EATV, "ndutu" ya Joyce Kiria Nkongo ni tusi badilisheni

EATV, "ndutu" ya Joyce Kiria Nkongo ni tusi badilisheni

Huyu dada anatukana kwa makusudi kabisa.

Mie hapa nafikiri anaongea Kinyamwezi/Kisukuma kabila ambalo ni robo ya asilimia 15 ya Tanzania. Kinyamwezi, Indoto maana yake Mbichi na mengine wameshaeleza wengine.

Ila kusema ukweli hili lilishajadiliwa sana nikiwa Tanzanet. Tukaambiwa hadi kampuni kama Ford hutumia kama laki 3 kwa mwaka kufanya utafiti kama hilo jina la gari halina maana mbaya sehemu fulani duniani.

Kwa mfano neno SOKO au MASOKO, kwa Kilingala ni Makalio. Neno Kona kwa Kireno ni hilo neno anasema huyo mdada. Kuna siku niliona restaurant imeandikwa Mavi, sikutaka hata kuingia ndani....... Ni ngumu sana kuzuia ila ni vema akafahamu kuwa hili neno litakuwa linaleta kizaazaa kama Video clip ya Rose Mhando ya Nibebe....

Dah,Nkwingwa..nimecheka sana hapo kwenye bold...Hya ndo mambo ya lugha gongana aisee
 
Huyu dada anatukana kwa makusudi kabisa.

Mie hapa nafikiri anaongea Kinyamwezi/Kisukuma kabila ambalo ni robo ya asilimia 15 ya Tanzania. Kinyamwezi, Indoto maana yake Mbichi na mengine wameshaeleza wengine.

Ila kusema ukweli hili lilishajadiliwa sana nikiwa Tanzanet. Tukaambiwa hadi kampuni kama Ford hutumia kama laki 3 kwa mwaka kufanya utafiti kama hilo jina la gari halina maana mbaya sehemu fulani duniani.

Kwa mfano neno SOKO au MASOKO, kwa Kilingala ni Makalio. Neno Kona kwa Kireno ni hilo neno anasema huyo mdada. Kuna siku niliona restaurant imeandikwa Mavi, sikutaka hata kuingia ndani....... Ni ngumu sana kuzuia ila ni vema akafahamu kuwa hili neno litakuwa linaleta kizaazaa kama Video clip ya Rose Mhando ya Nibebe....

Dah, haya bwana, MAVI RESTAURANT!! hiyo ilikuwa kali mno!!
 
KUMAMOTO - kibongo ni tusi.Kijapan ni jina tu la mtu.
Kwa hio naona dada aendelee tu na mambo yake.
 
KUMAMOTO - kibongo ni tusi.Kijapan ni jina tu la mtu.
Kwa hio naona dada aendelee tu na mambo yake.

Mkuu, hilo siyo jina la Mtu bali kisiwa kimoja wapo cha JAPAN kilichoko Kyushu Island.

[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Kumamoto_Prefecture[/ame]
 
Kaazi kwelikweli!
South Afrika kuna watu wanaitwa Khumalo. Hii inatamkwa KUMALO.
Kwa wataalam wa kiswahili hiyo -LO maana yake lako au yako.
Hebu unganisha hapo utapata nini?.... Tusi.

Haya mambo bwana tuangalie context tu na wala usitoke nje ya context othawize....
 
Mbwa wa President Obama jina lake ni BOO!. Kazi kweli kweli.
 
pussy kwa kiswed ni kiss au busu,

Sasa unaweza sema let me give ya a p**** right now. Si ndiyo ngoja niku kiss sasa hivi!....

Lakini issue ni kwamba anatumiaje hilo nemo? Unaweza kuwa unasema mbunye kila saa bila sababu za msingi?
 
Mzizi hata wewe unasema kwenye title " "ndutu" ya Joyce Kiria Nkongo" Je unamaanisha maeneo yake ya ndoa ya huyu Joisi?? teh teh


Kiria crop.jpg

Si ndo huyu na 'indutu' yake au ni mwingine Mzizi?
 
Nilikuwa sijui kama wanawake wa kinyakyusa wana dudu! Mbona pia wakati fulani bonge wa clouds alienda mara hadi ziwani akaja na maneno "watomb.waaga?" yaani mtumbwi wa nani? Akina jerad na mwenzake pj walilishadadia sana hewani hadi ikawa kero. Mbona sikusikia chochote toka popote? Pia kiganda kina matusi mengi ukiyaleta baadhi ya maneno hayo kwenye kiswahili. Ninaposikia wimbo flani wa juliana kanyomozi au wale obsession na wimbo wao wa tombenya...
 
Wahusika waangalie kama kweli neno hilo ni matusi walishughulikie haraka iwezekanavyo haifai umekaa na mtu mzima wa maana alafu unasikia matusoi hewani. sio ethics hizo wazee !
 
Yapo Maneno mengi tu yenye maana TATA. Mfano neno MBORO sehemu zingine linaweza kumaanisha kizalio cha wanaume. Lakini neno hilohilo kwa wananchi wa Kasikazini ya Tanzania ni JINA LA MTU / UKOO.
 
Duh,me mwenyewe nulikuwa napata shida na hili neno mazeee,Huku kwetu mwakaleli,suma,nditu,isange,kandete, KK, katumba, kiwira n.k tunapata shida sana kuangalia hicho kipindi na wakwe zetu ikifika mahali hapo.
 
Uwoga tu!
I see nothing to fear about!
Nyie ambao mko huko
mwakaleli,suma,nditu,isange,kandete, KK, katumba, kiwira n.k
na sehemu zingine kikianza kipingi hicho muhamishe stesheni na kuangalia mambo mengine!
Mbona wengine tunafaidi sana ile mambo!
 
Kuna gari moja (Coaster) imeandikwa maneno fulani ya Kichina ubavuni, sasa siku moja tukaenda kuchukua nayo wageni wa Kichina somewhere kwenye majukumu yetu...wale Wachina wakagoma kupanda ile gari kwa madai ya kuwa yale maneno yanamaanisha kuwa ile ni gari ya kubebea maiti........so you can connect na hii ishu ya huyu mtangazaji.sometimes kufahamu ni nzuri na kutofahuamu ni nzuri na mbaya sana pia maana kutokufahamu hakukulindi wewe
 
Mzizi hata wewe unasema kwenye title " "ndutu" ya Joyce Kiria Nkongo" Je unamaanisha maeneo yake ya ndoa ya huyu Joisi?? teh teh


View attachment 8687

Si ndo huyu na 'indutu' yake au ni mwingine Mzizi?

Nilikuwa naweka msisitizo mkuu,...... lkn sina malengo kama yake....
Eee bwana ndiyo huyu dada kwenye picha ambaye "Ndutu" yake ni tusi!
 
Nadhani kama tutahitaji kubadilisha ili kila neno liwe si tusi basi itabidi tuwaite makabila yote tuone kama neno fulani siyo tusi. Na kwa tanzania Ni vigumu labda kama yeye anamaanisha ivo. kufikia kuridhika kila mtu bongo ni vigumu mno. waacheni wabunifu wabuni nanyi msiangalie kipengele hicho
 
Back
Top Bottom