East Air Force - Sukhoi and Mikoyan

East Air Force - Sukhoi and Mikoyan

Hovyo kabisa.. Unategemea wazungu wakulilinde.... What if wakiamua kuondoka
Hakuna mzungu anaemlinda muafrika, marekani inaanzisha military bases ili kuweza kutafuta masoko na kuuza silaha zake kirahisi, Kenya na Tz zikipigana Mmarekani atakaa karibu na kumshawishi mkenya silaha za kununua kutoka kwake, atauza technology na mengine mengi.
 
Soma historia..wakati Moja idi amin alitaka kutumia hayo majet y Russia kubomb NRB..Israel n USA wakarespond ilibidi a acheze chini
Hapa unaleta maana ipi? Kwahiyo mnategemea USA ataingilia kati kama mtataka kupigwa?
 
Read BTW the lines.. US hawaezi Kubali nchi zilizo Jaa maskini kupigana n either kuintervene ama sanctions ambazo zitatuhemesha
Nothing btw youe lines. Nchi yenye njaa labda ni kenya pekee.
 
Correction annael. Bado tz hatuna MIG - 29
Bado tunatumia Mig- 21. Na 2008 zilifanyiwa upgrade na china zikawa F- 7. Uganda tu ndio wana Mig - 30.
And interms of interceptor Mig - 29 si bora kuliko F- 16, Raphale.

F-16 Zili undergo upgrade BLOCK B, Block C, Block D na sasa BLOCK F.
F-16F. Ni more advanced kuliko hata F-16 yakwanza.
Hizi hata israel wanazitumia mpaka leo kwenye vita zao.

Rafale F1 una i undergrade. Hii ni zaid ya interceptor , designed as multirole fighters.
Best kuliko hata F-16, na katika mazoezi ktk hali fulan iliizidi F- 22. Ni highly manuverable sababa ya canal delta wing configurations.
Hello wana East.
Leo nakuja na ulinzi wa anga katika nchi za East Africa hususani nchi zinazotumia Ndege vita generation za kutoka Russia.
Kuna makampuni haya mawili ya Russia ambayo yanatengeneza ndege.

UTANGULIZI
Baada ya USSR kuvunjika, utengenezaji na uuzaji wa slaha kutoka katika makampuni ya ndege nchini Russia uli[ungua kwa kasi. Ndipo 20 February 2006 raisi wa Russia Vladimir Putin alisaini Presidential Decree No. 140 kwamba Ilyushin, Irkut, Mikoyan, Sukhoi, Tupolev na Yakovlev kwamba yatakuwa makampuni ya United Aircraft Corporation (joint-stock company) ili kuwezesha uzalishaji kuongezeka.

Bila kupoteza muda kabisa tunakuja hapa EAC. Utagundua kwamba Uganda wamenunu ndege vita kutoka Sukhoi ambayo inakwenda kwa jina Su-30. Huku kwa upande mwingine Tanzania ikiendelea na ndege kutoka Mikoyan. Kenya yenyewe imejitenga kabisa katika hili suala yenyewe ikitumia ndege vita kutoka USA(Steal Technology). Tanzania imekuwa ikitumia series mbalimbali za Mikoyan. Kulingana na website ya TPDF inaonesha kwamba Kwa sasa Tanzania inatumia Ndege vita aina ya Mig-29.
Mig-29 inayotumiaka Tanzania ipo upgrated kuweza kufiti 4.5 Generation of Fighter Jets.
Tembelea hapa: Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
View attachment 897740
Mig-29
View attachment 897750
Su-30

Tofauti ya Sukhoi Generation na Mikoyan generation
Sukhoi zimetengenezwa kwa ajili ya long range fighting lakini Mikoyan zimetengenezwa kwaajili ya short range fighting. Kwa upange wa ndege za USA hizi ndege mbili unaweza ukafananisha kidogo na F-15 and F-16. Japo Su-30 na Mig-29 zipo na uwezo mkubwa dhidi ya F-15 and F-16.

Kwa upande wa anga utagundua Uganda na Tanzania wananunua silaha kwa kushirikiana. Ikumbukwe ndege hizi Su-30 na Mig-29 zilitengenezwa katika nyakati tofauti, ikumbukwe kuwa mig-29 zilitengenezwa wakati mmoja na Su-27. Lakini kumekuwa na upgrade kutoka Su-27 mpaka Su-30 wakati huo huo jina la mig-29 limebakia pale.

Mpaka kwa sasa Mig-35 na Su-35 zimetengenezwa na lengo ni lile lile tu.
Ikumbukwe kwamba Mikoyan zimetengeneza kwaajili ya kuwa na speed kubwa wakati Sukhoi zimetengenezwa kwaajili ya kwenda mbali. Wataalamu wa mambo ya kivita wanasema Mikoyan zinafaa sana kwaajili ya interception kutokana na speed zake kuwa kubwa. Wakati Sukhoi zenyewe zimetengenezwa kwa lengo la air superior.

