pumzihaiuzwi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2015
- 3,273
- 3,083
Usifikiri Mzee Mengi anafanana na hao wapuuzi kama Ruge na Majay sijui.. Na usikute hata huyo Diamond mwenyewe hamjui..Soon inaweza ikawa DIAMOND vs MENGI akitoka hapa .....is Growin au Ameingia ujinga na YY ? Tusubir muda utujib
Sure! Hawa vijana wa "kata K" hawana adabu. Anamwekaje "Mzee Mengi" level ya kushindana na "wakata viuno?" Ajabu.Usifikiri Mzee Mengi anafanana na hao wapuuzi kama Ruge na Majay sijui.. Na usikute hata huyo Diamond mwenyewe hamjui..
Yawezekana hata Pocket Money ya wale mapacha wa Mengi ni utajiri wote wa Diamond na ukoo wake. Alafu Mzee wa watu akahangaike na huyo msanii ili apate nini?Sure! Hawa vijana wa "kata K" hawana adabu. Anamwekaje "Mzee Mengi" level ya kushindana na "wakata viuno?" Ajabu.
Huo mgogoro wa muda mrefu unao zungumzia ulithibitishwa na nani kati ya hizo pande mbili ?
Uko sahihiHebu leteni iyo interview tusikilize wasitafute kiki kupitia mondi kwanza hayo maelezo kibaya kaongea nn kunaubaya ukisema hutegemei tu radio na tv bali na social media hao EATV waache ubashite afu wamemkomalia mondi kivipi au kisa alisusia tuzo uchwara zao si wanamsanii wao pendwa waendelee nae WCB hatutoi kiki mfyuuu[emoji57]
Mgogoro wa diamond na vituo vya East Africa ulianza tangu 2014 walikuwa hawapigi nyimbo za Diamond , wakaja kusuluhisha 2016 mwanzoni wakaanza kupiga nyimbo za DiamondHuo mgogoro wa muda mrefu unao zungumzia ulithibitishwa na nani kati ya hizo pande mbili ?
Punguza muhemko.jamaa kidizain wanatafuta kiki kwa mondi ladeni...............
Nenda madale ukamuulize unatuuliza sisi tutajuaje sasa?Maskini akipata.......
Hizo TV na Redio anazozingumzia ni mpaka trace,Mtv,Sound City na Chanel O au ni TV za bongo peke yake?!
Nakuona nakuonaHuo mgogoro wa muda mrefu unao zungumzia ulithibitishwa na nani kati ya hizo pande mbili ?
Oyaa, kubali yaishe Diamond hapaswi kutamka hayo maneno kwa biashara anayoifanya.Hawa nimewaona wapuuzi
wao walidhani zama hizi ni zile za Fagilia Bongo!!
Wakitaka wamshushe msanii au kumpandisha ni maamuzi yao
sasa hivi hilo hawaliwezi kamwe.
Una wimbo Unakwenda kupiga magoti Redio ikuchezee!!
Kwa sasa nizamu yao
Alicho kizungumza Diamond ni sahihi
kwa sasa msanii hapaswi kutegemea Radio na Tv Kusambaza Musiki wake,
Mitandao ya kijamii inanguvu sana
Nimejikuta nacheka tu!Nakuona nakuona
Tangia dullah ajaanza kuongelea puani au sio tangia dullah ajaanza kutokwa na hips? Tangia dullah ajaanza kumwakilisha alikiba hapo east Africa?Punguza muhemko.
Eatv ni habari ya mujini toka Dimond anaosha masufuria studio kwa bob Junior