Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Ana akili sana Edo Kumwembe"Yanga ndio tegemeo pekee la Tanzania kimataifa, Watanzania wana imani na Yanga inaweza kuleta Kombe la CAF msimu huu, sio timu inashiriki kimataifa ikifaka Robo ishachukua Ubingwa, tutoke huko kwenye mpira wa kizamani,” Edo.
Dauda “Kufika Robo Fainal ni Progress sio achievement.”
View attachment 2582161
Aulizwe kama amesema haya baada au kabla ya kuangalia pira dhidi ya Geita Gold 😁
Yanga vs Geita Gold 😁😁😁Yanga amecheza vs Club African, Tp Mazembe, Real Bamako, Monastir, je kuna mchezo wowote ambao Yanga walishinda kwa penati au kwa timu kuwa pungufu?
Inavyoonekana hata terminology 'target' huielewi maana yake 😁😁 😁Mbona target yenu Kila mwaka ni robo na ndo kombe lenu??
Vibonde tupu apo sijaona timu msimu huu ya kujisifia et umeifunga, yan angalau msimu huu ungemfunga Al Hilal omd ungetamba ila sio kwa uchafu huo ulioutaja hapo juu aisee shemuoniyu... Pua luza¡¿Yanga amecheza vs Club African, Tp Mazembe, Real Bamako, Monastir, je kuna mchezo wowote ambao Yanga walishinda kwa penati au kwa timu kuwa pungufu?
Kwani hii mechi alishindwa Nani..?Aulizwe kama amesema haya baada au kabla ya kuangalia pira dhidi ya Geita Gold 😁
Sawa endelea kuamini ni vibonde hivyo hivyo. Leo kulikuwa na mchezo kati ya ES Tunis dhidi ya Monastir. ES Tunis wakiwa nyumbani imeshindwa kupata alama tatu mbele ya Monastir.Vibonde tupu apo sijaona timu msimu huu ya kujisifia et umeifunga, yan angalau msimu huu ungemfunga Al Hilal omd ungetamba ila sio kwa uchafu huo ulioutaja hapo juu aisee shemuoniyu... Pua luza¡¿
mbona ni kama vile unairuka Geita Gold? 😁Yanga amecheza vs Club African, Tp Mazembe, Real Bamako, Monastir, je kuna mchezo wowote ambao Yanga walishinda kwa penati au kwa timu kuwa pungufu?
Ni mmojawapo wa wahandishi wa habari mwenye uelewa wa anacho kiandika.Ana akili sana Edo Kumwembe
Unamaanisha nusu fainali ya klabu Bingwa Afrika, baada ya kumtoa Wydad Casablanca!!Simba ikifanikiwa kuingia nusu Final....
Zitaibuka nyuzi kibao zenye title...
"Simba SC mwisho wake umefika, haitoingia final."
AWBM OKOK EIYN IZUBMAHCAW ARAWHCU
🦁Hawa wanaongea kama ilivyo kawaida ya animals🏃🏃Ngoja waje wale wenye nongwa! Watapinga, huku wakimtukana kila aina ya matusi. Kumbe mtu ametoa tu maoni yake.
Nawatakia Arsenal ushindi leo dhidi ya LiverpoolSawa endelea kuamini ni vibonde hivyo hivyo. Leo kulikuwa na mchezo kati ya ES Tunis dhidi ya Monastir. ES Tunis wakiwa nyumbani imeshindwa kupata alama tatu mbele ya Monastir.View attachment 2582396
Geita Gold anashiriki michuano ipi ya CAF? mlikuwa mnaimba nyimbo za bahasha bahasha kwenye kimataifa hamfiki robo, saivi mmehamia kwenye wimbo wa vibonde.mbona ni kama vile unairuka Geita Gold? [emoji16]
AhahhahhahNi mmojawapo wa wahandishi wa habari mwenye uelewa wa anacho kiandika.
Kuna baadhi ya wenzake ni vichwa viazi kama hakina Binti Kazumali!
Swali zuri wapi....[emoji706][emoji706]Swali zuri saanaaa