Eddo na wenzie walipokea fedha kututoa kwenye reli?

Eddo na wenzie walipokea fedha kututoa kwenye reli?

xx
Rais ndiye Chief Signatory wa klabu, lakini ndiye Mkuu wa kitengo cha uwekezaji wa Kampuni ya kazini kwake. Jamani hata hili nalo ni kwamba tunaichukia klabu? Jibu baki nalo mwenyewe.

Tukubaliane kwamba tunaweza kupishana kwenye kufikiri na wala hakuna chuki ila ni mitazamo tu.

BIN KAZUMARI (Voice Of The Voiceless)

My Take
Ruksa kututukana
xx
GSM wamejimilikisha Timu, utopolo ni Mazuzu
Makolo mnapenda sana kujifariji! Blanda ya kuuza 49% ya hisa za klabu kwa 20B bado inawatafuna na matokeo yake mnajaribu kuonesha kila linalofanyika kwa Yanga ni blanda kama ile ya kwenu!!

Ngoja niwaulize!! Kwani cha ajabu ni kipi pale?! Ina maana hamfahamu GSM wana mkataba wa kutengeneza jezi tangu kitambo?!

Au niwakumbushe kwamba wakati Mwamedi alipoikuta Simba ipo taabani, akatumia mwanya huo kununua 49% kwa bei chee kwa sababu alifahamu kwa njaa ambayo mlikuwa nayo, KATU MSINGEKATAA!

Kinyume chake, GSM alipoikuta Yanga ipo taabani wala hakutaka ku-take advantage bali akaamua kufanya nao biashara ya kutengeneza jezi!!

Ngoja niwakumbushe habari ya September 07, 2019 ambayo inasema:-
Kampuni nyingine ni GSM walioshinda tenda ya uuzaji wa jezi za Yanga iliyotoa Sh bilioni 1.3, pia kampuni hiyo imeongeza fedha kwa kutoa Sh milioni 150 ya udhamini kupitia magodoro yao ya GSM.
2019 Yanga ilikuwa njaa tupu, lakini GSM akaamua kufanya nao biashara badala ya kujimilikisha timu kama alivyofanya Mwamedi!

Halafu ona mlivyo kiroja!! Kutoka kwenye website yenu wenyewe, Da' Barbara anawajuza:-
Klabu ya Simba imeisaini mkataba wa miaka miwili na kampuni ya Vunjabeigroup wa kutengeneza na kusambaza jezi za timu ya wakubwa, wanawake na vijana wenye thamani ya Sh bilioni mbili.
Yaani mnajaribu kukejeli mkataba wa Sh 1.8 Billion kwa mwaka wakati wa kwenu ni 1.0 Billion kwa mwaka... like serious?! Utamu zaidi, huyo anayelipa 1.8 Billion kwa mwaka bado huwa anafanya mambo mengi zaidi kwa klabu kuliko huyo mwenye mkataba wa 1 Billion kwa mwaka!!

But wait... GSM analipa 300M kwa mwaka ili kutangaziwa biashara zake! Hivi mnaweza kutuambia yale mapicha ya mabox ya sabuni ambayo Mwamed kayajaza kwenye mafulana yenu huwa analipa kiasi gani?!
 
Utawaambia nini manyani wale. Luc Emely alikua sahihi. Na alichokiandika bin kazumari nilikua nakitafakari kila mara why kila yanga wakiweka mikataba yao ya kimagumashi huyo eddo na kina oscar na kitenge wanakujaga na vistory vyao vya kisoro tu. Leo kumwemve anasema yeye hapaswi kuongelea mikataba hivi yule aliyekua abaongelea simba kushindwa kumsajili adebayo na mambo mengine ya mikataba ya wachezaji wa simba kuachwa ni nani..? Akili kichwani bin kazumari ni mwandishi ninaye mkubali aisee
Kama Yanga aliyeingia mkataba wa jezi kwa 1.8 Billion kwa mwaka ni Magumashi... na vipi kuhusu Makolo ambao mkataba wao ni 1.0B kwa mwaka?!

Kama Yanga aliyeingia mkataba wa udhamini wa 300M kwa mwaka ni magumashi, hivi unaweza kutueleza Mwamedi anawalipa shilingi ngapi yale mapicha picha ya viroba vya unga alizoweka kwenye jezi za Makolo?

Hata kama ni kweli Rage alisema Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbu, ndo mshindwe kutumia akili japo kidogo kujua huu ni mchana na huu ni usiku?!

