Mwanadiplomasia Mahiri
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 491
- 1,907
Wewe ni msengerema sanaNa huyo mpumbavu anafikiri usalama wa nchi ni ile uchambuzi wake kindezi wa mpira? Aingie kwenye anga za hao wajomba halafu atuambie ni ushamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni msengerema sanaNa huyo mpumbavu anafikiri usalama wa nchi ni ile uchambuzi wake kindezi wa mpira? Aingie kwenye anga za hao wajomba halafu atuambie ni ushamba.
Kutekana ni mambo ya kishamba.Mtangazaji wa kipindi cha jana na leo kutokea Wasafi FM ametoa mawazo yake kuhusu suala la utekaji.
Namnukuu Edo Kumwembe,
Utekaji ni suala la hovyo na la kishamba ambalo linachafua taswira ya nchi yetu, mbaya zaidi watekaji wanapata nguvu kwakuwa hawachukuliwi sheria.
Akaongeza, mpaka leo hatujasikia waliomteka Mzee Kibao kama wamekamatwa, wala hatujasikia waliotaka kumteka Tarimo kama wamekamatwa.
Jeshi la polisi halieupuki lawama hizo. Alimalizia Edo Kumwembe!!
We msenge kwelii kweli.Na huyo mpumbavu anafikiri usalama wa nchi ni ile uchambuzi wake kindezi wa mpira? Aingie kwenye anga za hao wajomba halafu atuambie ni ushamba.
Mtangazaji wa kipindi cha jana na leo kutokea Wasafi FM ametoa mawazo yake kuhusu suala la utekaji.
Namnukuu Edo Kumwembe,
Utekaji ni suala la hovyo na la kishamba ambalo linachafua taswira ya nchi yetu, mbaya zaidi watekaji wanapata nguvu kwakuwa hawachukuliwi sheria.
Akaongeza, mpaka leo hatujasikia waliomteka Mzee Kibao kama wamekamatwa, wala hatujasikia waliotaka kumteka Tarimo kama wamekamatwa.
Jeshi la polisi halieupuki lawama hizo. Alimalizia Edo Kumwembe!!
Hawa jamaa ni viumbe wa ajabu Sana...Ni upumbavu.
Kila kitu chenu,serikali,bunge, mahakama ,polisi,jwtz tiss n.k
Vyote mnamiliki nyie.sasa hofu ya Nini?unamteka mtu update FAIDA Gani?au una muuza kwa FAIDA ipi?
Na Kuna wapumbavu humj wanawatetea.Hawa jamaa ni viumbe wa ajabu Sana...
Wajimba gani hao mkuu.. tusanueNa huyo mpumbavu anafikiri usalama wa nchi ni ile uchambuzi wake kindezi wa mpira? Aingie kwenye anga za hao wajomba halafu atuambie ni ushamba.
Watekaji wa Tanzania kwasasa ni taasisi kinachotakiwa ni jamii kuamua kwamba utekaji basi, Jamii ikikaa kimya wasiojulikana wataendelea kutojulikanaMtangazaji wa kipindi cha jana na leo kutokea Wasafi FM ametoa mawazo yake kuhusu suala la utekaji.
Namnukuu Edo Kumwembe,
Utekaji ni suala la hovyo na la kishamba ambalo linachafua taswira ya nchi yetu, mbaya zaidi watekaji wanapata nguvu kwakuwa hawachukuliwi sheria.
Akaongeza, mpaka leo hatujasikia waliomteka Mzee Kibao kama wamekamatwa, wala hatujasikia waliotaka kumteka Tarimo kama wamekamatwa.
Jeshi la polisi halieupuki lawama hizo. Alimalizia Edo Kumwembe!!
Mambo ya kijanja ni yapi?Kutekana ni mambo ya kishamba.
Ni ushamba nasema hapa na mtaani nasema Mimi ni ushamba ukinifata nakufanya Kama Zakaria alivyowafanya kumanina zenuNa huyo mpumbavu anafikiri usalama wa nchi ni ile uchambuzi wake kindezi wa mpira? Aingie kwenye anga za hao wajomba halafu atuambie ni ushamba.
Dr Ulimboka alipotekwa ulikuwa utawala wa Jiwe? Punguza mihemko!Afu ushamba huu kauasisi Jiwe sababu hakuwa na nguvu ya kujibu hoja, na sisi tumeona unafaa ndo tunaendelea nao.
Duh 🙄!Namshauri afunge cctv camera nyumbani kwake