second generation. Hata kama Kenya itatumia F-15 au F-16 bado katika haitaweza kufua dafu.
Ushauri kama kenya inataka kweli kuimaridha Air base wanatakiwa wanunue F-22. Na ikitokea hivyo basi nchi jirani kama Uganda na Tanzania watanunua Su-35 na J-20. Upande wa strategy kenya imezidiwa kidogo.

Karibuni sasa tujadili kwa undani zaidi.
Uzuri haya mambo wahusika wanajua ukweli, kwa E.A jeshi la Tz lina nguvu sana. Nilishawahi kufundishwa na wanajeshi wa U.G kwenye coz fulani fupi. Jamaa wana adabu sana kwa T.Z, halafu mwanajeshi UG lazima ajue kiswahili. Kufuatilia nikagundua ni kwa sababu ya Tz ime watrain toka kipindi hiko jeshi lao likiwa changa. Ata hilo la kununua silaha kwa pamoja itakua sababu ni hiyo hiyo.
 
Wakenya waliwezinwa sifa.. But naomba kufaham Why Mrusi anatumia Su 30 kule Syria.. Hatumii Mig 29 coz naona kwa maelezo hako Mig ni superior to Su_30
Hapana sijasema Mig-29 ni superior kwa Su-30. Kila moja inafanya kazi kwa mission tofauti kabisa. Su-30 ni kubwa na inabeba silaha kubwa kubwa inauwezo wa kukaa angani kwa muda mrefu.
Mig-29 ni interceptor fighter jet na haikai muda mrefu angani. Sasa basi kila moja inafanya kwa mission yake.
Ukiziweka head to head utakuwa umekosea sana maana kila moja inatumika kwa mission tofauti.
 
Hapana sijasema Mig-29 ni superior kwa Su-30. Kila moja inafanya kazi kwa mission tofauti kabisa. Su-30 ni kubwa na inabeba silaha kubwa kubwa inauwezo wa kukaa angani kwa muda mrefu.
Mig-29 ni interceptor fighter jet na haikai muda mrefu angani. Sasa basi kila moja inafanya kwa mission yake.
Ukiziweka head to head utakuwa umekosea sana maana kila moja inatumika kwa mission tofauti.
Jibu why hazitumiki Syria.. Zinatumika SU 30
 
Naomba unielezee zaidi kuhusu kushirikiana baina ya Tanzania na Uganda kwenye manunuzi...
Kwamtazamo tu utaona namna ya Silaha za Uganda na Tanzania zinavyonunuliwa. Uganda kununua Su-30 na Tanzania kununua mig-29 utaona kabisa ni kama jeshi moja linaweka strategy za pamoja.

Kama nilivyoeleza hapo juu Su-30 ni heavy mashine inabeba silaha nzito nzito. Wakati Mig-29 ni light fighter jet na maneuverability yake ni makubwa. So katika strategy Mig-29 inafanya interception huku Su-30 inafanya mashambulio makubwa.
 
Kwamtazamo tu utaona namna ya Silaha za Uganda na Tanzania zinavyonunuliwa. Uganda kununua Su-30 na Tanzania kununua mig-29 utaona kabisa ni kama jeshi moja linaweka strategy za pamoja.

Kama nilivyoeleza hapo juu Su-30 ni heavy mashine inabeba silaha nzito nzito. Wakati Mig-29 ni light fighter jet na maneuverability yake ni makubwa. So katika strategy Mig-29 inafanya interception huku Su-30 inafanya mashambulio makubwa.
Nmekusoma..waganda ni ndugu zetu wa damu
 
God forbid!!! Singetaka vita vyoyote vitokee hapa afrika mashariki maana vitaleta hasara nyingi mno ikiwamo uchumi wa nchi husika kudorora. Tuendelee kudumisha amani. Mungu ibariki afrika
Naona umeanza kuogopa sasa. Mnatakiwa muache kupiga kelele nyingi. Mnapokuwa mnapiga kelele tunawachora tu.
 
Hello wana East.
Leo nakuja na ulinzi wa anga katika nchi za East Africa hususani nchi zinazotumia Ndege vita generation za kutoka Russia.
Kuna makampuni haya mawili ya Russia ambayo yanatengeneza ndege.

UTANGULIZI
Baada ya USSR kuvunjika, utengenezaji na uuzaji wa slaha kutoka katika makampuni ya ndege nchini Russia uli[ungua kwa kasi. Ndipo 20 February 2006 raisi wa Russia Vladimir Putin alisaini Presidential Decree No. 140 kwamba Ilyushin, Irkut, Mikoyan, Sukhoi, Tupolev na Yakovlev kwamba yatakuwa makampuni ya United Aircraft Corporation (joint-stock company) ili kuwezesha uzalishaji kuongezeka.

Bila kupoteza muda kabisa tunakuja hapa EAC. Utagundua kwamba Uganda wamenunu ndege vita kutoka Sukhoi ambayo inakwenda kwa jina Su-30. Huku kwa upande mwingine Tanzania ikiendelea na ndege kutoka Mikoyan. Kenya yenyewe imejitenga kabisa katika hili suala yenyewe ikitumia ndege vita kutoka USA(Steal Technology). Tanzania imekuwa ikitumia series mbalimbali za Mikoyan. Kulingana na website ya TPDF inaonesha kwamba Kwa sasa Tanzania inatumia Ndege vita aina ya Mig-29.
Mig-29 inayotumiaka Tanzania ipo upgrated kuweza kufiti 4.5 Generation of Fighter Jets.
Tembelea hapa: Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
View attachment 897740
Mig-29
View attachment 897750
Su-30

Tofauti ya Sukhoi Generation na Mikoyan generation
Sukhoi zimetengenezwa kwa ajili ya long range fighting lakini Mikoyan zimetengenezwa kwaajili ya short range fighting. Kwa upange wa ndege za USA hizi ndege mbili unaweza ukafananisha kidogo na F-15 and F-16. Japo Su-30 na Mig-29 zipo na uwezo mkubwa dhidi ya F-15 and F-16.

