Edo Kumwembe/Adriano Gulliati kumhusu Mfalme wa Soka duniani

BlackPanther

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2015
Posts
9,185
Reaction score
8,715
Edo Kumwembe, najuwa mnamfahamu vizuri sana huyu mchambuzi, ni mmoja katika wachambuzi bora kabisa hapa Tanzania + Shaffii Dauda...na bila kumsahau Adriano Gulliani, hutu ni Makamu Raisi AC MILAN.


Haya ni maneno yao na si kutoka kwangu! Na Edo ni mchambuzi mahiri na anaujuwa mpira vizuri zaidi yangu mimi na pengine hata wewe.




ADRIANO GULLIANI,MAKAMU RAISI AC MILAN.👇


Baadhi ya Comments zilizojibiwa na wadau mbali mbali akiwemo Mchambuzi/Edo Kumwembe....




Huyu dada anaujuwa mpira haswaa, kama upo humu/JF, I salute you my dada! Upo vizuri sana...


Dharau,Matusi na kejeli haitakiwi...so changia kwa ustaarabu, Ahsante!
 
Ukiona kuna vitu zaidi ya kimoja vinabishaniwa basi jua vinazidiana kidogo na au kufanana sana.mshindi hatakiwi kubishaniwa.kama mpira ni magoli basi pele ndo mfalme.Ubishi wa messi na ronaldo utadumu na kuendelea daima.Na vigezo vitatolewa, watu hunyanyuka ukumbini kushangilia goli na makombe hutolewa kwa aliyetupia magoli.Huu ushabiki mandazi unakamilishwa na aliyefanya vitu vingi mpirani vinavyofanya watu wachizike na kunyanyua makwapa (magoli).Viva pele
 
Makamu wa Raisi aliyewashuhudia Maradona na Pelle anakwambia MESSI ni habari nyingine wewe ambaye hata Supersport ni hadi uende kibandaumiza na jero lako unabisha hadi mishipa inakukakamaa

Kiukweli kizazi hiki tuna bahati ya kumshuhudia King Messi maana wachezaji wa sampuli yake huzaliwa kila baada ya miaka 2000

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo bingwa wa soka anaangaliwa kwa ballon de or za nyuma na magoli ya kufungulia mwaka. duh soka limeingiliwa
Messi ana ballon de or 5, ana viatu vya dhahabu vi 5, na amefunga magoli ya kwanza ya kufungulia mwaka mara 5 mfululizo! Chakushangaza bingwa wa soka anakuja kupewa modric ambae hafiki hata robo ya Messi! Hakuna haki
 

Hahahahaaaa safi mkuu umeongea point
 
Reactions: PNC

Chuki zinawasumbua hawa vijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…