Kama tunataka fast interceptor Mig-29 ni bora zaidi inazizidi F-15/16/18, Su-27/30/35, Rafale, Eurofighter etc. Inazidiwa kidogo na F-22.
Tofauti ya Su-30 na Mig-29 ni kwamba Su-30 inaweza ikaonekana kiurahisi kwenye radar kutokana na umbo lake kuwa kubwa na kwamba inabeba siraha nzito nzito. Huku Mig-29 ni vigumu kuiona kwenye radar na kwamba speed yake ni kubwa.

Conclusion
Kama itatokea vita kati ya Uganda na Kenya. Kenya itapigwa hand down kutokana na ubora wa fighter jets za Uganda.
Kama itatokea Vita Kati ya Tanzania na Kenya. Kenya itapigwa hand down kutokana na ubora wa fighter jets za Tanzania.
Kama itatokea Vita na tayari ilishawahi kutokea kati ya Tanzania na Uganda kwa sasa. Uganda hawezi kutumia ndege yake Su-30 kutokana na kwamba itaangushwa na SAM zilizopo TZ. Vita ikitokea kati ya Tanzania na Uganda Fighter Jets zilizopo zitakuwa siyo primary. Hata hivyo wanajeshi wa Uganda wote wamepata mafunzo toka TZ. Kwahiyo TZ itashinda Hand down.

Mwisho kabisa: Strategies za kila nchi zinatofautiana. Kwa upande wa Kenya tunaona kuwa wanatumia pesa nyingi sana kununua zana ambazo hazina uwezo kwenye medani. Kenya inatumia F-5 ambazo ni second generation. Hata kama Kenya itatumia F-15 au F-16 bado katika haitaweza kufua dafu.
Ushauri kama kenya inataka kweli kuimaridha Air base wanatakiwa wanunue F-22. Na ikitokea hivyo basi nchi jirani kama Uganda na Tanzania watanunua Su-35 na J-20. Upande wa strategy kenya imezidiwa kidogo.

Karibuni sasa tujadili kwa undani zaidi.
 
Hatuna uwezo wa kununua chinese J-20 sababu haziuzwi. China wenyewe hawaziuzi.

Su-35 maybe , ila tatizo gharama za uendeshaji. Ndege hizi hazigawiwi kama pipi.

Mpaka sasa ni nchi tatu zenye su -35. Indonesia , china na urusi wenyewe. Curently india order bado haijakamilika.
Hello wana East.
Leo nakuja na ulinzi wa anga katika nchi za East Africa hususani nchi zinazotumia Ndege vita generation za kutoka Russia.
Kuna makampuni haya mawili ya Russia ambayo yanatengeneza ndege.

UTANGULIZI
Baada ya USSR kuvunjika, utengenezaji na uuzaji wa slaha kutoka katika makampuni ya ndege nchini Russia uli[ungua kwa kasi. Ndipo 20 February 2006 raisi wa Russia Vladimir Putin alisaini Presidential Decree No. 140 kwamba Ilyushin, Irkut, Mikoyan, Sukhoi, Tupolev na Yakovlev kwamba yatakuwa makampuni ya United Aircraft Corporation (joint-stock company) ili kuwezesha uzalishaji kuongezeka.

Bila kupoteza muda kabisa tunakuja hapa EAC. Utagundua kwamba Uganda wamenunu ndege vita kutoka Sukhoi ambayo inakwenda kwa jina Su-30. Huku kwa upande mwingine Tanzania ikiendelea na ndege kutoka Mikoyan. Kenya yenyewe imejitenga kabisa katika hili suala yenyewe ikitumia ndege vita kutoka USA(Steal Technology). Tanzania imekuwa ikitumia series mbalimbali za Mikoyan. Kulingana na website ya TPDF inaonesha kwamba Kwa sasa Tanzania inatumia Ndege vita aina ya Mig-29.
Mig-29 inayotumiaka Tanzania ipo upgrated kuweza kufiti 4.5 Generation of Fighter Jets.
Tembelea hapa: Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
View attachment 897740
Mig-29
View attachment 897750
Su-30

Tofauti ya Sukhoi Generation na Mikoyan generation
Sukhoi zimetengenezwa kwa ajili ya long range fighting lakini Mikoyan zimetengenezwa kwaajili ya short range fighting. Kwa upange wa ndege za USA hizi ndege mbili unaweza ukafananisha kidogo na F-15 and F-16. Japo Su-30 na Mig-29 zipo na uwezo mkubwa dhidi ya F-15 and F-16.

Kwa upande wa anga utagundua Uganda na Tanzania wananunua silaha kwa kushirikiana. Ikumbukwe ndege hizi Su-30 na Mig-29 zilitengenezwa katika nyakati tofauti, ikumbukwe kuwa mig-29 zilitengenezwa wakati mmoja na Su-27. Lakini kumekuwa na upgrade kutoka Su-27 mpaka Su-30 wakati huo huo jina la mig-29 limebakia pale.

Mpaka kwa sasa Mig-35 na Su-35 zimetengenezwa na lengo ni lile lile tu.
Ikumbukwe kwamba Mikoyan zimetengeneza kwaajili ya kuwa na speed kubwa wakati Sukhoi zimetengenezwa kwaajili ya kwenda mbali. Wataalamu wa mambo ya kivita wanasema Mikoyan zinafaa sana kwaajili ya interception kutokana na speed zake kuwa kubwa. Wakati Sukhoi zenyewe zimetengenezwa kwa lengo la air superior.

Kama tunataka fast interceptor Mig-29 ni bora zaidi inazizidi F-15/16/18, Su-27/30/35, Rafale, Eurofighter etc. Inazidiwa kidogo na F-22.
Tofauti ya Su-30 na Mig-29 ni kwamba Su-30 inaweza ikaonekana kiurahisi kwenye radar kutokana na umbo lake kuwa kubwa na kwamba inabeba siraha nzito nzito. Huku Mig-29 ni vigumu kuiona kwenye radar na kwamba speed yake ni kubwa.

Conclusion
Kama itatokea vita kati ya Uganda na Kenya. Kenya itapigwa hand down kutokana na ubora wa fighter jets za Uganda.
Kama itatokea Vita Kati ya Tanzania na Kenya. Kenya itapigwa hand down kutokana na ubora wa fighter jets za Tanzania.
Kama itatokea Vita na tayari ilishawahi kutokea kati ya Tanzania na Uganda kwa sasa. Uganda hawezi kutumia ndege yake Su-30 kutokana na kwamba itaangushwa na SAM zilizopo TZ. Vita ikitokea kati ya Tanzania na Uganda Fighter Jets zilizopo zitakuwa siyo primary. Hata hivyo wanajeshi wa Uganda wote wamepata mafunzo toka TZ. Kwahiyo TZ itashinda Hand down.

Mwisho kabisa: Strategies za kila nchi zinatofautiana. Kwa upande wa Kenya tunaona kuwa wanatumia pesa nyingi sana kununua zana ambazo hazina uwezo kwenye medani. Kenya inatumia F-5 ambazo ni second generation. Hata kama Kenya itatumia F-15 au F-16 bado katika haitaweza kufua dafu.
Ushauri kama kenya inataka kweli kuimaridha Air base wanatakiwa wanunue F-22. Na ikitokea hivyo basi nchi jirani kama Uganda na Tanzania watanunua Su-35 na J-20. Upande wa strategy kenya imezidiwa kidogo.

Karibuni sasa tujadili kwa undani zaidi.
 
Correction annael. Bado tz hatuna MIG - 29
Bado tunatumia Mig- 21. Na 2008 zilifanyiwa upgrade na china zikawa F- 7. Uganda tu ndio wana Mig - 30.
And interms of interceptor Mig - 29 si bora kuliko F- 16, Raphale.

F-16 Zili undergo upgrade BLOCK B, Block C, Block D na sasa BLOCK F.
F-16F. Ni more advanced kuliko hata F-16 yakwanza.
Hizi hata israel wanazitumia mpaka leo kwenye vita zao.

Rafale F1 una i undergrade. Hii ni zaid ya interceptor , designed as multirole fighters.
Best kuliko hata F-16, na katika mazoezi ktk hali fulan iliizidi F- 22. Ni highly manuverable sababa ya canal delta wing configurations.
Asante kwa maelezo yako.
Mimi nimeleta taarifa na nikaweka link kabisa labda hukuangalia link niliyoiweka.
Hebu fuatilia kwenye hiyo link utaelewa ninamaanisha nini. Vitu vingine huwa haviwekwi wazi moja kwa moja.
Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
 
Mig - 29 si superior to Su - 30. Halafu kaka tz tuna mig-21. Si 29.
Wakenya waliwezinwa sifa halaf hakuna kitu yani ni mabongolala unatumiaje f5 nyakati hizi.. Hyo ndege ata manati inaitungua.. But naomba kufaham Why Mrusi anatumia Su 30 kule Syria.. Hatumii Mig 29 coz naona kwa maelezo hako Mig ni superior to Su_30
 
Na mimi nakuelekeza tu uende wikipedia website zenye taarifa sahihi. Japokuwa lugha ni ya kiingereza lakin utajua vingi.
Asante kwa maelezo yako.
Mimi nimeleta taarifa na nikaweka link kabisa labda hukuangalia link niliyoiweka.
Hebu fuatilia kwenye hiyo link utaelewa ninamaanisha nini. Vitu vingine huwa haviwekwi wazi moja kwa moja.
Mwanzo-Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania
 
Hatuna uwezo wa kununua chinese J-20 sababu haziuzwi. China wenyewe hawaziuzi.

