EATV, "ndutu" ya Joyce Kiria Nkongo ni tusi badilisheni

Indutunyo -kimasi linwaza kuwa maana yake ni kisigino.
Kwa wachagga kuna ukoo unaitwa..mb.....ro na mara nyingi wanatangaza vifo linatajwa lilivyo. Sasa inategemea yeye atumiapo anamaana gani.
 
Kipindi kinarushwa kwa lugha gani? Kwa kimasai?, Kiswahili? Kama ni Kiswahili kwanini asiseme kisigino? Hawa watangazaji ndio wanaharibu lugha.
 

Utamaduni na mila tofauti tofauti. Japo hubadilika lakini ni kwa polepole...Batalanda unaweza kwenda beach na mama yako mzazi wote mkiwa mmevaa vichupi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…