Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
View attachment 204940
Najua utakataa lakini ulipo kuwa shule ya msingi kuna mtu alikuwa anakuumiza nafsi na hatimaye ukatengana naye mara baada ya kumaliza. Sasa basi napenda upate fursa ya kuieleza jamii nini unakumbuka unapoiona hiyo kitu hapo juu katika hadithi yako ya mahusiano. Maana wengi wetu tumeanza kubarehe tukiwa shule za msingi na kama unavyo jua mihemko pindi tunapo barehe.
mmhh primary mi hata nlikua siyajui mahusiano. hata olevo mi nlikua niponipo tu...sema umenikumbusha mdada mmoja alikua anaitwa Eva kizima alisababisha nipewe saspesheni mwezi mmoja..tulikutwa ananifundisha ule mchezo wa kukalukuleti herufi then unapata huyo mtu yupo kwenye kundi gani ...tukampigia mwalimu Mkuu akaangukia kwenye KICHAA ...mbaya zaidi akatukuta bwana saspaa mwezi mzima ..
Mmmhhh
Mi sijawahi mpenda mtu shule mpaka namaliza bt kitaan kuna kaka nilikuwa nampenda na yy ananipenda kuniambia anaigopa utoto jamani! walipokuja kuhama basi sikumuona tena!
Adolf cjui yupo wapi. ..
Hahahhahahaha sitaki hata kukumbuka. Ila jamani enzi zile japo tulikuwa hatufanyi mchezo mbaya, tulikuwa tunapendana ile kwa dhati, baby akichapwa fimbo nafumba macho nisione kabisa, naumiaje hahah. daah nimemiss mno kuandikiwa barua jamani lol
mmmmh! nyie wasongolisti ndo wenyewe kwenye michezo ile au ndo unata kuna mbia NANI ATAMFUNGA PAKA KENGELE?
View attachment 205131
acha bwana wee ulikuwa unafumba macho vipi masikio ulikuwa hausikii TWAAAAA! 😛ound:
michezo ipi???? kumbuka yeye alikua mtoto wa mwalimu mimi pekeangu ndo nlipewa saspaa..ro iliniuma sana..
Masikio yanasikia ila sitaki tu nione ile fimbo inamshukia yeye mweeeeeeeee
Hahahhahahaha sitaki hata kukumbuka. Ila jamani enzi zile japo tulikuwa hatufanyi mchezo mbaya, tulikuwa tunapendana ile kwa dhati, baby akichapwa fimbo nafumba macho nisione kabisa, naumiaje hahah. daah nimemiss mno kuandikiwa barua jamani lol
Hakika mkuu, yani zamani Mtu unapenda haswa. Baby akiumia, unahisi na wewe Kama umeumia vile hahahahahaha. Mapenzi ya utotoni yalikuwa na strong bond mnoo. Sasa hivi hadi umpate tu Mtu Mkawa tu na mutual feelings, inabidi umshukuru sana Mungu.zamani kupenda ilikua raha sana Leo hii kupenda karaha
Hahahhahahaha sitaki hata kukumbuka. Ila jamani enzi zile japo tulikuwa hatufanyi mchezo mbaya, tulikuwa tunapendana ile kwa dhati, baby akichapwa fimbo nafumba macho nisione kabisa, naumiaje hahah. daah nimemiss mno kuandikiwa barua jamani lol
Hakika mkuu, yani zamani Mtu unapenda haswa. Baby akiumia, unahisi na wewe Kama umeumia vile hahahahahaha. Mapenzi ya utotoni yalikuwa na strong bond mnoo. Sasa hivi hadi umpate tu Mtu Mkawa tu na mutual feelings, inabidi umshukuru sana Mungu.
View attachment 204940
Najua utakataa lakini ulipo kuwa shule ya msingi kuna mtu alikuwa anakuumiza nafsi na hatimaye ukatengana naye mara baada ya kumaliza. Sasa basi napenda upate fursa ya kuieleza jamii nini unakumbuka unapoiona hiyo kitu hapo juu katika hadithi yako ya mahusiano. Maana wengi wetu tumeanza kubarehe tukiwa shule za msingi na kama unavyo jua mihemko pindi tunapo barehe.
There are still some faithful and loyal partners outta there, though vey vey few. Hadi umuone na umpate ndo tatizo linapokuja, coz hatuwezi kuwatambua kwa macho. Tuzidi tu kumuomba Mungu, atufunulie watu hao, na sisi pia tuwe Kama hao watu tunaowish Kuwa naokwanza utampatia wapi? maana siku hizi wasichana pesa mbele na wavulana mchezo kwanza akisha kuchezea hauna thamani. Na msichana pesa ikikata ndo basi tena
There are still some faithful and loyal partners outta there, though vey vey few. Hadi umuone na umpate ndo tatizo linapokuja, coz hatuwezi kuwatambua kwa macho. Tuzidi tu kumuomba Mungu, atufunulie watu hao, na sisi pia tuwe Kama hao watu tunaowish Kuwa nao