Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh...Tunaweza sema Edo Kumwembe ni muandishi( a columnist) wa michezo
hasa mpira wa miguu wa kuheshimika
Kama sio maarufu zaidi katika sekta hiyo
umaarufu wake unamfanya hata anapoandika kuhusu siasa na jamii
na kukosoa chochote watu humsikiliza na kukubaliana nae
Juzi kati nilisoma article moja yake kuhusu mpira...baadae nikalipoteza
hilo gazeti la mwanaspoti....
Sasa nikawa natafuta hiyo article kuna kitu nilikua nakumbuka kakisema
nilitaka ku share na watu wengine
Nikaanza kutafuta articles zake online....cha ajabu sikupata kitu
nikaingia kwa blog yake nikakuta haijawa updated since mwaka 2009
nikashangaa sana kwa kweli....
mtu huyu ambae ni maarufu kwa kukosoa saana wengine yeye mwenyewe
haoni huu ubabaishaji anao ufanya?
karne hii kweli unaweza fanya media related job na usipatikane online?
kabisaa? kazi zako watu wakitaka ku share wafanyaje?
au mtu akisafiri nje ya TZ anapataje articles zako?
Kama kuna mtu wa kumwambia amwambie na yeye aache ubabaishaji....
Boy you f*cking awesome...There is a thin line between individuals and ideas, you can't have one without the other.
I actually see more than an individual here.
There is a culture of not updating websites, back when I was learning Web Design in 1998, they had a name for these sites, they are not websites, they are "cobwebsites".
The University of Dar had such a disappointing website it made me question its position as the premier University in Tanzania.
But on the other hand, it is entirely possible that Mr. Kumwembe is doing this out of business concerns.
Perhaps he runs the risk of not getting enough readers on the print version if he uploads his articles online?
But then again, that would make sense if only the recent articles are not uploaded.
Perhaps he does not understand/ fully appreciate the potential of the web?
Great..umefikiria nje ya boxThere is a thin line between individuals and ideas, you can't have one without the other.
I actually see more than an individual here.
There is a culture of not updating websites, back when I was learning Web Design in 1998, they had a name for these sites, they are not websites, they are "cobwebsites".
The University of Dar had such a disappointing website it made me question its position as the premier University in Tanzania.
But on the other hand, it is entirely possible that Mr. Kumwembe is doing this out of business concerns.
Perhaps he runs the risk of not getting enough readers on the print version if he uploads his articles online?
But then again, that would make sense if only the recent articles are not uploaded.
Perhaps he does not understand/ fully appreciate the potential of the web?