Edo Kumwembe: Mayele ana majivuno

Edo Kumwembe: Mayele ana majivuno

Hizi tuhuma angezitoa mchezaji wa ndani ningeweza kumuelewa kwamba ni mswahili mwenzetu asiye na upeo.
Ila kwa mchezaji wa kulipwa inashangaza na kiukweli Mayele kazingua na heshima yake imeshuka.
Wakongo upeo wao wa akili upo chini,labda wale waliozaliwa nje ya congo,mayele anaamini hakuna mchezaji kama yeye alietokea hapa TZ haya mafanikio ya Yanga pasipo uwepo wake unamuumiza sana
 
Mayele yupo Egypt lakini ki uhalisia Bado yupo Tanzania, Mayele mafanikio na Heshima kubwa katika soka la ndani na nje ya Nchi ameyapata Tanzania.

Kule Drc Mayele alikua maarufu lakini Kwa level yake pale Drc wapo wengi na wamepita wengi katika ligi ya Drc kwaiyo alikua wakawaida Sana.

Mayele amejenga jina akiwa Tanzania uku akimfunika mkongo man Mwenzake Makambo ,Mayele alijituma Sana yeye na wenzake wakafanya mambo makubwa Yanga yeye akiwa kinara.

Kwa ujumla Yanga ya kimataifa ili Bebwa na Mayele na umaarufu wake uka (backfire) mpaka timu ya Taifa ya Congo na kwa wakongomani wote.

Bahati mbaya Amekwenda nchi ambayo lugha haziendani, tamaduni mpya na timu ambayo Haina umaarufu ya pyramid.
Kule watu hawaishi kama Bongo, mdawote mko Avic na washikaji/wachezji wenzako, kule mkitoka mazoezini kilamtu ki vyake kama Ulaya, Sasa Mayele anakua mpweke kwakua muda mwingi ata( chill)na familia yake tu.

Kwaiyo anarudi mtandaoni na kupiga stori na watu wake wa karibu ambao wengi ni wa Tanzania, kwakua anaongea na kuelewa kiswahili, ameshindwa kuwa na washikaji wengi kule misri kwakua tamaduni ziko tofauti Bora ya Drc na TZ zina fanana.

Anafuatilia mambo ya Tz na Drc na hasa ya Tz kwakua anafahamu vingi na anafahamiana na wengi.

Muda mwingi akiwa amepumzika anafuatilia au kuwasiliana na watu wa Tz kwasababu ya upweke, mazingira, tamaduni n.k
Mpaka atakapo weza kuwa na washikaji wapya na kuzoea mazingira mapya ya ugeni ndipo atapunguza kufuatilia ya Tz.

Kwaiyo kama mshikajiwake ni Feisal na inasemekana Kuna Kiongozi wa Azam aliongea na Kiongozi wa Yanga siku Azam inacheza na Dodoma jiji na inasemekana uyo Kiongozi wa Yanga Ali mpiga majungu Mayele wakati akiongea na uyo Kiongozi wa Azam.

Kwakua uyo Kiongozi wa Azam friji haligandishi akampa maneno labda Bangala au Feisal ambao Wana ukaribu na Mayele, Mayele bila kufikiri position yake aliyo iacha Yanga na mashabiki wake aka kurupuka kuongea alicho ongea uku akitambua au kutotambua Yanga inahusisha nchi Nzima isipokua kikundi kidogo Cha uhasi kinacho itwa Simba.

Mayele ame (provoc) nchi ya Wananchi
Ame unyea mkono ulio mlea, Kama Wazazi Yanga naomba wamsamehe.

Kwasasa Mayele yupo Sana mitandaoni kwakua Bado hajapata kampani na kuzoea mazingira mapya.
Kwasasa Mayele anachezea timu ambayo ni kama Azam Haina wafuasi wengi ila ni timu Tajiri pale Egypt ukiondoa Ahly, Zamaleki na Future.

Mayele anatakiwa aongeze juhudi na kuwafunga Ahly, Zamaleki na Future timu vigogo ili aweze kupenya ki umaarufu na kujenga ufalme mpya kule Egypt.

Amtafute nahoza wa zamani wa Azam Himid Mao amwelekeze namna ya kuishi Egypt kwakua tayari ana ukaribu na Sure boy ambaye ata muunganisha na Himid.

