ni mshambaa hana swagga halafu ye anajiona born town mbayay
Kwa wale mnaofatilia show ya wallpaper startv mtakua mnamfaham huyu jamaa..mie binafsi sijamkubali huyu mshkaji naona hana swagga na maujanja ya kuwepo pale...pia hata mwonekano wa kistaa hana kabisa bora akatangaze kipindi cha michezo tu...ni maoni yangu wakuu
hahahhah msaide ushauri sasa. mi naanza kwa ushauri no:1 atafute mtu au mshauri wa mavazi au waa kumvalisha maana yale mavazi ni kama anakua katoka kufyatua matofali nikiangaliaga zile raba na kile kijinsi chake huwa nabadilisha channel faster, we H.E ongezea na wewe
yaani sana tu mkuu...
EATV sijui wana uchawi gani wale.....Majuzi nilikuwa naangalia habari kwenye hotmix ni noumaa ule mpangilio na usomaji hata habari za ITV cha mtoto.........Watangazaji wao sijui wanawatoa wapi......Production zao kali sana......hata kipindi cha skonga tulichojua kitakufa sasa hivi kinaendeshwa na wanafunzi wenyewe na wanaandaliwa vizuri hadi unashangaa........Kibongo bongo EATV ni next level kwa kila kitu.
Muangalie Musa Hussein wa sasa kwenye mwanadsm kule Clouds tv kama unaweza kuona kama yuko kwenye hata robo ya ubora alivyokuwa EATV!
Watu wa humu mnajua kuchamba jamani, yani kaka wa watu akipita humu nahisi anaweza akaghairi kutangaza siku hiyo hahaha
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
EATV sijui wana uchawi gani wale.....Majuzi nilikuwa naangalia habari kwenye hotmix ni noumaa ule mpangilio na usomaji hata habari za ITV cha mtoto.........Watangazaji wao sijui wanawatoa wapi......Production zao kali sana......hata kipindi cha skonga tulichojua kitakufa sasa hivi kinaendeshwa na wanafunzi wenyewe na wanaandaliwa vizuri hadi unashangaa........Kibongo bongo EATV ni next level kwa kila kitu.
Muangalie Musa Hussein wa sasa kwenye mwanadsm kule Clouds tv kama unaweza kuona kama yuko kwenye hata robo ya ubora alivyokuwa EATV!
Mkuu kwan Alan hatangazi tena skonga? Huwa siangalii mara kwa mara.
Yeah alipata kazi Kenya....
jamaa kama atafanikiwa kuisoma thread hii, sjui kama atatoka nje leo dah!! watu wameua hatari hatary
Mnae mdiskasi huyo hapo sasa
personality zero
Mnae mdiskasi huyo hapo sasa
Marahaba! Unajua Star TV tanzania wako nyuma sana kuanzia mpangilio wa vipindi hadi aina ya watangazaji wanao hitajika kwenye vipindi vya burudani.
Mimi Huyo jamaa sijawai kumuona wala kuona hicho kipindi Lakini sina doubt na yanayo semwa maana Star tv wanajulikana wako nyuma sana.
Tatizo wamejaza wazee kila kipindi wakati kuna vipindi vingine vina hitaji vijana wabichi.
Kuna tangazo lao mmoja ni la mashindano ya kudance sasa linatangazwa kama Habari za kitaifa vile kumbe burudani na lina tangazwa na watu walio zoea kutangaza habari za kisiasa halafu wazee daaa huwa nikiliona nacheka sana daaaaa .......
Star tv wana tatizo kwenye aina ya watu wa kuajiri, Wao wana fikiri kila mtangazaji ana faa kwenye kila idara na cha kushangaza muda wote huo hawajifunzI kwa wenzao EATV.