Yanga walikuwa na sababu zipi za kuwatumia akina Edo kuwatoa watu kwenye reli kwa jambo ambalo wenyewe waliamua kuliweka public?!

Wameita Waandishi wa Habari, na wakajitokeza!!

Yanga wenyewe wame-post kwenye page yao! Acting CEO amepost kwenye page yake! Manara nae ka-post! Lakini pamoja na yote hayo, Kazumari anawaambia Edo katumika kuwatoa kwenye reli, nanyi mnakubali tu bila kujiuliza HOW!!

Ama kweli Rage hakukosea!!
 
Kama ambavyo "Mwamedi" amejimilikisha timu ya makolo, na mpaka leo hawajui bilioni 20 ilienda wapi. Makolo ni mbumbumbu!
Nabado anawaambia ametoa fweza nyingi mfukoni kuiwezesha timu wakati hata msemaji wa klabu alikua halipwi zaidi ya kuvolunteer tu.
 
Uzuri wa utopolo kila analofanya simba na yeye anaiga tu. Kubadilika kuwa kampuni - utopolo wanaiga (sio mbaya), kupata dili za mikataba mikubwa ikiwemo dili za jezi- utopolo wanaiga (sio mbaya), kuweka malengo makubwa kimataifa kutoka kushindana kijinga hapa ndani - uto wanaiga (sio mbaya), kuuza timu kwa mo kwa bilioni 20 - utopolo wanaiga (hapa ndipo napo washngaa). Yani hawajifunzi kwa simba.

Kama kweli watopolo wangekuwa na akili kama mzee kikwete na babake haji basi wangekuwa makini na sana sana kwenye kuiuzia timu gsm. Yaani hawa jiesim hawako kimpira pale, tofauti na Mo ambaye simba ikifungwa na yeye anaumwa. Ona leo hersi anatoa pesa mfuko huu na kuiweka mfuko wa kushoto matopolo yanashangilia. Kifupi matopolo yanafikiri yanaikomoa simba kwa kudanganywa mikataba hewa.
Nimekuelewa Chief uliposema kuwa Simba SC wakiuza Timu kwa MO nao wanaiga kwa kuuza Timu kwa GSM

Walipiga sana kelele.. Lakini kumbe nimegundua Simba SC ndo mchonga njia..!
 
Kama Yanga aliyeingia mkataba wa jezi kwa 1.8 Billion kwa mwaka ni Magumashi... na vipi kuhusu Makolo ambao mkataba wao ni 1.0B kwa mwaka?!

Kama Yanga aliyeingia mkataba wa udhamini wa 300M kwa mwaka ni magumashi, hivi unaweza kutueleza Mwamedi anawalipa shilingi ngapi yale mapicha picha ya viroba vya unga alizoweka kwenye jezi za Makolo?

Hata kama ni kweli Rage alisema Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbu, ndo mshindwe kutumia akili japo kidogo kujua huu ni mchana na huu ni usiku?!

Yanga walikuwa na sababu zipi za kuwatumia akina Edo kuwatoa watu kwenye reli kwa jambo ambalo wenyewe waliamua kuliweka public?!

Wameita Waandishi wa Habari, na wakajitokeza!!

Yanga wenyewe wame-post kwenye page yao! Acting CEO amepost kwenye page yake! Manara nae ka-post! Lakini pamoja na yote hayo, Kazumari anawaambia Edo katumika kuwatoa kwenye reli, nanyi mnakubali tu bila kujiuliza HOW!!

Ama kweli Rage hakukosea!!
Wa makolo kabla.ya mkataba si walitoa nafasi ya wenye uwezo wa kuweza kutengeneza jezi na vifaa vingine wapeleke ofa zao.?.au hukua hai kipindi kile. ? Na huu wa leo wa yanga wapi walitangaza kuhitaji mzabuni.?
 
Kama Yanga aliyeingia mkataba wa jezi kwa 1.8 Billion kwa mwaka ni Magumashi... na vipi kuhusu Makolo ambao mkataba wao ni 1.0B kwa mwaka?!

Kama Yanga aliyeingia mkataba wa udhamini wa 300M kwa mwaka ni magumashi, hivi unaweza kutueleza Mwamedi anawalipa shilingi ngapi yale mapicha picha ya viroba vya unga alizoweka kwenye jezi za Makolo?

Hata kama ni kweli Rage alisema Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbu, ndo mshindwe kutumia akili japo kidogo kujua huu ni mchana na huu ni usiku?!

Yanga walikuwa na sababu zipi za kuwatumia akina Edo kuwatoa watu kwenye reli kwa jambo ambalo wenyewe waliamua kuliweka public?!

