Pre GE2025 Edgar Mwakabela (Sativa) alipia fedha za fomu ya Tundu Lissu kugombea Uenyekiti CHADEMA

Pre GE2025 Edgar Mwakabela (Sativa) alipia fedha za fomu ya Tundu Lissu kugombea Uenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Edgar Mwakalebela maarufu kama Sativa amelifadhili zoezi la Lissu kuchukua fomu yake ya kugombea nafasi ya mwenyekiti CHADEMA.

"Kuna wanachama wema wanaofikiri kama mimi, wanaofikiri kwamba uchaguzi huu [Uenyekiti CHADEMA] uwe mwanzo mpya kwa chama chetu, ambao wamechanga fedha ya kulipia gharama ya kuchukua fomu. Lakini hata hivyo, hiyo fedha waliochanga haitatumika kulipia hizo fomu. Hiyo shilingi milioni 1.5 imetolewa na mwanachama wetu mmoja anayeitwa Edgar Mwakabela kwa jina maarufu Sativa."

Soma, Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Mwakabela alinusurika kuuwawa baada ya kutekwa mnamo Juni 2024.
 
Hiyo Kwa wenye hicho pevu wataona kwamba, Kuna ujumbe mkubwa unaopelekwa kwa Watawala na wale wa siasa moderate hasa ndani CHADEMA.
Uongozi uliopo ni kama imeshindwa kuadopt radical approach kuzikumbusha mamlaka juu ya uwajibikaji kwa raia wa Tanzania.
 
Hiyo Kwa wenye hicho pevu wataona kwamba, Kuna ujumbe mkubwa unaopelekwa kwa Watawala na wale wa siasa moderate hasa ndani CHADEMA.
Uongozi uliopo ni kama imeshindwa kuadopt radical approach kuzikumbusha mamlaka juu ya uwajibikaji kwa raia wa Tanzania.
Mbowe aendelee kuwa mfadhili na mshauri mkuu wa chama, lkn suala la yeye kuwa mwenyekiti aachane nalo kama anataka chadema iendelee kuwepo
 
Edgar Mwakalebela maarufu kama Sativa amelifadhili zoezi la Lissu kuchukua fomu yake ya kugombea nafasi ya mwenyekiti CHADEMA.

"Kuna wanachama wema wanaofikiri kama mimi, wanaofikiri kwamba uchaguzi huu [Uenyekiti CHADEMA] uwe mwanzo mpya kwa chama chetu, ambao wamechanga fedha ya kulipia gharama ya kuchukua fomu. Lakini hata hivyo, hiyo fedha waliochanga haitatumika kulipia hizo fomu. Hiyo shilingi milioni 1.5 imetolewa na mwanachama wetu mmoja anayeitwa Edgar Mwakabela kwa jina maarufu Sativa."

Soma, Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Mwakabela alinusurika kuuwawa baada ya kutekwa mnamo Juni 2024.
View attachment 3178776
@sativa Mungu akubariki sana
 
Edgar Mwakalebela maarufu kama Sativa amelifadhili zoezi la Lissu kuchukua fomu yake ya kugombea nafasi ya mwenyekiti CHADEMA.

"Kuna wanachama wema wanaofikiri kama mimi, wanaofikiri kwamba uchaguzi huu [Uenyekiti CHADEMA] uwe mwanzo mpya kwa chama chetu, ambao wamechanga fedha ya kulipia gharama ya kuchukua fomu. Lakini hata hivyo, hiyo fedha waliochanga haitatumika kulipia hizo fomu. Hiyo shilingi milioni 1.5 imetolewa na mwanachama wetu mmoja anayeitwa Edgar Mwakabela kwa jina maarufu Sativa."

Soma, Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Mwakabela alinusurika kuuwawa baada ya kutekwa mnamo Juni 2024.
View attachment 3178776
kumbe mwamba yupo nje, sijui nchi gani
 
Edgar Mwakalebela maarufu kama Sativa amelifadhili zoezi la Lissu kuchukua fomu yake ya kugombea nafasi ya mwenyekiti CHADEMA.

"Kuna wanachama wema wanaofikiri kama mimi, wanaofikiri kwamba uchaguzi huu [Uenyekiti CHADEMA] uwe mwanzo mpya kwa chama chetu, ambao wamechanga fedha ya kulipia gharama ya kuchukua fomu. Lakini hata hivyo, hiyo fedha waliochanga haitatumika kulipia hizo fomu. Hiyo shilingi milioni 1.5 imetolewa na mwanachama wetu mmoja anayeitwa Edgar Mwakabela kwa jina maarufu Sativa."

Soma, Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Mwakabela alinusurika kuuwawa baada ya kutekwa mnamo Juni 2024.
View attachment 3178776
Safi sana hii.
 
Back
Top Bottom