Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hivyo jua kuwa wao ni mabalozi wa makampuni mengine ya betting hivyo hawawezi kuwatangaza M-bet.Huu wa kupoat picha za timu mbalimbali za tz kisha kifuani mnazifuta sababu ya matangazo
Mbona mkipost timu zenu man U na arsenal
Hamfanyi hivyo?View attachment 2389416
wewe ni nani uwapangie utakavyo?Huu wa kupoat picha za timu mbalimbali za tz kisha kifuani mnazifuta sababu ya matangazo
Mbona mkipost timu zenu man U na arsenal
Hamfanyi hivyo?View attachment 2389416
Yanga wataweka visit jangwaniUkiona hivyo jua kuwa wao ni mabalozi wa makampuni mengine ya betting hivyo hawawezi kuwatangaza M-bet.
Ndio maana utaona hatua ya makundi Simba atavaa jezi zimeandikwa Visit Tanzania, kwakuwa michuano ya CAF inadhaminiwa na 1Xbet hivyo M-Bet atawekwa pembeni kwa mgongano wa kimaslahi
Kwani lazima wapost hzo picha za simba unajua kuondoa mdhamini wa team kama hvyo ni kosa kisheriaSi ushamba ww umesoma vigezo vya mikataba yao kwenye kampuni ambazo wao ni mabalozi?
Wanavunja kifungu kipi cha sheria? Be specific.Kwani lazima wapost hzo picha za simba unajua kuondoa mdhamini wa team kama hvyo ni kosa kisheria
Mkuu wakikujibu nitaq pls.Sana mbona timu za nje hawafanyi hivo
Ni kosa pia kuedit picha ya mtu bila kumuhusisha maana hiyo ni copyright infringement, waliopiga hii picha wanaweza fungua kesi labda kama hiyo image ni bure na inaruhusiwa kueditSi ushamba ww umesoma vigezo vya mikataba yao kwenye kampuni ambazo wao ni mabalozi?
Kwakufanya hivyo wajue nawao wanafanya kosa Kwa kuondoa nembo ya udhamini bila makubaliano na wahusika na ni kinyume na Sheria, bora wangeacha kupost hizo picha kwasababu siyo lazima wazipost kama wanajua mikataba yao inawazua kufanya hivyo.Ukiona hivyo jua kuwa wao ni mabalozi wa makampuni mengine ya betting hivyo hawawezi kuwatangaza M-bet.
Ndio maana utaona hatua ya makundi Simba atavaa jezi zimeandikwa Visit Tanzania, kwakuwa michuano ya CAF inadhaminiwa na 1Xbet hivyo M-Bet atawekwa pembeni kwa mgongano wa kimaslahi
Hakuna mgongano wa kimaslahi kwa mujibu wa mkataba waoMkuu wakikujibu nitaq pls.
Kwani jezi za Visit Kidimbwi zimeisha ?Yanga wataweka visit jangwani