Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mnataka ac no ili tukichanga mzitaifishe? CCM tumewashtukia.Hongera Sativa, sijawahi changia chama chochote Cha siasa zaidi ya kuchangia Lissu atibiwe na pia kwa huu uchaguzi ntamchangia pia Lissu, kiasi cha million Moja. Tunaomba watuwekee account za kuchangia.
Hapan huyu Mzee Mbowe anatakiwa afungwe kabisaMbowe aendelee kuwa mfadhili na mshauri mkuu wa chama, lkn suala la yeye kuwa mwenyekiti aachane nalo kama anataka chadema iendelee kuwepo
Afungwe kakosa nn?Hapan huyu Mzee Mbowe anatakiwa afungwe kabisa
Yalitaka kumuua aseeMa CCM na roho zenu mbaya mmemfanya Sativa awe mkimbizi. Hovyo kabisa nyie
Ameshalala mbele hayupo bongo hii kakaHUYU SATIVA HATA KAMA AMEMCHANGIA LISSU FORM, AKAMATWE KWA UTARATIBU WA KISHERIA "ACHAPWE VIBOKO 10 HADHARANI" AENDE ZAKE AKIRUDIA MATUSI VIBOKO VIONGEZEKE NA APATIWE KAZI YA KUDEKI GEREZA LA SEGEREA KWA MIEZI MITATU
mnajmjua mchaga nyie au hamumjui aachie saccos yake kwa mburula kam ahuyo yule katumwa hela siyo taarabu za lissuHongera Sativa. Umepanda mbegu ya mabadiliko.
Lisu ndio mwenyekiti ajaye wa CHADEMA
Mambo ndio kwanza yanaanza UpyaaaEdgar Mwakalebela maarufu kama Sativa amelifadhili zoezi la Lissu kuchukua fomu yake ya kugombea nafasi ya mwenyekiti CHADEMA.
"Kuna wanachama wema wanaofikiri kama mimi, wanaofikiri kwamba uchaguzi huu [Uenyekiti CHADEMA] uwe mwanzo mpya kwa chama chetu, ambao wamechanga fedha ya kulipia gharama ya kuchukua fomu. Lakini hata hivyo, hiyo fedha waliochanga haitatumika kulipia hizo fomu. Hiyo shilingi milioni 1.5 imetolewa na mwanachama wetu mmoja anayeitwa Edgar Mwakabela kwa jina maarufu Sativa."
Soma, Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Mwakabela alinusurika kuuwawa baada ya kutekwa mnamo Juni 2024.
View attachment 3178776
Kule kwa Mwl Mwakasege hii Inaitwa Kupanda Mbegu ya Baraka na Mafanikio.Hongera Sativa. Umepanda mbegu ya mabadiliko.
Lisu ndio mwenyekiti ajaye wa CHADEMA
kumbe anatukana akiwa nje ana bahatiAmeshalala mbele hayupo bongo hii kaka
Hakika, si kwa jitihada za binadamu, bali wapo hai kwa mapenzi ya MUNGU.Lissu na Sativa tuko nao leo kwa mapenzi ya Mungu.
Mungu ni mwema wakati wote.. Asante sana SativaEdgar Mwakalebela maarufu kama Sativa amelifadhili zoezi la Lissu kuchukua fomu yake ya kugombea nafasi ya mwenyekiti CHADEMA.
"Kuna wanachama wema wanaofikiri kama mimi, wanaofikiri kwamba uchaguzi huu [Uenyekiti CHADEMA] uwe mwanzo mpya kwa chama chetu, ambao wamechanga fedha ya kulipia gharama ya kuchukua fomu. Lakini hata hivyo, hiyo fedha waliochanga haitatumika kulipia hizo fomu. Hiyo shilingi milioni 1.5 imetolewa na mwanachama wetu mmoja anayeitwa Edgar Mwakabela kwa jina maarufu Sativa."
Soma, Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Mwakabela alinusurika kuuwawa baada ya kutekwa mnamo Juni 2024.
View attachment 3178776
Kwani si tulikubaliana twende na JOHN HECHE mbona upepo umebadilika ghafla.Edgar Mwakalebela maarufu kama Sativa amelifadhili zoezi la Lissu kuchukua fomu yake ya kugombea nafasi ya mwenyekiti CHADEMA.
"Kuna wanachama wema wanaofikiri kama mimi, wanaofikiri kwamba uchaguzi huu [Uenyekiti CHADEMA] uwe mwanzo mpya kwa chama chetu, ambao wamechanga fedha ya kulipia gharama ya kuchukua fomu. Lakini hata hivyo, hiyo fedha waliochanga haitatumika kulipia hizo fomu. Hiyo shilingi milioni 1.5 imetolewa na mwanachama wetu mmoja anayeitwa Edgar Mwakabela kwa jina maarufu Sativa."
Soma, Pia: Tundu Lissu achukua rasmi Fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA
Mwakabela alinusurika kuuwawa baada ya kutekwa mnamo Juni 2024.
View attachment 3178776
Kutakuwepo waliomsaidia kwenda ngambo hao ni maadui wakubwa wa taifaAmeshalala mbele hayupo bongo hii kaka