Kwa upande wa anga utagundua Uganda na Tanzania wananunua silaha kwa kushirikiana. Ikumbukwe ndege hizi Su-30 na Mig-29 zilitengenezwa katika nyakati tofauti, ikumbukwe kuwa mig-29 zilitengenezwa wakati mmoja na Su-27. Lakini kumekuwa na upgrade kutoka Su-27 mpaka Su-30 wakati huo huo jina la mig-29 limebakia pale.

Mpaka kwa sasa Mig-35 na Su-35 zimetengenezwa na lengo ni lile lile tu.
Ikumbukwe kwamba Mikoyan zimetengeneza kwaajili ya kuwa na speed kubwa wakati Sukhoi zimetengenezwa kwaajili ya kwenda mbali. Wataalamu wa mambo ya kivita wanasema Mikoyan zinafaa sana kwaajili ya interception kutokana na speed zake kuwa kubwa. Wakati Sukhoi zenyewe zimetengenezwa kwa lengo la air superior.

Kama tunataka fast interceptor Mig-29 ni bora zaidi inazizidi F-15/16/18, Su-27/30/35, Rafale, Eurofighter etc. Inazidiwa kidogo na F-22.
Tofauti ya Su-30 na Mig-29 ni kwamba Su-30 inaweza ikaonekana kiurahisi kwenye radar kutokana na umbo lake kuwa kubwa na kwamba inabeba siraha nzito nzito. Huku Mig-29 ni vigumu kuiona kwenye radar na kwamba speed yake ni kubwa.

Conclusion
Kama itatokea vita kati ya Uganda na Kenya. Kenya itapigwa hand down kutokana na ubora wa fighter jets za Uganda.
Kama itatokea Vita Kati ya Tanzania na Kenya. Kenya itapigwa hand down kutokana na ubora wa fighter jets za Tanzania.
Kama itatokea Vita na tayari ilishawahi kutokea kati ya Tanzania na Uganda kwa sasa. Uganda hawezi kutumia ndege yake Su-30 kutokana na kwamba itaangushwa na SAM zilizopo TZ. Vita ikitokea kati ya Tanzania na Uganda Fighter Jets zilizopo zitakuwa siyo primary. Hata hivyo wanajeshi wa Uganda wote wamepata mafunzo toka TZ. Kwahiyo TZ itashinda Hand down.

Mwisho kabisa: Strategies za kila nchi zinatofautiana. Kwa upande wa Kenya tunaona kuwa wanatumia pesa nyingi sana kununua zana ambazo hazina uwezo kwenye medani. Kenya inatumia F-5 ambazo ni second generation. Hata kama Kenya itatumia F-15 au F-16 bado katika haitaweza kufua dafu.
Ushauri kama kenya inataka kweli kuimaridha Air base wanatakiwa wanunue F-22. Na ikitokea hivyo basi nchi jirani kama Uganda na Tanzania watanunua Su-35 na J-20. Upande wa strategy kenya imezidiwa kidogo.

Karibuni sasa tujadili kwa undani zaidi.
Look at a poor third world country praising itself.
 
Jibu why hazitumiki Syria.. Zinatumika SU 30
SU-30 ni fighter inatumika kama lengo kuu ni kushambulia maeneo ya adui kama wanavyoshambua maeneo ya ISIS huko Syria. Kama ISIS wangekuwa na ndege za kivita zenye uwezo wa kukwepa surface to air missiles, Russia ingelazimika kutumia interceptors jet fighters MIG 29.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Na kama kuna Vita kenya itajiandaa vilivyo na kununua heavy weaponary kutoka US. Thats why Israel hiwezi pigwa na enemies wake ambao hutumia Russian weapons. In an event of any war The US & Britain will always protect and fight alongside their allies! I think by now unajua The British & US have their Military base in Kenya! Kuanzisha vita na kenya ni Kuchokoza the Capitalist allies directly & you will be met with fire & Fury never seen in this world!
 
We are talking the realty boy. Kenya using Second Generation Fighter Jest. While Uganda and Tanzania use 4th Generation.
Sasa tuseme ni kweli kwamba nyinyi watu mna jet kali kutushinda, hio haimaanishi mnaeza tushinda vita. Vita inahusisha mambo mengi sana, ndio maana Marekani hawakuweza kushinda North Vietnam. Ilibidi Marekani waondoke baada ya 'Tet offensive' wakawaacha marafiki zao wa south Vietnam matatani, kisha North Vietnam ikaingia South Vietnam na kushinda vita na kuunganisha nchi nzima, ikawa inaitwa Vietnam. Marekani walikuwa na silaha nzuri tu bali hawakuweza kuwashinda vietcongs. Unajua maana ya vita kweli?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Na kama kuna Vita kenya itajiandaa vilivyo na kununua heavy weaponary kutoka US. Thats why Israel hiwezi pigwa na enemies wake ambao hutumia Russian weapons. In an event of any war The US & Britain will always protect and fight alongside their allies! I think by now unajua The British & US have their Military base in Kenya! Kuanzisha vita na kenya ni Kuchokoza the Capitalist allies directly & you will be met with fire & Fury never seen in this world!
Kumtegemea mtu akulinde is the myopic point of thinking...what if siku wakiamua kuhamisha base yao.. Au mkataka wasepe..
 
Back
Top Bottom