Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga ni kama maskini. Sasa hivi amepata makalio yanalia mbwata!!Simba alicheza Sevilla ikiwa ya moto tena ni bingwa wa EUROPA wa muda wote lakini mbungi ilipigwa haswa na matokeo mliyaona wenyewe.
Mbele ya pesa hakuna cha kolo wala uto, kwani manara sio kolo? Leo yupo wapi?Laiti ungejua....Edo ni kolo
Basi pesa zilimpeleka UKOLONIManara naskia ni mwananchi by origin
Unaumwa si bure.Regular players wa Ozbag walikuwa wawili tuu. Mmoja kipindi cha kwanza mwingine cha pili. Waliobaki ni timu b na usajili mpya. Haya mwambieni kumwembe afate mgao wake kw garibu maana ameshafanya kazi aliyopewa.
Mlichezea hiyo MECHI wapi ?Simba alicheza Sevilla ikiwa ya moto tena ni bingwa wa EUROPA wa muda wote lakini mbungi ilipigwa haswa na matokeo mliyaona wenyewe.
Kuumwa kwangu kunaondoa vipi ukweli kwamba kile ni kikosi cUnaumwa si bure.
Mbona kuna wengine wamepigwa 6 halafu wamejikausha wakifikiri hatutapata matokeoHii Yanga iliyocheza na timu C ya Augsburg ama ipi?
Yanga walikuwa hawakai na mipira hata kwa sekunde tatu wamenyang'anywa ndiyo timu kubwa?
Augsburg ilikuwa inacheza kama ipo mazoezini ndiyo anasema ilikamia?
Hii hii timu C ya Augsburg ingeamua kucheza serious basi Yanga angekula sio chini ya bao 8.
Utatafuta AJIRA mpaka unakufaMbona kuna wengine wamepigwa 6 halafu wamejikausha wakifikiri hatutapata matokeo
Ajira nishapata mama yako amenipa kazi ya kumfumua malinda na malipo sio haba.Utatafuta AJIRA mpaka unakufa
Kwani vyura wamekula ngapi kwanza kabla hatujajibu ambavyo havikuwepo uwanjani?Je wangekua Simba wangekula ngapi
Mfumue na mama yako marindaAjira nishapata mama yako amenipa kazi ya kumfumua malinda na malipo sio haba.
Kwan hiyo tar 8 ni Yanga iliyocheza na FC Augsburg Vs Simba iliyocheza na Sevilla?Simba alicheza Sevilla ikiwa ya moto tena ni bingwa wa EUROPA wa muda wote lakini mbungi ilipigwa haswa na matokeo mliyaona wenyewe.