EDO: Kama Simba walihujumiwa kwanini wamemfukuza kocha?

Kuna tano zingine toka Azam January,6 toka pacome mwezi wa tatu,nyi endeleeni na ujinga wenu tu
 
Kwahiyo unamanisha anayetambaa amembugiza anayetembea mkono wa nyani?
Hata kama kampiga kwa kwa kwato ya kibudu bado Simba ni matawi ya juu sana.

Endeleeni kumchambua hizo 5 ila Simba ni ile ile inayotamba Africa.

Nyie kutamba kwa vibanda umiza vya Mbagara na Buza daima πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜πŸ˜
 
Aaaahaa

Ebu fikeni nafasi ya tano ili tuwapige kumi
 
Quality ya Yanga inapanda .....lkn quality ya kolo inashuka ....it's a matter of time
 
Aaahaaa

Naona 5 zinakuchanganya mpaka unajitoa akili
Heri yangu 'niliyechanganyishwa' na tarakimu 5 nikapata heshima huko CAF kuliko wewe uliyechanganywa na supu ya kibudu cha comredi hadi ukapoteza mwelekeo.

My take : mtafute pastor Mashimo akuombee utapona kwa sharti moja tu la kutoa sadaka.

Changamkia nafasi hiyo kabla hujaitoroka familia yako maana madhara ya supu ya comredi Bashite sio ya masaa 24 tu bali ni muda wote😁😁
 
Mashimo ana bifu na Simba

Mpekeeni sadaka zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…