Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Mendy anamfahamu Haland kuliko wewe wa Keko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu Mendy atapigwa magori hadi aweweseke.
Ndo akili itamkaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nawee wa Buza, mxiiiieeeeeewMendy anamfahamu Haland kuliko wewe wa Keko
Aaa wap achana na Mendy kabisa ni habari nyingine kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu Mendy atapigwa magori hadi aweweseke.
Ndo akili itamkaa.
MmmmhAaa wap achana na Mendy kabisa ni habari nyingine kabisa
Atupe majibuKwa hiyo halaand ni benteke aliyechangamka ?
Mtu ana goli 42 sasaGolikipa wa Chelsea, Edouard Mendy anamfananisha mshambuliaji mpya wa Man City sawa na Mshambualiaji wa Crystal Palace, Christian Benteke.
Kwamba Haaland hana tofauti yoyote na Benteke hii dharau, mimi naitunza hii kauli ili uko mbele ya safari nije niirejee...View attachment 2289871