Wameita Waandishi wa Habari, na wakajitokeza!!

Yanga wenyewe wame-post kwenye page yao! Acting CEO amepost kwenye page yake! Manara nae ka-post! Lakini pamoja na yote hayo, Kazumari anawaambia Edo katumika kuwatoa kwenye reli, nanyi mnakubali tu bila kujiuliza HOW!!

Ama kweli Rage hakukosea!!
NazaninLuc Emely alikua sahihi zaidi alipo waita manyani na manara akiposema hamnazo alikua sahihi 100% hayo yoote mbona yanaelezewa na watendani wa simba.. matabgazo ya Mo analipia au hujui .?. Uwe na muda wa kuuliza kabla.hauja andika huu upuuzi wako.
 
Jana tulianzishiwa mada mahususi ambayo ilikuwa ya KIMKAKATI na vijana wakaiparamia kama ilivyo mwisho wa siku lengo likatimia.

Lengo lilikuwa ni kututoa njiani badala ya kujadili mambo ya msingi watu wakaingia kujadili mambo ya nini kijadiliwe na wachambuzi na kipi ni haramu.

Nimejiuliza ilikuwa ni bahati mbaya kwamba siku mkataba wa GSM & YANGA unatangazwa ndio siku hiyo hiyo tunaambiana tujikite kwenye dakika 90 na mengine tuyaache? Jibu baki nalo mwenyewe

Vijana kabla hamjaingia kwenye mada elekezi jaribuni kuona mitego kuizunguka hiyo mada. Ni kama swali unaloliona rahisi kwenye mtihani ukalivamia bila kujua kwamba lina mtego uliojificha, mwishowe unakwama.

Swipe hiyo video uone picha ya Wakurugenzi 2 wa GSM wakibadilishana mikataba kati ya Yanga na GSM.

Mkurugenzi wa Biashara wa GSM ALAN CHONJO na Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM HERSI SAID, wakipozi kwa picha ya mkataba wa GSM na YANGA.

Kwa mtu ambaye anafikiri sawasawa hii inafikirisha sana vinginevyo kuna shida mahala. Najua Hersi ni Rais wa Yanga ndiyo, lakini hili kama wangekua smart enough wangeweza kumuweka Makamu wa Rais na au CEO kuwakilisha klabu.

Rais ndiye Chief Signatory wa klabu, lakini ndiye Mkuu wa kitengo cha uwekezaji wa Kampuni ya kazini kwake. Jamani hata hili nalo ni kwamba tunaichukia klabu? Jibu baki nalo mwenyewe.

Tukubaliane kwamba tunaweza kupishana kwenye kufikiri na wala hakuna chuki ila ni mitazamo tu.

BIN KAZUMARI (Voice Of The Voiceless)

My Take
Ruksa kututukana
Ww binti kazumari ni takataka sana
 
Wa makolo kabla.ya mkataba si walitoa nafasi ya wenye uwezo wa kuweza kutengeneza jezi na vifaa vingine wapeleke ofa zao.?.au hukua hai kipindi kile. ? Na huu wa leo wa yanga wapi walitangaza kuhitaji mzabuni.?
NazaninLuc Emely alikua sahihi zaidi alipo waita manyani na manara akiposema hamnazo alikua sahihi 100% hayo yoote mbona yanaelezewa na watendani wa simba.. matabgazo ya Mo analipia au hujui .?. Uwe na muda wa kuuliza kabla.hauja andika huu upuuzi wako.
Ni kama ambavyo Rage alivyowaita kwamba ni Mbumbumbu, na umbumbumbu wako umeuthibitisha hapa kwa kushindwa kujibu swali dogo sana!! Nimeuliza analipa NGAPI... JIBU SWALI HILO!!

GSM kaweka wazi kwamba ni Sh 300M kwa mwaka, with an annual increment of 10%... Mwamedi ngapi?!
 
Ni kama ambavyo Rage alivyowaita kwamba ni Mbumbumbu, na umbumbumbu wako umeuthibitisha hapa kwa kushindwa kujibu swali dogo sana!! Nimeuliza analipa NGAPI... JIBU SWALI HILO!!

GSM kaweka wazi kwamba ni Sh 300M kwa mwaka, with an annual increment of 10%... Mwamedi ngapi?!
Mbumbumbu anaweza kuwa mwerevu akipewa maarifa ila wapumbavu hao ni mgando kabsa yaani wajima manyani hawabadiliki kamwe
 
Mbumbumbu anaweza kuwa mwerevu akipewa maarifa ila wapumbavu hao ni mgando kabsa yaani wajima manyani hawabadiliki kamwe
Duh... POVU MAX, na mitusi juu!!

