Haha sasa mkeo huko peponi atakuwa moja ya wale bikra alioahidi allah tabarkaMshenzi mkubwa ww
Huna unachojua ila matusi na chuki,umekua brain washed na western propaganda,husikii wala huoni.Kwan tatizo liko wapi
Ww subiria pepo yako atakayokupa Yesu na mm nisubirie mabira 72.otherwise shut ur bakuli and learn to be a great thinker
HAina tofauti na kula vitoto vya miaka 8Huu ndio uwanaume sasa , sio mwanaume unapiga paredi la LGBT
Imekuchoma ndipoWaanzishie wewe nyImEkuchomao.
Ewaaaa leo umeongea pointSi bora huyo ni watu 8000 tu tena wairani wenzake ,vipi akina Baden, Bush,na akina Netanyau ambao wameshababisha madhira kwa mamilioni ya watu kote duniani mbona hujawahi huwaanzishia uzi?
Amekufa ajafariikiKwahiyo tayari umesha hukumu kuwa amefariki?
Kwahiyo ukipigwa Bomu ndani ya nyumba yako kama kule Gaza ukiwa na mke na watoto wako utakuwa vitani?Kwa sababu waliofia mikononi mwake hawakufia vitani, ni raia wanaokamatwa mitaani tu kwa mambo ya kisiasa na yanayoitwa ya kimaadili kisha wananyongwa au kupigwa risasi.
Kwa hiyo haya yote yanahalalisha nini hasa kwa Mchinjaji wa Tehran??Kwahiyo ukipigwa Bomu ndani ya nyumba yako kama kule Gaza ukiwa na mke na watoto wako utakuwa vitani?
Waandishi wa habari wapo vitani? Madktari wanaopigwa mabomu wakiwa hospitali wapo vitani?
Raia 500,000 wa Iraq na Pakitsani wakiwemo Watoto wapo vitani?
Wanaopotea kutokana na watu wasiojulikana wapo vitani?
my point is simple, kuna 'stereo type' inayosababishwa na western media katika ku manipulate akili za watu hasa third world ambako watu hawana access na information za kutosha wala hawana muda wa kujisomea magazeti au vitabu. Wananua bundle na kuangalia headlines za BBC na CNN tayari wanavamia keyboardKwa hiyo haya yote yanahalalisha nini hasa kwa Mchinjaji wa Tehran??
Yoda kwa makadirio au taarifa ni watu kiasi gani waliuawa na E.Raisi pale Tehran?
Najua historia ya Iran kuanzia enzi kabla ya Shah. Wakati wote wa Shah hadi akina Shakur Bahtia, Musavi n.k. nawafahamu. Ayatollah Khomeni kabla hajarudi kutoka Ufaransa nilimjuaNguruvi: Nadhani hujui chochote kuhusu historia ya Iran.....Rudia tena uone yule zimwi (Ayatolah Khomeni) Aliporudi 1979 alivyowafanyia Wairan ambao aliwaona ni tishio. Nashangaa hata Waislamu wa Tanzania ambao wengi ni Sunni, hawajui alichowanyia Sunni.....Mkuu Nguruvi3....Wewe ni mweledi......hata kama una mapenzi na hawa jamaa, huyu Marehemu kazi zake za mwanzo ilikuwa ni kutoka hukumu za Kiimla.......!
Kwa kifupi afadhali hata Hamas unajua anataka nini....na adui ni Wayahudi......Huyu Marehemu kahusika kuua Wairan wengi mno.....Wenye Misimamo ya Kijamaa, Wenye mitazamo ya Kiislamu tofauti na wao, nadhani dini ya Bahai waliifutilia mbali.....!
Hiyo Theocracy ina damu nyingi mno!
Najua historia ya Iran kuanzia enzi kabla ya Shah. Wakati wote wa Shah hadi akina Shakur Bahtia, Musavi n.k. nawafahamu. Ayatollah Khomeni kabla hajarudi kutoka Ufaransa nilimjua
Sina mapenzi na upande wowote, ninachowaeleza hapa ni kwamba kuna unafiki, tumieni akili zenu.
Unasema '' Marehemu kaua wa Iran wengi sana '' nimeuliza ni takribani wangapi? Mwenzako kasema ni 30,000 , nikasema OK . Je wale wanaokufa Ghaza nani anawasemea? Mbona juzi jengo limeremeka wakauawa wanawake na watoto 106 on spot hatuwajawasiki ninyi watetezi wa haki za binadamu!
Unaposema kaua wa Iran wengi, nipe namba halafu nitakupa namba zingine dunia kutoka nchi za mgharibi zenyewe
Wamarekani wenyewe wanasema hivi, mabomu yanayotumika Ghaza hawawezi kuyatumia kwasababu hayana precision. Wamarekani wenyewe wanakubali kuna mbinu za kuzuia chakula ili watoto na Raia wengine wasio na hati wafe kwa njaa! hayo hamyaoni kama ni uhalifu , mnachoona ni cha Rais Rahisi tena akifanya nchi kwake.
Nikuulize swali lingine, kuna tatizo gani Rais wa Iran akiua watu wa Iran? Tuanzie hapa
Ahaa hapo umemalizia na '' utawa wa Kimungu'' . Iran ni Taifa kama mengine, kama wanachotaka ni hicho kuna tatizo gani? Mbona hatuongelei kinachoendelea USA au UK! kuhusu tanaduni zao na mambo yao hata tusiyokubaliana nayo. Wenye dhima ya kupigania Iran ni Wa Iran, siyo Wamarekani au Wewe !Anyway, nitaendelea baadaye kuhusu huyu chinja chinja wa Iran, na kama unakiri unaijua historia, nitashangaa kama umeshindwa kuona kilichofanyika na Khomeni, na kundi lake, na huyu Marehemu kuanzia ujana wake walivyowamaliza Wairan kujenga huo utawala wa "Kimungu"
unfortunately, he's never going to rest in peace. hell fire will torment him forever.Rest in peace Rais Raisi
Nalog off
That's your opinion i respect but i don't kukubaliana with youunfortunately, he's never going to rest in peace. hell fire will torment him forever.
Nawaza kwa Nini wasinunue chopa Urusi maana tech ya ndege iko juu sana Urusi au ChinaWw unasikiliza and watch western news ambazo zimebeba uhasama na nchi zenye rasilimali asili,as long as umewakataa western watakupatia majina yote mabaya ili kufanya watakayo but I’m sure jamaa misimamo yake ya kidini and kulinda misingi ya nchi ndio iliomfikisha hapa.
US wameblock mpk kuingiza chochote toka nchi yyt hizi helicopter zinazodoka zina 20+old wao wanafanya maintenance tu lkn zimechoka mno