Edo Kumwembe: Utekaji ni ushamba na unaharibu taswira ya Nchi

Kwani una hakika watekaji hawalipwi pesa?

Huo ni uhalifu si kutafuta pesa ,fedha hazitafutwi kwa kufanya uhalifu na ndiyo maana ni kosa kisheria.

Ukishika mjegejo na kupora mali kwa mtutu huo si utafutaji ni uhalifu ambao ni USHAMBA.
 
Inawezekana utekaji ni masharti mapya ya IMF.
 
Ukweli mtupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…