Edo Kumwembe: Utekaji ni ushamba na unaharibu taswira ya Nchi

Edo Kumwembe: Utekaji ni ushamba na unaharibu taswira ya Nchi

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Mtangazaji wa kipindi cha jana na leo kutokea Wasafi FM ametoa mawazo yake kuhusu suala la utekaji.

Namnukuu Edo Kumwembe,

Utekaji ni suala la hovyo na la kishamba ambalo linachafua taswira ya nchi yetu, mbaya zaidi watekaji wanapata nguvu kwakuwa hawachukuliwi sheria.

Akaongeza, mpaka leo hatujasikia waliomteka Mzee Kibao kama wamekamatwa, wala hatujasikia waliotaka kumteka Tarimo kama wamekamatwa.

Jeshi la polisi halieupuki lawama hizo. Alimalizia Edo Kumwembe!!
 
Mtangazaji wa kipindi cha jana na leo kutokea Wasafi FM ametoa mawazo yake kuhusu suala la utekaji.

Namnukuu Edo Kumwembe,

Utekaji ni suala la hovyo na la kishamba ambalo linachafua taswira ya nchi yetu, mbaya zaidi watekaji wanapata nguvu kwakuwa hawachukuliwi sheria.

Akaongeza, mpaka leo hatujasikia waliomteka Mzee Kibao kama wamekamatwa, wala hatujasikia waliotaka kumteka Tarimo kama wamekamatwa.

Jeshi la polisi halieupuki lawama hizo. Alimalizia Edo Kumwembe!!
Kwani anajua karandinga jeupe lilipo?
 
Andika hapo,,,,
FB_IMG_1731931623196.jpg
anachokitafuta atakipataa
 
Mtangazaji wa kipindi cha jana na leo kutokea Wasafi FM ametoa mawazo yake kuhusu suala la utekaji.

Namnukuu Edo Kumwembe,

Utekaji ni suala la hovyo na la kishamba ambalo linachafua taswira ya nchi yetu, mbaya zaidi watekaji wanapata nguvu kwakuwa hawachukuliwi sheria.

Akaongeza, mpaka leo hatujasikia waliomteka Mzee Kibao kama wamekamatwa, wala hatujasikia waliotaka kumteka Tarimo kama wamekamatwa.

Jeshi la polisi halieupuki lawama hizo. Alimalizia Edo Kumwembe!!
Huyu atakuwa ni kibaraka wa mabeberu, hana uzalendo iabidi achunguzwe
 
Kumradhi
Kwa mwenye phone number za Abdul Nondo anipatie pm tafadhali
 
Namshauri afunge cctv camera nyumbani kwake
Kwa nini? Sio mda watekaji wataanza kutekwa ,ikumbukwe wapo na familia ,simanishi lazima mtekaji awe ameolewa au hajahoa . Mtangazaji yupo na akili sana ,tukianza ruhusu mambo kama aya nchi itasamaratika je nani anataka tufike kule ? Kama si wahuni wachache , ubaya ubwela sio hii ngoma itakuwa droo.

Mfano mtu anauliwa ndugu yake kwa sababu za kijinga tu ,eti uchaguzi, mtu anapoteza ndugu yake eti katekwa na wasiojulika unajua what next ,waliobaki watatamani lipa kisasi kwa njia zipi ,hatuwezi jua ,

Hili jambo sio afya kwa nchi wenda wengi wanalichukulia poa sababu wapo kwa mfumo ila linaenda leta madhala makubwa kwa nchi/ Taifa .

Unateka ,unauwa wakati una ndugu na jamaa ,mke watoto,mama ,Shanganzi,mjomba n.k
 
Mtangazaji wa kipindi cha jana na leo kutokea Wasafi FM ametoa mawazo yake kuhusu suala la utekaji.

Namnukuu Edo Kumwembe,

Utekaji ni suala la hovyo na la kishamba ambalo linachafua taswira ya nchi yetu, mbaya zaidi watekaji wanapata nguvu kwakuwa hawachukuliwi sheria.

Akaongeza, mpaka leo hatujasikia waliomteka Mzee Kibao kama wamekamatwa, wala hatujasikia waliotaka kumteka Tarimo kama wamekamatwa.

Jeshi la polisi halieupuki lawama hizo. Alimalizia Edo Kumwembe!!
Sasa si amecopy na kupaste tunayojadiri humu kuna lipi jipya hapo? Bibi kizee anaandaliwa katuni akiwa ameshika bastora mkono mmoja
 
Mtangazaji wa kipindi cha jana na leo kutokea Wasafi FM ametoa mawazo yake kuhusu suala la utekaji.

Namnukuu Edo Kumwembe,

Utekaji ni suala la hovyo na la kishamba ambalo linachafua taswira ya nchi yetu, mbaya zaidi watekaji wanapata nguvu kwakuwa hawachukuliwi sheria.

Akaongeza, mpaka leo hatujasikia waliomteka Mzee Kibao kama wamekamatwa, wala hatujasikia waliotaka kumteka Tarimo kama wamekamatwa.

Jeshi la polisi halieupuki lawama hizo. Alimalizia Edo Kumwembe!!
EDO BAAAS TENA -ATATEKWA
 
Back
Top Bottom