Jibu la swali lenu wachambuzi uchwara limejibiwa na CAF, wameiweka Simba katika timu bora 10 Africa.
Unataka jibu gani lingine?
Au fanya hivi watext mabosi wa CAF walilie waiweke Uto kwenye 10 bora [emoji23][emoji23]
Waambie Uto waliwafunga Simba 5 hadi wakafukuza kocha [emoji23][emoji23]
Uto ni timu bora kuliko Simba [emoji23][emoji23]
Waambie pia kuwa Uto wana tuzo ya kunywa supu ya kibudu cha comred Bashite [emoji23][emoji23]
Mwanawane utaua kila kitu maana nyie wana Uto mpo konk kuliko Simba ya Mangugu.
Haya watext sasa mabosi wa CAF we chura wahed [emoji16] [emoji16]