Su-35 maybe , ila tatizo gharama za uendeshaji. Ndege hizi hazigawiwi kama pipi.

Mpaka sasa ni nchi tatu zenye su -35. Indonesia , china na urusi wenyewe. Curently india order bado haijakamilika.
Ukisoma kwa makini maelezo yangu utaelewa nilikuwa ninamaanisha nini.
Su-35 hiyo inakuwa kwaajili ya kuangamiza. Lakini likija suala la interception Mikoyan zinafaa.
Hapo nilikuwa ninaongelea ikiwa kenya wataweza kufanya upgrade ya Air force yao na kupata F-22 basi sisi tutaenda kwenye Mig-35 au J-20.

Kwanini kwa upande wa A-100 MRL imewezekana? Maana ni nchi tatu tu zinazomilk hizi silaha (China, Pakistan na Tanzania)
 
Na mimi nakuelekeza tu uende wikipedia website zenye taarifa sahihi. Japokuwa lugha ni ya kiingereza lakin utajua vingi.
Wewe maana ni waajabu sana. Mimi nakuletea taarifa kutoka website ya TPDF halafu wewe unaniambia niende wikipedia!?
Ninaweza kwenda wikipedia na kubadilisha sasa hivi kisha utashangaa.
Hebu sasa check hii link: Tanzania Air Force Command - Wikipedia
 
Hakuna anaejua. Ila ujue F-22 na F-35 haziuzwi na hakuna export version. Only huwa zinatolewa kwa washirika wamerakani tena kwa idhini ya bunge la congress na white house ndio ziende. Uingereza na israeli tu ndio wamepata, na tena F-35 tu. F- 22 haijauzwa kwa nxhi yoyote ile.

Unaposemea upgrade jua ni gharama. Currently nchi zetu hizi hazina uwezo wa kuoperate stealth. Ni very expensive 10 times kuliko hata ndege tulizonazo.
That why hata russia walifunga project ya T-50 moja ya chanzo ni gharama kubwa kupita kiasi.

To me ni bado sana sana, na mpaka nchi husika waruhusu. Na itachukua muda sana


Ukisoma kwa makini maelezo yangu utaelewa nilikuwa ninamaanisha nini.
Su-35 hiyo inakuwa kwaajili ya kuangamiza. Lakini likija suala la interception Mikoyan zinafaa.
Hapo nilikuwa ninaongelea ikiwa kenya wataweza kufanya upgrade ya Air force yao na kupata F-22 basi sisi tutaenda kwenye Mig-35 au J-20.

Kwanini kwa upande wa A-100 MRL imewezekana? Maana ni nchi tatu tu zinazomilk hizi silaha (China, Pakistan na Tanzania)
 
Nikwambie hiyo picha ya hiyo ndege. Ina logo ya indian airforce ambao bado anatumia Mig-29. Hiyo si logo ya airforce ya jwtz.

So kuwepo na oicha haimaanishi tz wanazo. Otherwise state inge confirm maana si jambo la kujificha.
Wewe maana ni waajabu sana. Mimi nakuletea taarifa kutoka website ya TPDF halafu wewe unaniambia niende wikipedia!?
Ninaweza kwenda wikipedia na kubadilisha sasa hivi kisha utashangaa.
Hebu sasa check hii link: Tanzania Air Force Command - Wikipedia
 
Nikwambie hiyo picha ya hiyo ndege. Ina logo ya indian airforce ambao bado anatumia Mig-29. Hiyo si logo ya airforce ya jwtz.

So kuwepo na oicha haimaanishi tz wanazo. Otherwise state inge confirm maana si jambo la kujificha.
India ndio walioupgrade hizo mig-29 iliziweze kufit kwenye under license. Sasa nikuulize TPDF ni waongo kuweka hiyo picha?
 
India ndio walioupgrade hizo mig-29 iliziweze kufit kwenye under license. Sasa nikuulize TPDF ni waongo kuweka hiyo picha?
Huyu jamaa umesha mmaliza na Wikipedia yake??? 😂😂😂 North Korea tumewahi watumia pia ku upgrade messel zetu
 
Back
Top Bottom