Edo Kumwembe: Diamond Platnumz ni brand kubwa kuliko Klabu ya Simba

Edo Kumwembe: Diamond Platnumz ni brand kubwa kuliko Klabu ya Simba

Duh
IMG_20200501_071722.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba ni brand kubwa kuliko Diamond. Bali ukweli ni kwamba brand ya Simba iko underutilized tofauti na Diamond ambaye ya kwake iko well utilized na hivyo kuwa na thamani kubwa kuliko ile ya Simba.

Ni kama ambavyo Uingereza au Japan zimeweza kutengeneza Mataifa makubwa ndani ya tu-nchi tudogo ilhali Afrika yenyewe ni brand kubwa ila thamani yake ndogo pengine kuliko Uingereza au Japan.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mda huu wakiendelea na uchambuzi kupitia Redio ya Wasafi Fm katika kipindi cha Sports Arena

Edo Kumwembe amesema kwamba Msanii Diamond ni brand kubwa kuliko Club ya Soka ya Simba kwa udhamini kutoka kwa makampuni mengi kama;

1. Parimatch
2. Nice one
3. Coral color
4. Pepsi

Hivi kweli kwenye brand unaweza kufananisha club na msanii?

♡♤Life belongs to all who struggle for it♤♡♧
Anatetea ugali wake, sishangai.
 
Kwenye kila familia hapa bongo hukosi shabiki mmoja wa simba !!hiyo ni approximately 20m ya watu wanaoipenda simba diamond habadani hasilani hana uwezo wa kucheza taifa peke yake ila

simba mpaka mechi za mabonanza kama simba day wanajanza top!!diamond mimi ni shabiki wake kindakindaki ila napia ni shabiki wa simba ila ukiniambia ni chague kati ya wao simba nambari moja

N:b diamond atapita ila simba itabaki vizazi na vizazi huwezi kualinganisha liability na assets

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio hasara ya kumjua Diamond na kuanza kumshabikia wakati ushazeeka.yani anamfananishaDiamond na Simba,hii mimea si mkizuri jamani acheni impigwe marufuku
 
Wakati Sir Alex Ferguson anamrushia kiatu David Beckham aliyekuwa kwenye ubora wake pale Manchester United na kumjeruhi jichoni katika vyumba vya kubadilishia nguo alimuambia. "Hata siku moja mchezaji hawezi kuwa mkubwa kuliko klabu."
What I mean.. Diamond kusema ni brand kubwa kuliko Simba ni kuwakosea heshima mashabiki wa Wanamsimbazi.
Diamond ni brand yenye limit na muda. Simba ni brand ya isiyokuwa na limit na muda. Means goes Generation to Generation. Period!
Kwani Diamond ni mchezaji Wa simba?
Sawa simba ni brand ya generation to generation ila kwa muda huu Diamond ni brand kubwa kuliko simba, hii itaenda hadi kijana atapo drop

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom