Nimeirudia mara mbili kwa sababu ni taarifa nayoikumbuka iliandikwa na BBC Swahili miaka hiyo akiwa Real Madrid alihojiwa akasema ndoto zake ni kustaafu akiwa Real Madrid akifikisha miaka 40, lakini baadae kabla ya hiyo miaka akawa amerudi Man Utd.Mkuu point of correction. Hakuna sehemu yoyote Ronaldo aliwahi kusema atastaafu akifika miaka 40. Naona umeirudia nimeona nikusahishe hapo
Na Ronaldinho utasemaje.?Jamaa haja enjoy kabisa football
Ni sawa auna ya uchezaji wake ni risk sana. Nilikuwa nampenda sana hadi mwanangu mmoja nilimuita edenHivi ina maana ule mtindo wake wa kudribo ndio umemletea majeraha sana au ni bahati mbaya? Mana kina CR7 wao wanaendelea kukipiga na alishasema atastaafu akiwa na miaka 40, ila inaonekana anaweza kupitiliza hiyo miaka.
Siri ya kucheza muda mrefu ni nini? Je, kuna madhara ya kiafya kucheza mpira muda mrefu?