JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Walizibiwa mianya ya kula tu hawana lolote. Wacha walambe Asali ila 2025 watajia hawajui.Naamini hata Edmund hakuishia kuyasema mapungufu ya Magufuli tu kwenye kikao kizima. Kwa vyovyote vile alitoa vision.
Ila wakuda wakachukua kipande cha dukuduku lake tu wakaacha vision zake.