EATV awards 2016 nominees: Hatua ya kupiga kura

UTABIRI WANGU:
-Mwanamuziki KE..Vmoney
-Mwanamuziki ME..Ali Kiba
-Wimbo bora..Ben pol moyo mashine
-Video bora..Lady JD ndindindi
-Kikundi bora..Navy Kenzo
-Chipukizi..Man fongo
-Muigizaji ME..Gabo
bet kwa muhindi sijuh odd zake zimekaaje unaweza amka azam babarai
 
lakini mbona wasanii wengine wamechukua fomu kwani inapunguza nini?
Wasanii waliochukua form ni wachache sana kuna wasanii wamefanya vizuri sana mwaka huu wahapo apo imepunguza radha , mfano
Darasa
Billnass
Maua sama
Mr. Blue
Raymond
Harmonize
Shilole
Stamina
Roma
Jaymo
Belle9
Jux
Fid Q
Eddy kenzo
Bebe cool
Yamoto band
Chege
Madee
Elani
Na wengine kibao
 
Sasa ni ngumu kumlazimisha mtu kufanya kitu ambacho hataki.
 
Kwa hiyo wasanii wengi wangechukua form category zingeongezeka ?

Na una uhakika gani uliowataja hawakuchukua fomu ?
Mfano FID Q alisema kachukua fomu
 
Kwa hiyo wasanii wengi wangechukua form category zingeongezeka ?

Na una uhakika gani uliowataja hawakuchukua fomu ?
Mfano FID Q alisema kachukua fomu
Sizungumzii category nazungumzia ushindani na msisimko
 
Sizungumzii category nazungumzia ushindani na msisimko
Muziki wa Tanzania unaendeshwa na media house,IPP kuanzisha tuzo hawawezi kupata support kutoka media house nyingine (Clouds,EFM,Sahara Media,TBC,Times,Magic/Chanel 10)
So automatically ni ngumu hizo tuzo kuwa kufana/kuwa na ushindani kuna wasanii wa Clouds hawawezi kushiriki hizo tuzo
 
Hizi ni akili za kitumwa, hakuna tv station inayotazamwa na Watanzania wengi zaidi ya ITV wana EA tv kwa ajili ya entertainment na wana EA redio inasikika mpaka Nairobi na Kampala, achana na hicho kiredio cha washambenga clouds kinachoishia Magomeni.
 
Hizi ni akili za kitumwa, hakuna tv station inayotazamwa na Watanzania wengi zaidi ya ITV wana EA tv kwa ajili ya entertainment na wana EA redio inasikika mpaka Nairobi na Kampala, achana na hicho kiredio cha washambenga clouds kinachoishia Magomeni.
Sasa wewe hujui sisi Watanzania (Waafrika ) ni watumwa,Unaweza kuwa na coverage kubwa lakini wasikilizaji ni wachache (Mfano TBC).Clouds/TBC/Chanel10,StarTV
viko kwenye decoder za DSTV so wana coverage karibia Africa nzima.
 
Mwenzio anataka tuzo
Anasema Hataki Tuzo Eti Mziki Wake Ni Mkubwa Kuliko Tuzo, Halafu Anakimbilia Kwenda Kujaza Fomu Za EATV Awards! Kweli Too Many Dump People In This World.God Help! - WizkidAyo
 
Kiba ni haki yake kuwahia hizi tuzo, kwenye kabati lake ana uhaba wa tuzo mwacheni atleast na yeyey aongeze ongeze
 
Kwa leo nimepiga hivi
WIMBO BORA WA MWAKA -Moyo mashine
kUNDI BORA- saut soul
Mwanamuziki bora wa kike-Vannesa
Mwanamuziki bora wa kiume-Ben pol
Muigizaji bora wa kike-Kajala
Muigizaji bora wa kiume-Gabo
Video bora ya mwaka-Ndindindi
Filamu bora ya Mwaka-safari ya gwalu
Mwanamuziki bora anayechipukia-Man fongo.
 
Kuna kigezo kimoja kinasema kazi yako unaoipambanisha inabidi iwe imetoka ndani ya kipindi flani kitu ambacho wengi wa wasanii wa wasafi hawafit. nyimbo zao nyingi nzuri ni za hivi karibuni mwaka huu
Kama unafatiaga mziki bado na kwetu zimetoka lini
 
Kama unampenda sana Diamonds nenda madale madale akakupe kibaruwa cha kumchambisha Tiffa.
Au angemjazia form ashiriki badala yake.... Watu wengine sijui akili zao zikoje... Eti mbona kina fulani hawapo!!! Kwani hao kina nani bana basi waandae yao wawaite..
 
Wabongo bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…