Pole Mayele pole Yanga, ivyo ni vitu vidogo tu focus kwenye mechi zijazo tu twae ubingwa aya mengine yanapita.
Hii jan azam walimuomba mayele kwa mkopo na ndipo mwenyewe anapotaka kwenda huko kwa sasa kwa rafiki fei na bangala,pyramid wanatafuta striker dirisha kubwa kwa % flan wanaweza kumtoa mkopo mayele,so azam wako kazini kwa kila hali kuharibu mahusiano yaliyokuwepo kati ya mayele na uongozi wa Yanga kama walivyofanya kwa fei na bangala
 
Mkuu, kwamba tuhuma za uchawi na majini zina ukweli? Kwamba unaamini katika hayo?
Yeyote anayeamini katika uchawi, hasa mambo technical kama mpira huwa namdharau sana.

Kwa maana hiyo unaamini kushindwa kufanya vizuri kwa Mayele kunatokana na sisi Yanga kumtupia majini?
Nimesikitika sana.
Ni bora usikitike maana tuhuma ni kubwa na za aibu halafu aliyezitoa ni mtu ambaye alikuwa karibu na anawajua hao watu anaowatuhumu kwa zaidi ya miaka miwili ameishi nao akifanya nao kazi sasa mimi ninae wajulia mitandaoni wakina Hersi na Manara nawezaje mbishia mtu aliyefanya nao kazi kabisa pamoja
Inawezekana kinacho mfanya ashuke kiwango sio kurogwa au majini ila kwakuwa anawajua viongozi wake hao wa zamani ni watu wa ulozi na majini basi kijana wa watu anaweweseka huko alipo
 
Tatizo la Mayele ni majivuno fulani ambayo anayo. Anafahamu kauli yake itazua taharuki nchini kwa sababu bado ni maarufu hapa nchini.

Angeweza kukaa kimya tu na kufanya mipango yake kuliko kujali sana masuala ya mitandao ya kijamii. Haimsaidii.

Wachezaji wa kulipwa kazi yao ni kucheza soka na kupuuza kelele za mashabiki. Mashabiki kazi yao kubwa pia ni kukutoa mchezoni.

Kukabiliana na changamoto za wachezaji wa timu pinzani, pia mashabiki wa timu pinzani pamoja na wale mashabiki wako ni kazi ya mwanasoka wa kulipwa.

Kuelekea pambano la Pyramids na Mamelodi pale Afrika Kusini, Mayele alikuwa amenyimwa viza ya kuingia Afrika Kusini. Akaenda katika mtandao wake na kuandika kwamba huo ulikuwa mpango tu wa Mamelodi kuhakikisha hachezi pambano hilo.

Kocha wa Mamelodi, Rhulani Mokwena akamjibu Mayele aachane na mambo ya mitandao.” - [emoji2788]Edo Kumwembe.
Sasa akiwa na majivuno ndiyo mumtupie majini? Wacheni roho za kishetani hizo
 
Mwandishi mwemyewe pia ana majivuno kila kitu anajifanya anakijua yeye aache kiherehere.
 
Mayele yupo Egypt lakini ki uhalisia Bado yupo Tanzania, Mayele mafanikio na Heshima kubwa katika soka la ndani na nje ya Nchi ameyapata Tanzania.

Kule Drc Mayele alikua maarufu lakini Kwa level yake pale Drc wapo wengi na wamepita wengi katika ligi ya Drc kwaiyo alikua wakawaida Sana.

Mayele amejenga jina akiwa Tanzania uku akimfunika mkongo man Mwenzake Makambo ,Mayele alijituma Sana yeye na wenzake wakafanya mambo makubwa Yanga yeye akiwa kinara.

Kwa ujumla Yanga ya kimataifa ili Bebwa na Mayele na umaarufu wake uka (backfire) mpaka timu ya Taifa ya Congo na kwa wakongomani wote.

Bahati mbaya Amekwenda nchi ambayo lugha haziendani, tamaduni mpya na timu ambayo Haina umaarufu ya pyramid.
Kule watu hawaishi kama Bongo, mdawote mko Avic na washikaji/wachezji wenzako, kule mkitoka mazoezini kilamtu ki vyake kama Ulaya, Sasa Mayele anakua mpweke kwakua muda mwingi ata( chill)na familia yake tu.

Kwaiyo anarudi mtandaoni na kupiga stori na watu wake wa karibu ambao wengi ni wa Tanzania, kwakua anaongea na kuelewa kiswahili, ameshindwa kuwa na washikaji wengi kule misri kwakua tamaduni ziko tofauti Bora ya Drc na TZ zina fanana.

Anafuatilia mambo ya Tz na Drc na hasa ya Tz kwakua anafahamu vingi na anafahamiana na wengi.

Muda mwingi akiwa amepumzika anafuatilia au kuwasiliana na watu wa Tz kwasababu ya upweke, mazingira, tamaduni n.k
Mpaka atakapo weza kuwa na washikaji wapya na kuzoea mazingira mapya ya ugeni ndipo atapunguza kufuatilia ya Tz.

Kwaiyo kama mshikajiwake ni Feisal na inasemekana Kuna Kiongozi wa Azam aliongea na Kiongozi wa Yanga siku Azam inacheza na Dodoma jiji na inasemekana uyo Kiongozi wa Yanga Ali mpiga majungu Mayele wakati akiongea na uyo Kiongozi wa Azam.

Kwakua uyo Kiongozi wa Azam friji haligandishi akampa maneno labda Bangala au Feisal ambao Wana ukaribu na Mayele, Mayele bila kufikiri position yake aliyo iacha Yanga na mashabiki wake aka kurupuka kuongea alicho ongea uku akitambua au kutotambua Yanga inahusisha nchi Nzima isipokua kikundi kidogo Cha uhasi kinacho itwa Simba.

Mayele ame (provoc) nchi ya Wananchi
Ame unyea mkono ulio mlea, Kama Wazazi Yanga naomba wamsamehe.

Kwasasa Mayele yupo Sana mitandaoni kwakua Bado hajapata kampani na kuzoea mazingira mapya.
Kwasasa Mayele anachezea timu ambayo ni kama Azam Haina wafuasi wengi ila ni timu Tajiri pale Egypt ukiondoa Ahly, Zamaleki na Future.

Mayele anatakiwa aongeze juhudi na kuwafunga Ahly, Zamaleki na Future timu vigogo ili aweze kupenya ki umaarufu na kujenga ufalme mpya kule Egypt.

Amtafute nahoza wa zamani wa Azam Himid Mao amwelekeze namna ya kuishi Egypt kwakua tayari ana ukaribu na Sure boy ambaye ata muunganisha na Himid.

Pole Mayele pole Yanga, ivyo ni vitu vidogo tu focus kwenye mechi zijazo tu twae ubingwa aya mengine yanapita.
Nimelia sana kwanini mnakandamiza na majini?point ipo hapa,mayele hajasema yupo mpweke hapana hapana,majini
 
Anatamani mno zile shobo zingeendelea hadi kule aliko ila kashangaa wabongo wamemsahau mapema sana
Hawajamsahau sababu kila mara ukiona wanamwandika. Suala ma jini tulilifanya sababu ya ujeuri wake. Na tutaendelea mtumia mpaka ashuke kiwango sana.
 
Sio kwamba kwakuwa zimetolewa na mchezaji wa nje ambaye ana heshima nje na ndani ya uwanja huenda tuhuma hizo zikawa zina ukweli ndani yake tofauti labda zingetolewa na Mkude au Ajib ambaye wengi tungehisi ni uswahili tu
Kijana wa miaka hii una amini uchawi! tuna safari ndefu
 
Kijana wa miaka hii una amini uchawi! tuna safari ndefu
Na aliyesema hayo anawajua nje ndani acheni kumtupia majini kijana mwenzetu atafute ridhiki huko alipo kwa amani
Mambo ya kuamini au kutoamini ni kazj ya mchezaji wenu wa zamani aliyewaangushia tuhuma sio mimi tena
 
Kuna mbunge aliwahi kulalamika kwamba Jwtz wanauawa Drc wakilinda maisha ya wakongomani huku wakongo wenyewe wakiwa bongo wanatetemesha vifua, naanza kuielewa.
 
Back
Top Bottom