hayo ndio mambo ya simba na yanga kuwalipa wachezaji ambao umri umeenda kama kina blanon pesa nyingi wakati umri umeendaEdo Yuko sahihi,uwezi kumalizia mpira wako ulaya,kwa bahati mbaya wameshatumika vya kutosha huku,wameshakuwa na ma injury yasiopona usitegemee watafanya kitu tofauti,
Nadhani lengo la eddo sio kukatisha MTU tamaa ila kuwapa moyo wachezaji kuamka na kwenda uko wakiw na umri Mdogo.
Watz wanapenda sifa za kijinga. Ukweli mchungu hawataki kuusikia. Hapo bado carbon 14 haijapitaEdo Yuko sahihi,uwezi kumalizia mpira wako ulaya,kwa bahati mbaya wameshatumika vya kutosha huku,wameshakuwa na ma injury yasiopona usitegemee watafanya kitu tofauti,
Nadhani lengo la eddo sio kukatisha MTU tamaa ila kuwapa moyo wachezaji kuamka na kwenda uko wakiw na umri Mdogo.
Umeeleza vizuri sana mkuu.Eddo na Dauda si wachambuzi wa soka bali ni wanahistoria waliobobea kwenye soka,I mean wanazungumzia historia ya vilabu na wachezaji wa soka na pia mechi za soka, vitu ambayo huwa wanaenda kutafuta kwenye Google. Nasema hv kwa sababu huwa hawawezi ku examine au kufanya analysis ya mechi zinazoendelea live/ mubashara na wakaja kutueleza techniques/tactics zinazotumiwa either na makocha au wachezaji na kutoa mapendekezo yao ya nini kinaweza kutokea wakati mechi ikiendelea. Hawa kazi yao ni soccer history tu,timu ilitwaa makombe mangapi, sijui mchezaji gani ilivunja records nk nk.
Mchambuzi wa ukweli ni dk Riki Abdallah,labda na Mwl Kashasha ingawa huwa anazidisha ung'eng'e.
Hao wengine ni kugoogle kwa kwenda mbele.
Si umeelewa BibieDroba-Drogba
Uhuru wa kutofautiana una mipaka yake huyo mtu aliyekosoa ni prominent figure. Hivyo comment yake italeta shida fulani.Sasa tatizo liko wapi, umesema wengi wamempa moyo ila 1 tu ndo amemvunja moyo. Uhuru wa kutofautiana mawazo lazim uheshimiwe.
Himid sio Mzanzibar usiropoke vitu usivyojuaSiamini Himid Mao anamiaka 24 labda hadi apimwe carbon 14 , kwahiyo kina dogo janja ,young dee , young killa wote kaka zake? Wachezaji mpira punguzeni uwongo.
Halafu Himid Mao ni mzanzibar hata kuja kuchezea timu yetu ya taifa maana FIFA imeshawapa uwanachama zanzibar, bas tuache shoboka
hii imejitokeza sasa ivi,napata notification fb kumtakia jamaa yangu kheri ya kuzaliwa kuangalia eti kafikisha miaka 25 wakati najua ana chezea 30+Tatizo la wabongo akikuambia ana miaka 24 ujue huyo ni 29
Hapo uliposema hawawezi kuchambua soka mubashara (live) sina uhakika kwan Eddo kila weekend anakwea pipa kwenda south kutangaza/kuchambua ligi kuu ya uingereza kwenye supersport chanel ya kiswahili.Eddo na Dauda si wachambuzi wa soka bali ni wanahistoria waliobobea kwenye soka,I mean wanazungumzia historia ya vilabu na wachezaji wa soka na pia mechi za soka, vitu ambayo huwa wanaenda kutafuta kwenye Google. Nasema hv kwa sababu huwa hawawezi ku examine au kufanya analysis ya mechi zinazoendelea live/ mubashara na wakaja kutueleza techniques/tactics zinazotumiwa either na makocha au wachezaji na kutoa mapendekezo yao ya nini kinaweza kutokea wakati mechi ikiendelea. Hawa kazi yao ni soccer history tu,timu ilitwaa makombe mangapi, sijui mchezaji gani ilivunja records nk nk.
Mchambuzi wa ukweli ni dk Riki Abdallah,labda na Mwl Kashasha ingawa huwa anazidisha ung'eng'e.
Hao wengine ni kugoogle kwa kwenda mbele.
ukishaona haijulikani on public domain, jua hamna kitu, ujanja ujanja tu. Wala sihitaji kutafuta.Ingia kwenye life profile yake utajua.
Buffon ni zaid ya 39EDO KUMWEMBE WEWE NI SENIOR..LAKINI KUHUSU HILI UMEFELI SANA.
Kila mtu mpenda michezo anamjua mwandishi Edo Kumwembe ambaye anaufuasi mkubwa kwenye mitandao ya kijamii. Edo Kumwembe ameonyesha kwamba yeye ana imani ndogo na akili za kushindwa kulikojaa kukata tamaa kwenye maisha.
Zaidi ya kuwa na akili hizo za kukata tamaa pia anaonekana kuwa sio mzalendo wala mwana michezo kwa kitendo chake cha wazi wazi kumtolea maneno ya kumkatisha tamaa mchezaji Himid Mao ambae ameenda nchini Denmark kwa ajili ya trial ya kucheza soka huko.
Siku ya Mei mosi mwandishi mwenzake Shaffih Dauda kupitia ukurasa wake wa instagram alipost picha ya Himid Mao akiwa airport anaelekea Denmark nakuandika kwamba tumtakie mema Himid Mao kwenye trial yake.
Kitu kizuri mashabiki wote walijitokeza kwenye comment wakimtakia mema mchezaji huyo kwenye majaribio yake. Mtu ambaye hakutegemewa kabisa licha ya kujua kwake soka akaja na roho yake ya kukatisha tamaa na kuandika, "At the age of 24...what a joke...he has already wasted his time".
Shabiki mmoja anaitwa '"1997_ELLY" akaja na kusema "Edo usimkatishe tamaa mpe moyo wa kupambana". Lakini bwana yule Edo Kumwembe na akili zake akijifanya mchambuzi wa hata future ya mtu alikazia na kusema,"Huwa naongea facts sio blah blah".
Moja) Edo Kumwembe kumbuka mifumo ya soka ya Africa na Ulaya ni tofauti, usitake Himid Mao anze soka akiwa na miaka 18 kama wakina Marcus Rashford. Huku kwetu Africa kwa mifumo yetu ambayo haina hata academy za uhakika ni ngumu sana kupeleka wachezaji Ulaya wakiwa wadogo hivyo.
Nchi za Africa Magharibi zinafanikiwa kutokana uwekezaji wa Academy zilizopo huko ndipo wanatoka wachezaji wakiwa wadogo na kwenda kuendelezwa huko.
Mbili) Ukiwa na miaka 24 sio sababu ya kwamba hautofanikiwa. George Weah alienda Ulaya akiwa na miaka 23 ambayo sio tofauti kubwa na 24. Lakini aliweza kucheza na kushinda makombe mengi na tuzo binafsi zikiwemo Ballo d'Or mwaka 95, Fifa World Player of the year 1995,UEFA Champions League top scorer 94/95 na tunzo nyingine nyingi. Kama umri umeenda kuna wakina Buffon wana miaka 39, Totti 40, Zlatan 35,Adebayo 33 na bado wanakipiga na wanategemewa na timu zao. Itakua miaka 24.
Tatu) Kikubwa kabisa kaonyesha utoto , ujinga na kukosa uzalendo. Yeye kama senior journalist tena wa michezo inabidi awe mstari wa mbele kama alivyo mwenzake Shaffih Dauda kuwa promote hawa wachezaji wapate ushabiki mkubwa kitu ambacho kinawapa moyo wakina Samatta, Ulimwengu na wengineo wakiwa uwanjani. Kwanini mashabiki wa kawaida wanafurahi Himid anaenda kujaribu nafasi lakini yeye mdau mkubwa anakuja kuleta negativities.
Lazima tuwa support vijana wetu kwasababu hata akipata mkataba wa miaka 2 mshahara atakaopata huko hauwezi kuwa sawa na mshahara atakao pata Azam. Pia mafanikio yake ni changamoto kwa vijana waliopo kama Serengeti Boys wasi aim for Simba, Yanga Azam.
Samatta, Ulimwengu na Himid wakiwa Ulaya ni motivation wa watoto wengine waliopo hapa Tanzania. Haijalishi wakina Himid wana miaka 24 au 34, cha msingi wanacheza huko na mshahara mzuri unaingia kwa ajili yao.
Cha mwisho jiangalie na wewe pia, umeona mshahara wa vyombo vya hapa Tanzania havitoshi unaenda hadi South Africa kupata pesa za ziada. Mbona husemi wewe umeshazeeka kwenye uchambuzi waisende vijana wadogo wengine. Kumbe unafata mafao zaidi, waache vijana wakajaribu kubadilisha maisha. Hakuna mwisho wa kutafuta hadi pale utakapoingia kaburini.
Sikumbuki Himid Mao kuishi miaka 12 mfululizo Zanzibar. Maana hicho ndio kigezo cha Mtanzania kutoka Tanzania Bara kuwa Mzanzibari. Kwa kuzaliwa yeye ni motto wa Mao Mkami, mchezaji wa zamani wa Pamba ya Mwanza. Yaliyosalia yanajieleza yenyewe kuwa yeye si Mzanzibari.Siamini Himid Mao anamiaka 24 labda hadi apimwe carbon 14 , kwahiyo kina dogo janja ,young dee , young killa wote kaka zake? Wachezaji mpira punguzeni uwongo.
Halafu Himid Mao ni mzanzibar hata kuja kuchezea timu yetu ya taifa maana FIFA imeshawapa uwanachama zanzibar, bas tuache shoboka