Eddo na wenzie walipokea fedha kututoa kwenye reli?

Eddo na wenzie walipokea fedha kututoa kwenye reli?

Yanga tunataka honest sale ya shares , hatutaki magumashi.
Kama GSM wamejimilikisha hisa za club kinyemela imekula kwao tutaenda mahakamani kuzidai.

Yanga ni dude kubwa sana , hawa GSM wasidhani wanaweza kulipata kwenye sahani!
Pale Ccm inapojifanya INA huruma na Chadema hii kitaalam inaitwaje?
 
Nilikusika unavolalama kipyenga extra kikubwa fateni utaratibu chambueni mechi ziko ligi nyingi duniani msijikite ,nbc,epl ,Italy ,huko amerika kusini game zinapigwa asubuhi mtuchambilie hayomambo
 
Wewe mbumbumbu Hers I ameshaondoka GSM yupo Yanga.

Rage alivyowaita mbumbumbu hakukosea.
Bro mimi si mbu3,nachojua hersi kasimama hapo kama rais wa Yanga,yes tumempigia kura nilimuuliza huyo kolo ajibu
 
Kama wanalipa wachezaji mishahara na kuchukua makombe hata angekaa GSM peke yake sawa tuu maana ishu ya bakuri haipo sawa kabisa...
Hayo ndio mambo huwa nasema.mfano mm Ni yanga kweli Ila sijawi changia klbu yangu sas anatokea mtu ambae atafanya kila kitu alfu nimfanayie fitina hpn kbsa gms chukua mkp majengo nenda kaombee mikopo [emoji542]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Utawaambia nini manyani wale. Luc Emely alikua sahihi. Na alichokiandika bin kazumari nilikua nakitafakari kila mara why kila yanga wakiweka mikataba yao ya kimagumashi huyo eddo na kina oscar na kitenge wanakujaga na vistory vyao vya kisoro tu. Leo kumwemve anasema yeye hapaswi kuongelea mikataba hivi yule aliyekua abaongelea simba kushindwa kumsajili adebayo na mambo mengine ya mikataba ya wachezaji wa simba kuachwa ni nani..? Akili kichwani bin kazumari ni mwandishi ninaye mkubali aisee
Moja ya muandishi sijui mtangazaji simkubali ni huyo kazumarii

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Msitutoe kwenye reli... Wananchi wanataka furaha na makombe tu...
Ikiwezekana ofisi za Yanga S.C zihamishiwe pale Salamander kabisa....
Na huu ni mwanzo tu wa mateso ya muda mrefu mnayoenda kuyapitia nyie mbumbumbu fc kwa maana Yanga iliyo imara kiuchumi itawapa mateso ya muda mrefu sana
Sijui watz wanataka lipi mkp sas haijajulikana ss mashabiki wa Mpira huu wa Simba na yanga Jambo lipi kwetu Ni jema

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom