Ebitoke ni maskini sana jamani khaaa.

Ebitoke ni maskini sana jamani khaaa.

walikua wanamiliki adi baiskeli cjui n Avon au Phoenix wakat watu tumetoka maisha ya kufulia nguo kwa povu la katani
heri yako ulietokea ushuani
 
Kwani wale wanaume tata (ma'delicious) huwa wanawekwa kundi gani? Huwa wana mipasho kike, inasikitisha sana.
Umejuaje kama mleta mada ni mwanaume? Mbona mwandiko wa kike kabisa??
 
Uncle, tatizo huyu Ebitoke ana nyodo sana ,mara kwa mara amekuwa akiwaponda wenzake ,ameshagombana na wengi sana akiwemo shilole na gigy, sasa tulitarajia huenda ametokea maisha bora au ana maisha bora kumbe........
Wewe ndo mumbea! Ebitoke alishaeleza maisha yake jinsi alivyoishia la saba na anatoka familia maskini au ya kawaida. Kwa sisi tuliozaliwa vijijini hiyo ni familia ya kawaida na yawezekana pale kijijini ndo wenye ving'ombe viwili na kuku kumi pamoja na mbuzi watano. Wewe unaongea nadhani umezaliwa Manzese kwenye magorofa ya urafiki. Mengi alizaliwa kwenye nyumba ya matope je, amefariki akiwa kwenye hali gani?
 
Kwa mavazi gani sasa hapo, manguo yenyewe yamepauka pauka.
Tuwekee na wewe picha ya zamani kijijini kwenu
Huwezi kuakisi maisha ya sasa ya mtu kwa kutumia picha za zamani,unajuaje kama ameshapiga mtama hiyo nyumba
 
M
Yani mbwembwe zote zile za kuwa diss wenzake nikajua labda ametokea maisha bora kumbe katokea kuishi nyumba ya udongo mvua kubwa ikinyesha nyumba inamomonyoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Sitasahau siku zile alivyokuwa anamtusi Shilole kwamba hawezi kubishana na mama ntilie nikajua labda huenda anamaisha mazuri kumbeeee...............,.........

Yani hapa wamepauka maskini ya Mungu hata uwezo wa kununua mafuta ya mgando walikuwa hawana, bila shaka walikuwa wanatumia mafuta ya kula kujipakaa mwilini.


Yani huyu dada ndiyo maana hata make ups huwa zinamkataa , licha ya kuweka makeups ugumu wa sura yake unabaki pale pale , yani hapendezagi kabisa ,ila kwa nyodo sasaaaa .........
View attachment 1095843
Mzee mengi alikuwa akilala kwenye mabanda ya ng'ombe na akawa tajiri mkubwa baadae. Sasa basi na amefariki na amezikwa yeye na sanduku lake tu, Mali zote ameziwacha. Sasa wewe mwenzangu ambae unamshangaa huyo dada wa watu kwa umaskini aliokuwa nao, Hebu jiulize wewe wazee wako watazikwa (walizikwa) na gari zao na vitanda vyao..?
 
Yani mbwembwe zote zile za kuwa diss wenzake nikajua labda ametokea maisha bora kumbe katokea kuishi nyumba ya udongo mvua kubwa ikinyesha nyumba inamomonyoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Sitasahau siku zile alivyokuwa anamtusi Shilole kwamba hawezi kubishana na mama ntilie nikajua labda huenda anamaisha mazuri kumbeeee...............,.........

Yani hapa wamepauka maskini ya Mungu hata uwezo wa kununua mafuta ya mgando walikuwa hawana, bila shaka walikuwa wanatumia mafuta ya kula kujipakaa mwilini.


Yani huyu dada ndiyo maana hata make ups huwa zinamkataa , licha ya kuweka makeups ugumu wa sura yake unabaki pale pale , yani hapendezagi kabisa ,ila kwa nyodo sasaaaa .........
View attachment 1095843

Mkuu ninakushauri usome kitabu cha marehemu Mzee Mengi "I can, I will, I must". Hapa unayemnanga si Ebitoke ni wazazi wake kitu ambacho si sawa ninadhani, waache hao wazee wapumzike zao huko waliko. Nihitimishe kwa quote ya Bill Gate " If
you are
born Poor
its
not your mistake
,
but if
you
die poor
its
your mistake
 
Yajue ya kuzingatia ili uachane na yasiyo kuhusu
 
Back
Top Bottom