Edo Kumwembe aliwahi kugusia tatizo la nidhanmu ya Kelvin John huko Ulaya, sijashngaa kocha wa Taifa kumlalamikia, Kelvin abadilike lasivyo atapotea

Edo Kumwembe aliwahi kugusia tatizo la nidhanmu ya Kelvin John huko Ulaya, sijashngaa kocha wa Taifa kumlalamikia, Kelvin abadilike lasivyo atapotea

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Huenda ni totoz za huko Belgium zinamzuzua, labda ni Pombe, ama kampani mbaya, n.k. lakini kwa umri alionao ni vema abadilike mapema

Hapo mwezi uliopita Edo Kumwembe aliwahi kupost kwenye ukurasa wake wa Instagram akimuasa Kelvib John abadilike kinidhamu, hatuwezi kujua aba utovu upi lakuni hawa kina Edo wapo karibu sana na wachezaji na huwa wanasafiri sana nje kufatilia mpira, hivyo hakuropoka.

kwa sasa Kelvin kashushwa tena team ya vijana ya Genk, Pengine ni kwajili ya kukosa nidhamu.
 
Ni Kama mwenzake hashim Thabit .
Tatizo la wanamichezo wengi wa kibongo wakipata mafanikio kidogo wanaridhika na kubweteka .
Hawana kiu ya kuongeza mafanikio .
 
Ukitokea maisha ya ukapuku ghafla ukashika hela, kama huna akili nzuri kichwani unahitaji usimamizi mzuri sana
 
Kipaji kinaenda kupotea. Very soon utashangaa unamsikia ligi za Africa. Akiwa mjanja akatafute ulaji ligi za waarabu kwa tabia hiyo ulaya hatoboi labda aamue kubadilika tu.
 
Back
Top Bottom