Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
TMK Wanaume Family ni kundi la muziki wa kizazi kipya kutoka Wilaya ya Temeke Jijini Dar es Salaam Tanzania. Kundi lilianzishwa rasmi mnamo Septemba 16 2002 mjini Mwanza, wakati wa uzinduzi wa albamu ya Juma Nature iitwayo Ugali na hadi sasa limejijengea umaarufu katika albamu zake mbili ilizotoa ambazo ni Kutokea Kiumeni na Ndio Zetu.
Wasanii wa kundi baadhi kabla ya wengine kujiengua ni Juma Nature, KR, Doro, D Chief, Mh Temba, Mzimu, Luteni Karama, Chegge, Yp, Y Dash, na wengineo, halafu baada ya kutengana kukawa na "Tmk Wanaume Halisi" na Tmk Wanaume. Tmk Wanaume kiongozi wa kundi ni Mh Temba na Chegge wakati Tmk Wanaume Halisi kiongozi wa kundi ni Juma Nature na Inspector Haroun.
Wasanii wa kundi baadhi kabla ya wengine kujiengua ni Juma Nature, KR, Doro, D Chief, Mh Temba, Mzimu, Luteni Karama, Chegge, Yp, Y Dash, na wengineo, halafu baada ya kutengana kukawa na "Tmk Wanaume Halisi" na Tmk Wanaume. Tmk Wanaume kiongozi wa kundi ni Mh Temba na Chegge wakati Tmk Wanaume Halisi kiongozi wa kundi ni Juma Nature na Inspector Haroun.
Unalikumbuka kundi la muziki la East Coast Team!?
Baadhi ya wasanii ambao walikuwawanaunda kundi hilo ni Ambwene Yesaya‘AY’, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’, mwanadada Judith Wambura ‘Jide’ na GK.