Kwahiyo channel ya whasaap ndo itapunguza magoli ya Yanga kati ya yale matano?Wanaomuandama Mangungu ni wale ambao hawajawaza hata kufungua channel ya whatsapp kuitangaza Uto, hao ni watu wanao suffer na madhara ya supu ππ
I think na wewe ni amongst wao ππ
Yeye huyo bichwa ni nani wa kuhoji maamuzi ya Simba. Wasafi FM imekuwa kitengo ch propaganda cha Yanga.EDO: SIMBA KUMFUKUZA KOCHA NI KUWEWESEKA NA KIPIGO.
"Majuzi Simba wamefungwa bao tano na watani zao,nimekumbuka mengi.Nadhani lilikuwa ni hitimisho la anguko lao dhidi ya watani wao.Kipimo cha maendeleo ya Simba sio Yanga,lakini unahitaji kuangalia kwa umakini mwenendo wa mtani wako kwaajili ya kujijenga kesho yako iliyo salama zaidi"
"Simba waliidharau Yanga wakati inajijenga.Simba walilewa na utawala wao wa miaka ya hivi karibuni..Simba walimdharau Hersi,wakaidharau na Yanga wakati ikiendelea kujitafuta"
"Simba walibeza hata Yanga kufika Fainali za Kombe la Shirikisho barani Afrika.Ule mda wa madaraka ni mtamu.Simba walikuwa katika madaraka ya soka la nchi hii kwa miaka minne mfululizo halafu na wakasahau kuidharau Yanga"
"Leo Simba wamefungwa mabao matano na Yanga na anasakwa mchawi. Mtu wa kwanza kutolewa kafara ni Kocha Robertinho.Ameondoka.Ameshakwenda kwao"
"Inadaiwa kwamba kuna wachezaji wanashutumiwa kuwa waliihujumu mechi,Kama unaamini kuna wachezaji wamehujumu mechi kwanini umfukuze Kocha? Hapo hapo Mwenyekiti wa Simba,Murtaza Mangungu naye anatuhumiwa kuhusika na kipigo.Swali kipigo kilitokana na Robertinho, wachezaji au Mangungu? Nadhani huku kote ni kuweweseka tu"
EDO KUMWEMBE via MWANASPOTI.
#FutbalPlanetUpdatesView attachment 2813593
Tulimwambia wazi kuwa sie sio Uto kama anataka sadaka (hela za dezo) awasiliane na mama Abdul π πMashimo ana bifu na Simba
Mpekeeni sadaka zake
Ubora utoke wapi!?..umenyukwa tano,ubingwa mwaka wa tatu unaenda kukosa,na msimu huu utagombea nafasi ya tatu na nne na singida na tabora unitedHizo tano zitabaki kuwa tarakimu tu, Simba ni bora kuliko 5 zenu wachambuzi uchwara wa Mbagara. ππ
Yaaah mkuu..... kichapo Cha 5....1 ni heavyweightWanaomuandama Mangungu ni wale ambao hawajawaza hata kufungua channel ya whatsapp kuitangaza Uto, hao ni watu wanao suffer na madhara ya supu [emoji16][emoji16]
I think na wewe ni amongst wao [emoji23][emoji23]
Kwahiyo kuwa kumi bora kumekusaidiaje kupunguza kipigo cha goli tano?Tulimwambia wazi kuwa sie sio Uto kama anataka sadaka (hela za dezo) awasiliane na mama Abdul π π
Aliwasiliana naye basi!!?
Alichofanya ni kupandisha mashetani tu eti atailaani Simba.
Sisi sio Uto yeye alaani ni na sisi tupo ndani ya kumi bora Africa
10 Bora Africa ndio kombe gan Mr. kolo[emoji1][emoji1]Tulimwambia wazi kuwa sie sio Uto kama anataka sadaka (hela za dezo) awasiliane na mama Abdul [emoji28][emoji28]
Aliwasiliana naye basi!!?
Alichofanya ni kupandisha mashetani tu eti atailaani Simba.
Sisi sio Uto yeye alaani ni na sisi tupo ndani ya kumi bora Africa
Mwenzio anajivunia kuwa namba kumi kimataifaUbora utoke wapi!?..umenyukwa tano,ubingwa mwaka wa tatu unaenda kukosa,na msimu huu utagombea nafasi ya tatu na nne na singida na tabora united
Inamankusweke πππUbora utoke wapi!?..umenyukwa tano,ubingwa mwaka wa tatu unaenda kukosa,na msimu huu utagombea nafasi ya tatu na nne na singida na tabora united
Naona ukiacha Mwakarobo Cup naona sasa wana kombe la shaboki bora na 10 bora kimataifa10 Bora Africa ndio kombe gan Mr. kolo[emoji1][emoji1]
Nilijua tu hujui lolote π10 Bora Africa ndio kombe gan Mr. kolo[emoji1][emoji1]
Hapana mkuuNilijua tu hujui lolote [emoji23]
Muulize rais wa Uto atakueleza kila kitu.
Na kama Humuamini injinia hesi basi ingia kwa tovuti ya CAF utapata jibu la swali lako.
Wenzako walipewa supu na chapati tano,wakashindwa kumaliza wamewapelekea wenzaoInamankusweke πππ
Are you doing well?
Umeshatapika supu au nkutapishe kwa mwiko ?
Madhara ya supu yakizidi muone pastor Mashimo utapona mwananchi.
Nitajie namba zao hao wenzangu, nitakuona wewe ni mzima wa afya kama utataja namba zao za uanachama Simba.Wenzako walipewa supu na chapati tano,wakashindwa kumaliza wamewapelekea wenzao
Hata bosi wenu alisema hivyo hivyo ila hajapata hata hilo 'kombe la 10 bora' π πHapana mkuu
Boss wenu Mudi alisema anahitaji kombe la club bingwa .....but sijawahi kusikia kombe la 10 Bora Africa [emoji23][emoji23]
Kolowizards likipovukwa baada ya kupigwa kwenye mshono kisawasawa 05/11/2023 [emoji1]Jibu la swali lenu wachambuzi uchwara limejibiwa na CAF, wameiweka Simba katika timu bora 10 Africa.
Unataka jibu gani lingine?
Au fanya hivi watext mabosi wa CAF walilie waiweke Uto kwenye 10 bora [emoji23][emoji23]
Waambie Uto waliwafunga Simba 5 hadi wakafukuza kocha [emoji23][emoji23]
Uto ni timu bora kuliko Simba [emoji23][emoji23]
Waambie pia kuwa Uto wana tuzo ya kunywa supu ya kibudu cha comred Bashite [emoji23][emoji23]
Mwanawane utaua kila kitu maana nyie wana Uto mpo konk kuliko Simba ya Mangugu.
Haya watext sasa mabosi wa CAF we chura wahed [emoji16] [emoji16]
Wewe ni jiwe na Wakikusikiliza watajenga timu yaoUjinga tu soka la bongo. Tulizidiwa mechi bwana