nafiaafrca
JF-Expert Member
- Jul 26, 2016
- 248
- 308
Kama habari hiyo si ya kweli ONYO KWA MLETA MADA USILETE HABARI BILA KUWA NA CHANZO CHA KUAMINIKA lakin wito wangu kwa media kutoendesha baadhi ya tuzo kwa style za ajabu ajabu ambazo kwa namna moja ama nyingine zinaweza kupelekea wasanii WENGI kutoshiriki kutokana na kutiridhishwa na style ya uendeshwaji
Huu ushauri wako wasanii hawatakiwi kuuchukua? sidhani kama WCB hawakuchukua form kwakuwa wao ni wakubwa sana... wana sababu zao kama ambavyo wengine hawakuchukua.... wasanii hawatakiwi kudharau mambo yanayo wahusu na bila shaka WCB hawajadharau na hakuna msanii mkubwa kuzidi media... hizi media zipo na zitaendelea kuwepo.
Mimi juzi tuu hapa nimeona nyimbo ya Diamond EATV inapigwa hivyo hii habari ni ya uongo na uchonganishi lakini wasanii hawapaswi kudharau media yeyote na wakifanya hivyo mimi nitawambia...hizi media zina michango mingi kwa kukua kwao na bahati mbaya huwa tunaziporomoshea lawama tuu bila kuuliza upande wapili maana huwa tuna wapenda sana wasanii wetu...ni kama yale ya Jide na Clouds media
Trump hakukoseaHii nchi nzito sana,kila kitu kigumu na kuwekeana ugumu,sijaona tatizo hapo la kusababisha kutopigwa kwa nyimbo zao,Sisi ngozi nyeusi Nuksi sana....
hivi kuna shida gani msanii kujaza fomu? kwa sababu ni wasanii wakubwa?Kama habari hiyo si ya kweli ONYO KWA MLETA MADA USILETE HABARI BILA KUWA NA CHANZO CHA KUAMINIKA lakin wito wangu kwa media kutoendesha baadhi ya tuzo kwa style za ajabu ajabu ambazo kwa namna moja ama nyingine zinaweza kupelekea wasanii WENGI kutoshiriki kutokana na kutiridhishwa na style ya uendeshwaji
Elimu elimu elimuWako sawa kama mondi kila mondi ikifanya mahojiano anaanza mawingu huku kungine anaenda kama kukamilisha latiba
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] i wonder!!!Ni EATV Awards tu ili uwe nominated kwenye Tuzo inabidi ujaze form. What the local fashion is this??[emoji15] [emoji15]
Ni uzushi tuWasanii wengine ambao hawakushiriki kando ya wasafi wanawachukulia hatua gani?? Hahahah media houses za bongo upuuzi mtupu kweli
Wamezoeshwa msanii mkubwa ananyenyekewahivi kuna shida gani msanii kujaza fomu? kwa sababu ni wasanii wakubwa?
Nilikwambia mimZile tuzo mi nilijua tu kuna mtu ana tafutwa, na walio kuwa wakimtafuta walijua kwa njia ile wata mpata tuu.
Japo ni shabiki mkubwa wa EA TV na Radio, kwa hilo naona wamefanya blunder kama ni kweli, kwani wao yaan hawawezi kumrudisha diamond nyuma hata kidogo kwa figisu zao, waendelee kumtisha huyo huyo Ali Kiba.
Sijawah zisikia aiseeee
Ni kweli hiyo eatv haina kipindi cha maana?
Hivi E-FM wanacheza nyimbo za Man-fongo?
Na mimi nika kwambia wewe ndio mjinga.Nilikwambia mim
Acha mahaba ya kijinga