Goodluck Mchika
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 1,228
- 1,138
sina maana hiyo hako maana najua nifan wake unaumia na ni Real MadridMpira biashara na exposure.Ulitaka afie Chelsea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina maana hiyo hako maana najua nifan wake unaumia na ni Real MadridMpira biashara na exposure.Ulitaka afie Chelsea?
Thibaut ndo ana laaana yetu ila hazard ana baraka za england nzima sina shaka naye ataperform tu kama binadamu anazoea mazingira tuNdo hivyo huyu ninja ataikumbuka England
Nimetizima game zote ambazo kacheza hana makeke wala hana chochote
Wala hakuna bak anayemkamia kama kipindi yuko England unakuta anakabwa na mabeki watatu
Hana chochote kabisa yaan ni garasa
Huyu jamaa pole yake aisee
Nahis had mda huu moyo wake unadunda maana tiar kashaanza kujua kuwa kumbe alichemka
Ivi unafikir hazard ni mchezaji wa kipuuzpuuz hv!! Kama mpira ham ufahamu basi msijifanye wajuaji.Ndo hivyo huyu ninja ataikumbuka England
Nimetizima game zote ambazo kacheza hana makeke wala hana chochote
Wala hakuna bak anayemkamia kama kipindi yuko England unakuta anakabwa na mabeki watatu
Hana chochote kabisa yaan ni garasa
Huyu jamaa pole yake aisee
Nahis had mda huu moyo wake unadunda maana tiar kashaanza kujua kuwa kumbe alichemka
Kwani tuna husuda kutamani wengine washindwe tunafaidika vipi na haya mawazo ya kiboya?
sisi chelsea tulimtakia heri kabisa eden hao wanaomkashifu ni fans wa barcelonawashabiki wa chelsea tulieni mbona nyinyi mkinunua wachezaji bei mbaya hakuna anayewahoji au mmesahau Mo Salah, Debruyne, Lukaku hata Bakayoko wote kwenu hawakuonekana na thamani
Wamepigwa goal 7 na atleticMkuu ongeza sauti kidogo huku back bench hatusikii vizuri...
Mkuu ongeza sauti kidogo huku back bench hatusikii vizuri...
Ndo hivyo huyu ninja ataikumbuka England
Nimetizima game zote ambazo kacheza hana makeke wala hana chochote
Wala hakuna bak anayemkamia kama kipindi yuko England unakuta anakabwa na mabeki watatu
Hana chochote kabisa yaan ni garasa
Huyu jamaa pole yake aisee
Nahis had mda huu moyo wake unadunda maana tiar kashaanza kujua kuwa kumbe alichemka
Na NestrooyMadrid walipatia kwa CR7 tu