vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
English mgogoro kwako?Toka kombe la dunia lianze upande wa dstv swahili huyu kijana amenikosha sana haboi kusikilizwa
Hapigi kelele ila anatoa fact,usimuliaji wa mpira unaflow
Leo katar tunampiga kibonde senegal
56,000 compactMnaoangalia Dstv mnalipia bei gani kuona mechi?
Duh [emoji849]56,000 compact
Polen, 12000 tu naona mechi zote56,000 compact
King'amuz gani?Polen, 12000 tu naona mechi zote
TBC 1King'amuz gani?
Huyu wa TBC1 anatufunga kamba na kiarabu chake cha uongo ila yuko vizuri.Kuna mwingine yuko Tbc anatia na mbwembwe za kiarabu kidogo pia yupo vizuri
Mbona fresh tu. uchambuzi wa mbwaduke na mtangazaji wa kiarabu tunaenjoy tu.Jamaa yuko mjema.
Nje ya mada: Mnaoangalia mpira kwa tbc mnawezaje wakuu, quality mbovu balaa sijui shida ni nini?
Ukiangalia chanel za dstv halafu uje kuangalia tbc unaona chenga tu.
Nilitamani kuonja ladha ya watangazaji wa tbc ila ule ukungu kideoni ulinishinda, nyie mnawezaje??
Anaitwa Nazareth Sijui jamaa anatangaza vzr Sana huyuKuna mwingine yuko Tbc anatia na mbwembwe za kiarabu kidogo pia yupo vizuri
TBC gwanyokoTBC 1
Mwanduke alikuwa wapi ujana wake wote anaibuka uzeeniMbona fresh tu. uchambuzi wa mbwaduke na mtangazaji wa kiarabu tunaenjoy tu.