EATV na EA Radio wasitisha kucheza nyimbo za Wasanii wa WCB

EATV na EA Radio wasitisha kucheza nyimbo za Wasanii wa WCB

Radio nyimbo wamezima
TV ndo hataree meneja limebaki jina hanitaka hata tale
Wale rafiki zangu kina OmmY ......,....
 
Zile tuzo mi nilijua tu kuna mtu ana tafutwa, na walio kuwa wakimtafuta walijua kwa njia ile wata mpata tuu.
Japo ni shabiki mkubwa wa EA TV na Radio, kwa hilo naona wamefanya blunder kama ni kweli, kwani wao yaan hawawezi kumrudisha diamond nyuma hata kidogo kwa figisu zao, waendelee kumtisha huyo huyo Ali Kiba.
Ila usingemtaja huyo mwingine.
 
Mleta Mada anapropaganda zake analeta hapa mwaka gani huo Eatv/radio walikuwa hawapigi nyimbo za diamond..!?
Wakati miaka yote diamond akiwa anachia wimbo lazima alikuwa anaenda FNL kurelease...!!
 
Zile tuzo mi nilijua tu kuna mtu ana tafutwa, na walio kuwa wakimtafuta walijua kwa njia ile wata mpata tuu.
Japo ni shabiki mkubwa wa EA TV na Radio, kwa hilo naona wamefanya blunder kama ni kweli, kwani wao yaan hawawezi kumrudisha diamond nyuma hata kidogo kwa figisu zao, waendelee kumtisha huyo huyo Ali Kiba.
wabongo bana sasa badala ya kuangalia mtu amejikwaa wapi unalaumu alipoangukia RUGE ni Godfather wa bongo kawashika kamba za kina said fella na babu tale sasa East Africa wame retareate hapo sasa tuone nani mbabe
 
Tangu kutolewa kwa tuzo za EATV awards vituo vya eatv na ea radio vimekuwa havipigi nyimbo za msanii wowote wa WCB wala kutoa habari zao
Tetesi zinasema kitendo cha WCB kutoshiriki tuzo hizo hakijawafurahisha Eatv na kuamua kusitisha huduma hiyo
Ikumbukwe Eatv awards ilikuwa ili kushiriki msanii lazima ajaze form za kujipendekeza kwenye vipengele kitendo kilichofanya wasanii wengi wasishiriki.
Ikumbukwe mwaka 2015 Eatv na radio walikuwa hawapigi nyimbo za Diamond platnumz mpaka mapema mwaka huu mwezi wa 4 waliposuluhisha pande zote mbili.
View attachment 446963
Habari hii ni ya uongo
 
Ni EATV Awards tu ili uwe nominated kwenye Tuzo inabidi ujaze form. What the local fashion is this??[emoji15] [emoji15]
 
Mambo kama haya ndio yamemsababishia max matatizo ya uongo uongo wa namna hii mara ngapi diamond tunamuona kwenye FNL achilia mbali muzili wake unaopigwa eatv kila siku dk chache tu zilizopita nimeshikia wimbo wa mavoko eatv sijui katoka wasafi?
 
Hawapungizi kitu chochote wale waliishindwa nadhani wanajilaumu sana ni bora wasingejaza fomu sio vizuri mtoto wa kiume kujipenfekeza
 
Kama hizo habari ni za kweli bac kituo cha EATV kitapunguza idadi kubwa ya watazamaji & wasikilizaji nikiwemo na mm, kwanza shindano lenyewe waliliendesha kifigisufigisu tu, huwezi kuwatangazia wasanii wakubwa tena hususan kama kundi la WCB wajaze form za kujipendekeza It's non sense kwan wanagombea nafasi ya siasa au form ya kujiunga na form one
 
yani juzi tu nilisema media zinaonyesha chuki za wazi kabisa kwa WCB
wapige tu nyimbo za Darassa, kiba ladyjaydee. nakadhalika.....
wcB waiache
mwenye shida ataifata youtube, uzuri sikuhizi kila kitu mtandaoni
Haki ya mungu na fall in luv na comments zako.
[emoji125]
 
Back
Top Bottom