Edo Kumwembe: Timu zisipokuwa makini zitapigwa 5 tena na Yanga

Edo Kumwembe: Timu zisipokuwa makini zitapigwa 5 tena na Yanga

Hii Yanga iliyocheza na timu C ya Augsburg ama ipi?

Yanga walikuwa hawakai na mipira hata kwa sekunde tatu wamenyang'anywa ndiyo timu kubwa?

Augsburg ilikuwa inacheza kama ipo mazoezini ndiyo anasema ilikamia?

Hii hii timu C ya Augsburg ingeamua kucheza serious basi Yanga angekula sio chini ya bao 8.
Hebu tuletee ball possession kwa hiyo mechi ili ututhibitishie.
 
Hii Yanga iliyocheza na timu C ya Augsburg ama ipi?

Yanga walikuwa hawakai na mipira hata kwa sekunde tatu wamenyang'anywa ndiyo timu kubwa?

Augsburg ilikuwa inacheza kama ipo mazoezini ndiyo anasema ilikamia?

Hii hii timu C ya Augsburg ingeamua kucheza serious basi Yanga angekula sio chini ya bao 8.
Screenshot_20240721-212843.png
Screenshot_20240721-212926.png
Screenshot_20240721-212948.png

Mechi tatu tofauti za msimu uliopita mkuu.
 
Back
Top Bottom