Umejuaje mkuuIla ana Hela na Maisha mazuri Kukuzidi.
'Nakaza' nae Demu Mmoja wa Segerea.Umejuaje mkuu
Yule wa segerea nasikia ana ngwengwe'Nakaza' nae Demu Mmoja wa Segerea.
Nina Pumu na Blood Group O+ ambao hata iweje hatutakuja Kuugua UKIMWI hata Siku moja na ndiyo maana sitaki niponyeshwe Ugonjwa huu wa Pumu.Yule wa segerea nasikia ana ngwengwe
Huyu jamaa licha ya kuwa fundi mzuri wa Uchambuzi, kuna mahala naye huwa anakwama, unavaaje malapa kwenda studio? Halafu hapo Wasafi Media napo hawazingatii uweledi wa Wafanyakazi wao? Wengi wa wafanyakzi hao ni poor katika dressing code! Edo badilika muige Maulid Kitenge mbona yuko safi anavaa vizuri tu!
View attachment 1497152
Umetisha mkuu,ina maana wewe ni nyama kwa nyama hadi kieleweke ha ha haaahNina Pumu na Blood Group O+ ambao hata iweje hatutakuja Kuugua UKIMWI hata Siku moja na ndiyo maana sitaki niponyeshwe Ugonjwa huu wa Pumu.
mkuu aliyekudanganya kuwa blood Group O+ huwezi pata maambukizi ya HIV, kakuingiza chakaNina Pumu na Blood Group O+ ambao hata iweje hatutakuja Kuugua UKIMWI hata Siku moja na ndiyo maana sitaki niponyeshwe Ugonjwa huu wa Pumu.