Ebitoke ni maskini sana jamani khaaa.

Ebitoke ni maskini sana jamani khaaa.

Yani mbwembwe zote zile za kuwa diss wenzake nikajua labda ametokea maisha bora kumbe katokea kuishi nyumba ya udongo mvua kubwa ikinyesha nyumba inamomonyoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Sitasahau siku zile alivyokuwa anamtusi Shilole kwamba hawezi kubishana na mama ntilie nikajua labda huenda anamaisha mazuri kumbeeee...............,.........

Yani hapa wamepauka maskini ya Mungu hata uwezo wa kununua mafuta ya mgando walikuwa hawana, bila shaka walikuwa wanatumia mafuta ya kula kujipakaa mwilini.


Yani huyu dada ndiyo maana hata make ups huwa zinamkataa , licha ya kuweka makeups ugumu wa sura yake unabaki pale pale , yani hapendezagi kabisa ,ila kwa nyodo sasaaaa .........
View attachment 1095843
Hapo ni kwa wazazi wa ebitoke..lawama wapewe Wazazi wake...Tuonyesheni nyumba ya Ebitoke hiyo picha ni kuwashushia heshima wazazi wake waliomlea kwa shida mpaka mtoto wao akaweza jitegemea.

tuonyeshe nyumba ya ebitoke..acheni wazazi maana hata wazazi wa shilole hawana tofauti na wa ebitoke.
 
Yani mbwembwe zote zile za kuwa diss wenzake nikajua labda ametokea maisha bora kumbe katokea kuishi nyumba ya udongo mvua kubwa ikinyesha nyumba inamomonyoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Sitasahau siku zile alivyokuwa anamtusi Shilole kwamba hawezi kubishana na mama ntilie nikajua labda huenda anamaisha mazuri kumbeeee...............,.........

Yani hapa wamepauka maskini ya Mungu hata uwezo wa kununua mafuta ya mgando walikuwa hawana, bila shaka walikuwa wanatumia mafuta ya kula kujipakaa mwilini.


Yani huyu dada ndiyo maana hata make ups huwa zinamkataa , licha ya kuweka makeups ugumu wa sura yake unabaki pale pale , yani hapendezagi kabisa ,ila kwa nyodo sasaaaa .........
View attachment 1095843
Sasa cha ajabu Nini kwani Marehemu Mengi alitoka Machame na Ubilionea ondoa ufinyu wa mawazo
 
We kweli masikini wa akili ... Sio vibaya kuzaliwa masikini kufa masikini ndo vibaya
 
Duniani. Hakuna comedian aliyetokea familia bora
 
Huyo katoka familia bora kabisa,

1.Walikuwa wanamiliki hadi baiskeli
2.Walikuwa na hela ya kumlipa Juma mpiga picha
3.Uhakika wa mlo,kila mtoto kashika chombo chake na sio gombania goli ya akina sie.
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Hayo ni maisha yake binafsi hayakuhusu! Halafu mwanaume kuwa na mwandiko wa aina hii haipendezi hata kidogo. Haya Mambo mwachie warumi

Uncle, tatizo huyu Ebitoke ana nyodo sana ,mara kwa mara amekuwa akiwaponda wenzake ,ameshagombana na wengi sana akiwemo shilole na gigy, sasa tulitarajia huenda ametokea maisha bora au ana maisha bora kumbe........
 
jamaa yangu unasahau kuwa kabla mtu mzima hajaheshimiwa alikuwa akidharauliwa pindi yuko mdogo? mimi sioni cha ajabu hapo kwa kuwa maisha yake yanabadilika sasa basi hayuko kwenye hatua hiya ya awali kwa sasa...jitazame mwenyewe kwanza wewe mwandishi wa gazeti la nipashe
 
Wewe kinakuumiza nn hapo, ni maisha yake na ww una yako, seal your trap
 
Kuzaliwa maskini sio kosa, kosa kubwa ni wewe kufa ukiwa maskini.
 
Yani mbwembwe zote zile za kuwa diss wenzake nikajua labda ametokea maisha bora kumbe katokea kuishi nyumba ya udongo mvua kubwa ikinyesha nyumba inamomonyoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Sitasahau siku zile alivyokuwa anamtusi Shilole kwamba hawezi kubishana na mama ntilie nikajua labda huenda anamaisha mazuri kumbeeee...............,.........

Yani hapa wamepauka maskini ya Mungu hata uwezo wa kununua mafuta ya mgando walikuwa hawana, bila shaka walikuwa wanatumia mafuta ya kula kujipakaa mwilini.


Yani huyu dada ndiyo maana hata make ups huwa zinamkataa , licha ya kuweka makeups ugumu wa sura yake unabaki pale pale , yani hapendezagi kabisa ,ila kwa nyodo sasaaaa .........
View attachment 1095843
Wewe ni me au ke. Kama ni me una mchanganyiko na jinsia za ke.

Ni mtoto gani wa tajili umemuona akijihusisha na uigizaji? Wote wametokea huko kwa akina Ebitoke la msingi akipata akumbuke home
 
Ww tajiri?
Mtoa mada amechemka. Hiyo picha ni pozi tu. Familia ilitaka ukumbusho baada ya kutoka kwenye kazi za kilimo 'na mihangaiko. Unadhani hata maji yalikosekana? Hilo pozi og. Hawa kutaka picha,za kisasa za kukubadili. Ebitoke kila siku yuko natural. Toa heshima kwake
 
Back
Top Bottom