Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Not the matter of cooperating, those guys are evil! Look at China, all those who are found cooperating with economic hitman are sentenced to death, and there is no economic hitman in China.
China walikuwa ni socialist country ambayo ilikuwa na same philosophy na USSR wakati jamaa wanatekeleza policy ya EHM. Hawakuitarget kabisa. Focus yao kubwa Asia ilikuwa kuziteka nchi maskini za South Asia zisiwe influenced na China na USSR kuingia kwenye mfumo wa socialism. Ndo hapo wakaanza kuwaingia Indinesia, ili baadae watanuke ufilipino, Malaysia, Singapore na kwingine.China is one of the strongest Economies mfano wako ni Invalid. Unataka EHMs waende kui sabotage Marekani?, Ulaya, China, etc wakati wanatoka huko huko???
Na pia, China walishakuwa Socialist Country tangu miaka hiyo. US walikuwa hawana namna ya kupenya for idiological reasons na pia patner mkubwa wa China alikuwa USSR ambaye alikuwa hasimu mkuu wa US.Hapa sijakuelewa unavyosema not the matter of cooperating ilihali mifumo iliyopo sasa hivi wapo ndani tayari. Labda nikuulize tu, unazijua MNCs zilizofanya exploration ya gas na mafuta huko South? Unawajua real owners (Shareholders) wa kampuni zinavuna Gold kwenye migodi ya Lake Zone? Unajua ilifikaje mpaka Dowans ikawa Symbion na ghalfa akaja Hilary Clinton na baadae Obama akafika pale? Nadhani bado hujajaua opereshion mode ya hawa EHM. Hivyo unavyoona Magufuli hawezi ku cooperate naona hujawatambua hawa jamaa wapo vipi.
Kwa Tanzania ya Dr Magufuli hawawezi kabisa. Kingine umoja wetu ndiyo ushindi. Sema chadema na ukawa ndiyo wanalengo la kutuvuruga ndiyo maana vyombo vya usalam vipo makini sana kwa sasa. Nikuhakikishie tu kuwa Tz tupo imara! Tatizo la hawa jama huingia pale tu panapokuwa hakuna umoja, na serikali iliyojaa wapiga dili. Ndiyo maana ukiangalia JK alipgwa economic hitman chache baadaye akastuka akamfukuza mwizi lowasa, na hiyo mikataba bado tunalipa.
Jamaa kafanikiwa kueleza vizuri kuhusu economic hitman ilivyo but mkuu umekuja na kujaza ujinga wa kisiasa..hebu angalia kwa makini hapa..mikataba ya gas na mafuta ilipitishwa kwa haraka bila kujadiliwa kwa umakini na wabunge...hata hiyo mikataba fake ya migodi ya dhahanu na madini mengine mbona jpm hatoi msimamo wake ili ijadiliwe upya?..huoni kwamba economic hitmans tayari yashaiteka nchi..ref..ujio wa rais wa china..na pia mlolongo wa marais wote watatu yaani clinton..bush na obama?jpm hawezi fanya lolote mkuu the knee has been bent!hatuna jinsi!
Nakukatalia kwa sababu sisi tumedili na wenye mbwa na siyo mbwa. Ndiyo maana nimesema economic hitman ni mfumo usio rasimi. China na US mikataba yao ni minono na inafaidisha nchi yetu. Sema akina lisu na wahuni wengine walitaka wapige hela kupitia hiyo mikataba na akina mengi walitaka share ili wafanye kama walivyozoea shamba la bibi. Nyie subirini muonenchi inavypoga mchaka mchakaJamaa kafanikiwa kueleza vizuri kuhusu economic hitman ilivyo but mkuu umekuja na kujaza ujinga wa kisiasa..hebu angalia kwa makini hapa..mikataba ya gas na mafuta ilipitishwa kwa haraka bila kujadiliwa kwa umakini na wabunge...hata hiyo mikataba fake ya migodi ya dhahanu na madini mengine mbona jpm hatoi msimamo wake ili ijadiliwe upya?..huoni kwamba economic hitmans tayari yashaiteka nchi..ref..ujio wa rais wa china..na pia mlolongo wa marais wote watatu yaani clinton..bush na obama?jpm hawezi fanya lolote mkuu the knee has been bent!hatuna jinsi!
Nakukatalia kwa sababu sisi tumedili na wenye mbwa na siyo mbwa. Ndiyo maana nimesema economic hitman ni mfumo usio rasimi. China na US mikataba yao ni minono na inafaidisha nchi yetu. Sema akina lisu na wahuni wengine walitaka wapige hela kupitia hiyo mikataba na akina mengi walitaka share ili wafanye kama walivyozoea shamba la bibi. Nyie subirini muonenchi inavypoga mchaka mchaka
Tatizo lenu nyie mmekalilishwa vibaya. Kama wewe umewahi kuishi nje ya nchi utanielewa, ila kama umekulia bongo tu basi utakuwa hunielewi. Mimi ninachomaanisha hapa ni hivi nchi ikiwa na umoja, na kiongozi/viongozi waadilifu economic hitman hawawezi kuharibu uchumi hata kidogo. Kinachotokea kt ya hizo financial institutions ni fair game tu. Hao economic hitman ni informal bodies that operate under the umbrella of those said financial institutions, lakini kikubwa lazima pawe na weakness ktk serikali, yaani serikali ijae wapiga dili kama akina lowasa. Mbona Rwanda wameweza? Mbona China wameweza? Mbona Ethiopia hao wameweza (tena kuongezea kuna jamaa zangu waethipia wao ukileta uanaharakati kama wa chadema wanakutupa mabwemapande), mbona wajapan wameweza? Hiyo mifano yenu ya amerika ya kusini haifanani na mazingira tuliyonayo kwa sasa, labda kama rais angekuwa lowasa hapo ningekubaliana na ninyi. Nchi nyingi za amerika ya kusini zinaongozwa na magenenge kama lile la lowasa (mfano mdogo tu, nina jamaa yangu ni mmexico anasema rais aliyepo sasa kaingizwa na watu wa madawa, na mpaka kipindi hiki serikali yake inakshfa kibao, na wao wanaendelea kulainisha mioyo ya watu kwa kuwapatia zawadi kam tv wananchi masikini, na mbinu aliyoingia nayo madarakani iko sawa kabisa na mbinu za lowasa alizotumia. In short mnahitaji kuuvaa utanzania ndiyo mtanielewa.Mudawote embu andika vitu relevant basi na siyo hizo cheap politics zako.