Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Huyu dada anatukana kwa makusudi kabisa.
Mie hapa nafikiri anaongea Kinyamwezi/Kisukuma kabila ambalo ni robo ya asilimia 15 ya Tanzania. Kinyamwezi, Indoto maana yake Mbichi na mengine wameshaeleza wengine.
Ila kusema ukweli hili lilishajadiliwa sana nikiwa Tanzanet. Tukaambiwa hadi kampuni kama Ford hutumia kama laki 3 kwa mwaka kufanya utafiti kama hilo jina la gari halina maana mbaya sehemu fulani duniani.
Kwa mfano neno SOKO au MASOKO, kwa Kilingala ni Makalio. Neno Kona kwa Kireno ni hilo neno anasema huyo mdada. Kuna siku niliona restaurant imeandikwa Mavi, sikutaka hata kuingia ndani....... Ni ngumu sana kuzuia ila ni vema akafahamu kuwa hili neno litakuwa linaleta kizaazaa kama Video clip ya Rose Mhando ya Nibebe....
Dah,Nkwingwa..nimecheka sana hapo kwenye bold...Hya ndo mambo ya lugha gongana aisee
