King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mambo ya kijanja ni yapi?
Kutafuta pesa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya kijanja ni yapi?
Kwani una hakika watekaji hawalipwi pesa?Kutafuta pesa.
Kwani una hakika watekaji hawalipwi pesa?
Inawezekana utekaji ni masharti mapya ya IMF.Mtangazaji wa kipindi cha jana na leo kutokea Wasafi FM ametoa mawazo yake kuhusu suala la utekaji.
Namnukuu Edo Kumwembe,
Utekaji ni suala la hovyo na la kishamba ambalo linachafua taswira ya nchi yetu, mbaya zaidi watekaji wanapata nguvu kwakuwa hawachukuliwi sheria.
Akaongeza, mpaka leo hatujasikia waliomteka Mzee Kibao kama wamekamatwa, wala hatujasikia waliotaka kumteka Tarimo kama wamekamatwa.
Jeshi la polisi halieupuki lawama hizo. Alimalizia Edo Kumwembe!!
Kutoka kwenye nyeusiKwani anajua karandinga jeupe lilipo?
Pesa imejaa damu za watu ina raha gani..?Kwani una hakika watekaji hawalipwi pesa?
We unamaanisha watamchukua na yeye?Namshauri afunge cctv camera nyumbani kwake
Ukweli mtupu!Mtangazaji wa kipindi cha jana na leo kutokea Wasafi FM ametoa mawazo yake kuhusu suala la utekaji.
Namnukuu Edo Kumwembe,
Utekaji ni suala la hovyo na la kishamba ambalo linachafua taswira ya nchi yetu, mbaya zaidi watekaji wanapata nguvu kwakuwa hawachukuliwi sheria.
Akaongeza, mpaka leo hatujasikia waliomteka Mzee Kibao kama wamekamatwa, wala hatujasikia waliotaka kumteka Tarimo kama wamekamatwa.
Jeshi la polisi halieupuki lawama hizo. Alimalizia Edo Kumwembe!!
Kwa hoja sio pesa Tena,Ni kujaa damu za watu ?Pesa imejaa damu za watu ina raha gani..?
Namshauri afunge cctv camera nyumbani kwake
HIi haiomdoi ukweli kwamba Jiwe aliasisi uhuni huu wa kutekana.Dr Ulimboka alipotekwa ulikuwa utawala wa Jiwe? Punguza mihemko!
Hawaogopi. Maana tayari wanajulikana, na hakuna walichofanywa. Unagundua ni kama kesi ya nyani ichunguzwe na kutolewa hukumu na nyani.Kwani akifunga inasaidia nini?
Unadhani watekaji wanaogopa kujulikana?
Una maana hiyo ni biashara mpya au?Inawezekana utekaji ni masharti mapya ya IMF.