In short, Mbumbumbu huna jibu, whichi means unapiga kelele kwa jambo usilolijua!! Oh, GSM hivi, mara GSM vile kumbe hata hujui huyo Mwamedi analipa shilingi ngapi kuweka yale makorokoro yake kwenye jezi zenu!!

Anyway, busara zinanishawishi nikupuuze lakini hata akiulizwa mtoto wa darasa la pili, mara moja atafahamu ni nani mpumbavu kati yangu na wewe...
 
Kazumari himself, I like the guy, namuelewa sana.
 
Duh... POVU MAX, na mitusi juu!!

In short, Mbumbumbu huna jibu, whichi means unapiga kelele kwa jambo usilolijua!! Oh, GSM hivi, mara GSM vile kumbe hata hujui huyo Mwamedi analipa shilingi ngapi kuweka yale makorokoro yake kwenye jezi zenu!!

Anyway, busara zinanishawishi nikupuuze lakini hata akiulizwa mtoto wa darasa la pili, mara moja atafahamu ni nani mpumbavu kati yangu na wewe...
Hivi kuna tusi hapo juu.? 😂😂😂🤣🤣 1300 kwa uzi mmoja 🤣🤣🤣 ukitoa wale wawili walio bakia wote ni buree kabisaaa yaani hamnazo
 
Hivi kuna tusi hapo juu.? 😂😂😂🤣🤣 1300 kwa uzi mmoja 🤣🤣🤣 ukitoa wale wawili walio bakia wote ni buree kabisaaa yaani hamnazo
Jibu ulichoulizwa, kama huna jibu, PIGA KIMYA!!
 
Sie mashabiki tunataka timu yetu ishinde tu basi, mbona nyie MO kamiliki timu yenu kila kitu na mpaka sasa hamfaham kama bil 20 zimetoka au bado.Jezi yenu bidhaa zimejaa na anafanya atakavyo Ile MO Foundation mpaka inokosa sehemu ikawekwa nyuma,mkivaa jezi ile MO Foundation kama haipo makalioni basi ipo kiunoni kama shanga.
 
Duh... POVU MAX, na mitusi juu!!

In short, Mbumbumbu huna jibu, whichi means unapiga kelele kwa jambo usilolijua!! Oh, GSM hivi, mara GSM vile kumbe hata hujui huyo Mwamedi analipa shilingi ngapi kuweka yale makorokoro yake kwenye jezi zenu!!

Anyway, busara zinanishawishi nikupuuze lakini hata akiulizwa mtoto wa darasa la pili, mara moja atafahamu ni nani mpumbavu kati yangu na wewe...
Una smartphone au laptop ya kazi gani ingia tafuta taarifa zipo.
 
Sie mashabiki tunataka timu yetu ishinde tu basi, mbona nyie MO kamiliki timu yenu kila kitu na mpaka sasa hamfaham kama bil 20 zimetoka au bado.Jezi yenu bidhaa zimejaa, Ile MO Foundation mpaka inokosa sehemu ikawekwa nyuma,mkivaa jezi ile MO Foundation kama haipo makalioni basi ipo kiunoni kama shanga.
Man, huko kwenye 20B umeenda mbali mno!! Hapa wanabwabwaja kuhusu Mkataba wa Jezi huku wakisahau kwamba ule wa Yanga wanaoita tunapigwa ni 1.8 Billion kwa mwaka, wakati wa kwao ni 1B kwa mwaka!!

Wanabwabwaja kuhusu udhamini wa 300M wakati wao HAWAFAHAMU Mwamedi yale makolo kolo aliyoyajaza kwenye jezi zao analipia shilingi ngapi... HAWAJUI!!

Mara oh, Hersi Said ni mwajiriwa wa GSM huku wakisahau kwamba Barbara nae ni Mwajiriwa wa Mwamed...

Mbaya zaidi, wala hawafahamu kwamba Hersi amechaguliwa na Wanachama, na kwahiyo anaweza kuondolewa na Wanachama wakati Wanachama wa Makolo HAWANA UBAVU wa kumtoa Barbara!!

Yaani Chenga+
 
Yanga tunataka honest sale ya shares , hatutaki magumashi.
Kama GSM wamejimilikisha hisa za club kinyemela imekula kwao tutaenda mahakamani kuzidai.

Yanga ni dude kubwa sana , hawa GSM wasidhani wanaweza kulipata kwenye sahani!
 
Back
Top Bottom