Edo Kumwembe/Adriano Gulliati kumhusu Mfalme wa Soka duniani

Edo Kumwembe/Adriano Gulliati kumhusu Mfalme wa Soka duniani

Hebu wataje hapa hao wanao mkubali Pele

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtag na jamaa ako
20190123_224428.jpeg
20190123_224521.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashindwa muelewa sasa nikiwataja watu wanaomkubali Pele si tutajaza majina tu hapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni tatizo la kukosa hoja mkuu..!
Nimewaambia ukiuliza yupi ni mchezaji bora wa muda wote kila mtu atamtaja mchezaji ambaye anavutiwa naye zaidi..!
Wao wanalazimisha kila mtu aseme Messi ndiye,kwasababu Edo Kumwembe amesema..!
Ahahaaah,watu wanafurahisha sana..!
 
Hilo ni tatizo la kukosa hoja mkuu..!
Nimewaambia ukiuliza yupi ni mchezaji bora wa muda wote kila mtu atamtaja mchezaji ambaye anavutiwa naye zaidi..!
Wao wanalazimisha kila mtu aseme Messi ndiye,kwasababu Edo Kumwembe amesema..!
Ahahaaah,watu wanafurahisha sana..!
Kila mtu anamtaja mchezaji anaemkubali ni bora, mfano Pele,Maradona,C.Ronaldo na Messi wametajwa kuwa bora na watu tofauti tofauti kwahyo kuja na hoja eti fulani kasema wala haileti impact yoyote coz wapo wenzake waliosema tofauti na yeye labda kama mnataka dunia ipige kura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom